Thawabu niliyoipata kwa kuepuka kuzini na wanafunzi

Thawabu niliyoipata kwa kuepuka kuzini na wanafunzi

Ishanitokea sana. Kuna wakati mwanafunzi anakupa wakati mgumu hadi unaogopa kuingia kufundisha darasani coz mkigonganisha tu macho utauyaona maajabu. Mimi kuna mwanafunzi alinitesa sana tena no binti mdogo tu sema ana mwili mkubwa kipindi hicho akiwa 4m one sasa ikawa Mara kwa mara anakuja kuniletea maswali ya form two sasa nikawa namkazia kua haya maswali muda wake bado lakini haelewi kumbe alikua ananiwinda tu... Nashukuru Mungu nilikiepuka hicho kihunzi mbaya zaidi alipofika kidato cha 3 alijazwa mimba... Sitasahau huo msala maana ungeniangukia mimi maana yule dogo aliwahi kunipa barua kua anataka tuwe wapenzi!!!. Mikasa ningi sana
Duh! dunia ina mabalaa hii

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Salaam wana JF,

Mimi ni mwanaume ambaye ninawiwa kutoka moyoni kujishughulisha na
"Lishe ya ubongo" yaani Elimu. Ndoto zangu za maisha zimeegemea kwenye Elimu zaidi.

Sasa katika harakati za kuwafundisha wanafunzi huko mashuleni na mtaani pia nimekuwa nikikutana na mitego ya hatari kutoka kwa wanafunzi wangu wa kike. Ni visa vingi sana kwa kweli. Lakini hakuna hata kimoja nilichonasa. Nimeruka mitego yote kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Kubwa kuliko ni pale binti mmoja(kidato cha pili wakati huo) akiwa amekaa dawati la mwisho kabisa aliwahi kuivuta sketi yake nusu ya mapaja yake,halafu akaichanua miguu yake kwa wastani wa nyuzi zaidi ya tisini(Obtuse angle) tena kimkakati kabisa na akahakikisha namuona na hakuonesha kushtuka kabisa zaidi zaidi alilegeza macho yake kwa matamanio ya kingono. Mazingira aliyokuwepo yalimpa ujasiri wa kufanya hayo yote bila wenzake kumshtukia. Lakini mimi niliendelea kufundisha hadi namaliza kisha kusign out.

Nilikuwa napangua visa vyao kwa kutumia akili ya ziada sana maana na wao walikuwa wananitega kijanja mno(ingawa kuna ambao walikuwa wanatumwa kwa makusudi mahususi). Kiukweli kwa mwanaume asiye na uwezo wa kuudhibiti "uanaume wake" kuingia mkenge kwenye ile mitego ilikuwa ni kugusa tu.

Ndugu mwana JF,usidhani kwamba nilikuwa mjinga kuikwepa mitego ile katikati ya kizazi hiki cha zinaa.
La hasha! nilikuwa najua manufaa ya nikifanyacho ambayo hadi leo nayafurahia kwa furaha ambayo sina maneno ya kuielezea nikaeleweka kwa namna ninavyotamani nieleweke.

Baadhi ya manufaa hayo ni;
1. Mungu alizidi kuniamini na
kuwekeza zaidi talanta zake
ndani yangu ambazo si kwa ajili
yangu tu bali kwa ajili ya watu
wengine pia wake kwa waume.
(Hili alikuwa ananiambia na
kunithibitishia kwa kinywa chake
mwenyewe). Alikuwa ananivika
furaha ya ajabu moyoni mwangu
yenye kuashiria kwamba anapendezwa
na maamuzi yangu hayo(Ni kawaida Mungu kunipongeza kwa style hii)
2.Kuepuka kutembea na mwanafunzi mmoja nyumbani kwao(baada ya yeye kuvizia tupo mimi na yeye tu akaniwekea bonge ya mtego wa kingono ngono), kumenitengenezea connection ya kupata zaidi ya milioni 9( Baba yake ndiye kawa connector). Naamini ningejifanya chizi na kudiriki kuanza kutembea na binti yake kuna siku angeshtukia mchezo na tungekuwa maadui na ningeukosa msaada wake huu muhimu.
3. Wanajamii wanaonizunguka
wananiheshimu kipekee sana
hasa baada ya kujiridhisha
kwamba mwanafunzi mikononi
mwangu anakuwa salama
kiroho,kiakili na kimwili pia. Hata
wahuni hapa mtaani
wananiheshimu sana na huwa
wananitania wakisema "yaani
ningekuwa ndio wewe vitoto
vikijilengelesha ningekuwa
navifyatua sana,unakwama wapi
ticha?". Mi huwa nawajibu " Ni kwa
sababu mmechagua kuishi
maisha ya kujikinai".
4. Imeniongezea kujiamini zaidi.
NB: Namshukuru sana Mungu kwa
kutupa sisi wanadamu uhuru wa
kuchagua either "raha ya
muda mfupi" au "raha ya milele"
ili mwisho wa yote kila mtu
awajibike kwa maamuzi yake.

Mbarikiwe sana!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo hujawahi kula tunda kimasihara?
 
Kwahiyo hujawahi kula tunda kimasihara?
Nikila 'tunda' iwe kimasihara au isiwe kimasihara nje ya tunda halali nakuhakikishia nitakachopoteza ni kikubwa kuliko nitakachokipata. Ni upumbavu kudeal na 'cha muda mfupi' kisha unapoteza 'cha milele'.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Umesrma wametumwa una uhakika? Nan kawatuma
Swali zuri. Wapo waliokuwa wanatumwa na utawala wa shule kama sehemu yao ya kunidodosa. Wapo waliokuwa wanatumwa na watesi wangu. Source ni watumwaji wenyewe walikuwa wananifungukia baadae agenda hizo za siri.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Zinaa haitangazwi teacher.. sisi wakubwa tumekuelewa sana hapo
 
Salaam wana JF,

Mimi ni mwanaume ambaye ninawiwa kutoka moyoni kujishughulisha na
"Lishe ya ubongo" yaani Elimu. Ndoto zangu za maisha zimeegemea kwenye Elimu zaidi.

Sasa katika harakati za kuwafundisha wanafunzi huko mashuleni na mtaani pia nimekuwa nikikutana na mitego ya hatari kutoka kwa wanafunzi wangu wa kike. Ni visa vingi sana kwa kweli. Lakini hakuna hata kimoja nilichonasa. Nimeruka mitego yote kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Kubwa kuliko ni pale binti mmoja(kidato cha pili wakati huo) akiwa amekaa dawati la mwisho kabisa aliwahi kuivuta sketi yake nusu ya mapaja yake,halafu akaichanua miguu yake kwa wastani wa nyuzi zaidi ya tisini(Obtuse angle) tena kimkakati kabisa na akahakikisha namuona na hakuonesha kushtuka kabisa zaidi zaidi alilegeza macho yake kwa matamanio ya kingono. Mazingira aliyokuwepo yalimpa ujasiri wa kufanya hayo yote bila wenzake kumshtukia. Lakini mimi niliendelea kufundisha hadi namaliza kisha kusign out.

Nilikuwa napangua visa vyao kwa kutumia akili ya ziada sana maana na wao walikuwa wananitega kijanja mno(ingawa kuna ambao walikuwa wanatumwa kwa makusudi mahususi). Kiukweli kwa mwanaume asiye na uwezo wa kuudhibiti "uanaume wake" kuingia mkenge kwenye ile mitego ilikuwa ni kugusa tu.

Ndugu mwana JF,usidhani kwamba nilikuwa mjinga kuikwepa mitego ile katikati ya kizazi hiki cha zinaa.
La hasha! nilikuwa najua manufaa ya nikifanyacho ambayo hadi leo nayafurahia kwa furaha ambayo sina maneno ya kuielezea nikaeleweka kwa namna ninavyotamani nieleweke.

Baadhi ya manufaa hayo ni;
1. Mungu alizidi kuniamini na
kuwekeza zaidi talanta zake
ndani yangu ambazo si kwa ajili
yangu tu bali kwa ajili ya watu
wengine pia wake kwa waume.
(Hili alikuwa ananiambia na
kunithibitishia kwa kinywa chake
mwenyewe). Alikuwa ananivika
furaha ya ajabu moyoni mwangu
yenye kuashiria kwamba anapendezwa
na maamuzi yangu hayo(Ni kawaida Mungu kunipongeza kwa style hii)
2.Kuepuka kutembea na mwanafunzi mmoja nyumbani kwao(baada ya yeye kuvizia tupo mimi na yeye tu akaniwekea bonge ya mtego wa kingono ngono), kumenitengenezea connection ya kupata zaidi ya milioni 9( Baba yake ndiye kawa connector). Naamini ningejifanya chizi na kudiriki kuanza kutembea na binti yake kuna siku angeshtukia mchezo na tungekuwa maadui na ningeukosa msaada wake huu muhimu.
3. Wanajamii wanaonizunguka
wananiheshimu kipekee sana
hasa baada ya kujiridhisha
kwamba mwanafunzi mikononi
mwangu anakuwa salama
kiroho,kiakili na kimwili pia. Hata
wahuni hapa mtaani
wananiheshimu sana na huwa
wananitania wakisema "yaani
ningekuwa ndio wewe vitoto
vikijilengelesha ningekuwa
navifyatua sana,unakwama wapi
ticha?". Mi huwa nawajibu " Ni kwa
sababu mmechagua kuishi
maisha ya kujikinai".
4. Imeniongezea kujiamini zaidi.
NB: Namshukuru sana Mungu kwa
kutupa sisi wanadamu uhuru wa
kuchagua either "raha ya
muda mfupi" au "raha ya milele"
ili mwisho wa yote kila mtu
awajibike kwa maamuzi yake.

Mbarikiwe sana!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Uongo huooo
 
Kumbe mateacher wengine ni maboya kabisa. Mtoto wa kidato cha pili amekaa vibaya unasema unakutega?
Kumbe ukikuta kitoto kinakojoa njiani unahisi mitego, acha kujidanganya, watoto wadogo hawaijui aibu, anakaa anavyotaka
 
Kumbe mateacher wengine ni maboya kabisa. Mtoto wa kidato cha pili amekaa vibaya unasema unakutega?
Kumbe ukikuta kitoto kinakojoa njiani unahisi mitego, acha kujidanganya, watoto wadogo hawaijui aibu, anakaa anavyotaka
Soma tena hapo kwenye maelezo ya kisa cha huyo binti wa kidato cha pili.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Si kwa ubaya ila moja kati ya kozi ambazo niliomba zinipitie pembeni hii ya Ualimu ni moja wapo. Mi hata sikupitia mikasa ki hivyo, nakumbuka baada ya kumaliza kidato cha Sita, baadhi ya wazazi waliwaleta watoto wao niwasaidie kuutoa ujinga kichwani mwao.


Sijui ni bahati au mkosi, mmoja wa walimu wangu wa shule ya Msingi aliniomba nikafumfundishe binti yake kwake, si kwamba ilikuwa mbali sana lakini ilihitaji gharama ya 800/- kwenda na kurudi. Aliniahidi kunilipa hela ya nauli tofauti na hela ya gharama ya Tuition. Sikufikiria mara mbili nilikataa katu.


Basi baada ya muda akaamua kumleta yule mwanae, alikuwa mdogo tu binti ana asili ya Uarabu ukiongeza na Uislamu wake basi nilikuwa naambulia kuona uso wake tu. Being a teenager seeking for a love to cease my lust nilikuwa namlia kichwani tu. Dogo alikuwa mvivu in such a way kwamba kuna siku ananiambi 'broh! kwa leo tusisome nataka kupumzika'. Tulivyoanza kusoma alikuwa anachagua vitu vya kusoma, nika 'calculate' mzee wake ana pesa uwenda labda dogo hana lengo la kuumiza brain yake.


Ilikuwa kama unampa swali afanye (kwa maana nilikuwa nafundishia shule moja ya Msingi) alikuwa anataka achukue chaki niliyoishika mimi mkononi tena analegeza mkono nakuusugua mkono wangu kwa vidole vyake.


Nikaona isiwe shida nikamuunga na mdogo wangi wakike aliyekuwa kidato cha tatu kipindi hicho wakawa wanapiga kitabu kwa pamoja. Nilikujaga tu kusikia stori kwa mama yake akisema 'brother Duarte mgumu mno. Yaani ananuna 24/7'. Nilivyosikia nikasema inawezekana hata mama yake ana "support" tabia za mwanae.


Nilikuwa nina ndoto kubwa nifanye mambo yangu, nilijua kama ningejikwaa pale ningepoteza vitu vyangu vingi tena vya msingi.
Toka hapo nikasema mimi na Ualimu hata sitaki kusikia, kama muda mchache wa Tuition nilipatwa na vioja vya madogo wa umri wa chini ambao kipindi mi naanza kusimama wao wapo ndani ya viuno vya wazazi wao. Inakuwaje huko katik shule ya bweni ya wasichana tupu?, Madogo wanapandishwa genye kiasi cha kujitia uchizi.


It 's not too late
 
Back
Top Bottom