The 100Megawatt Syndrome

The 100Megawatt Syndrome

Renewable energy project mwanakijiji anayopendekeza ni nzuri but ni ghali sana Technolojia hiyo. Nchi zilizoendelea ndio wanaweza kuifanyia kazi na sio kwa nchi kama yetu inayojaribu kujikwamua kiuchumi. Sisi tuwekeze katika Project ya Hydro Electric, Umeme wa makaa ya mawe na Songo songo kuhakikisha umeme wa uhakika unapatikana. Tukiwa tumekuwa kiuchumi ndio Tufikirie Nuclear Project.

Nakubaliana na wewe kabisa kuwa waste to energy conversion is costly ukilinganisha na vyanzo vingine lakini ukipima sana utaona ina faida nyingine ambayo vyanzo vingine havina - inaondoa uchafu na kuangamiza badala ya kujaza landfills. Na teknolojia ya leo ipo inayowezesha hata kufanyika bila kuwa na matokeo mabaya zaidi katika pollution compared na uchafu ambao tayari upo. Binafsi suala la kugeuza uchafu into energy si kwa ajili ya umeme tu bali pia kudestroy uchafu na kusababisha utaratibu wa kutupa uchafu vizuri zaidi badala ya kuuzagaa.

Pamoja na hayo, tukipanga vizuri na kutumia uwezo wetu tuliojaliwa na Mungu kufikiria tunaweza kufanya hili liwezekane.
 
Mnaongelea ilani za chadema, cha kushangaza ni kuwa kwa nini chadema wasiwekeze kwenye umeme? wanangoja nini? nani aliyewazuia na wao ni chama chenye wafuasi wengi na bajeti nzuri tu wanayo? ya kupewa hapa na serikali na ya kuletewa na chama cha demokrasia cha kikristo cha ujerumani.

Haiingii akilini chama hakina kutekeleza japo kimoja ya wanayoyalalamikia siku zote. Mngeanza kuonesha japo kwenye majimbo yenu ya uchaguzi tu, mkawapa umeme usiokatika saa zote, maji safi kaya zote, shule zilizosheheni waalimu, madawati, vyoo vya kisasa, maabara, mngeweka hospitali za kisasa kwenye jimbo lenu hata moja tu.

Mnabaki kulalama, kususa, kuandamana. Tuonesheni vitu hai ili tujuwe kweli nyinyi ni zaidi ya serikali ya sasa ili tuwape kura zetu haraka haraka. Nani asiyetaka maendeleo? mnatuchosha na mulalama kwenu kusiko kwisha bila kuonesha mfano hata mdogo tu. Bora hata mrema alikwenda kuileta kuileta kampuni ya umeme poa, ingawa haijafanikisha lakini tuliona kawaleta, alionesha jitihada za vitendo na si kulalamika tu saa zote.

Kama uongozi rahisi si tungeona ile hospitali anaeongoza katibu mkuu wenu ikiwa kama mfano wa kuigwa? kiko wapi? ukienda pale ni foleni kuanzia asubuhi mpaka saa kumi jioni lakini ukitoa kitu kidogo unapelelkwa kumuona dokta mbio mbio, au hamlijui hilo? Na ndio katibu mkuu wenu kiongozi wa pale, au kaacha kwa kugombea urais alioukosa?
 
Nyie subirini tu... miezi 6 hadi 9 kabla ya uchaguzi wa 2015 mtasikia majenereta ya kila aina yameingizwa nchini kutatua issue ya umeme once and for all!!! Mnashindwa kuelewa kwanini kila mpango wa umeme unaotajwa hivi sasa unalenga 2015??!!... Kampeni zitafatia, wapinzani hawatakuwa na la kusema kuhusu umeme, na pale wabongo watakapopewa kanga na kofia mojamoja watasahau kama ilivyo kawaida yote ya kadhia hili. Na baada ya hapo CCM mara nyingine tena haooo serikalini, na ghafla miezi mitatu baadae mgao unarudishwa tena, tunaambiwa kimo cha maji kimepungua Kidatu, halafu jenereta mpya zimepatwa na matatizo ya kiufundi, mtaalamu wa kutengeneza anatafutwa!!!
 
Mnaongelea ilani za chadema, cha kushangaza ni kuwa kwa nini chadema wasiwekeze kwenye umeme? wanangoja nini? nani aliyewazuia na wao ni chama chenye wafuasi wengi na bajeti nzuri tu wanayo? ya kupewa hapa na serikali na ya kuletewa na chama cha demokrasia cha kikristo cha ujerumani.

Haiingii akilini chama hakina kutekeleza japo kimoja ya wanayoyalalamikia siku zote. Mngeanza kuonesha japo kwenye majimbo yenu ya uchaguzi tu, mkawapa umeme usiokatika saa zote, maji safi kaya zote, shule zilizosheheni waalimu, madawati, vyoo vya kisasa, maabara, mngeweka hospitali za kisasa kwenye jimbo lenu hata moja tu.

Mnabaki kulalama, kususa, kuandamana. Tuonesheni vitu hai ili tujuwe kweli nyinyi ni zaidi ya serikali ya sasa ili tuwape kura zetu haraka haraka. Nani asiyetaka maendeleo? mnatuchosha na mulalama kwenu kusiko kwisha bila kuonesha mfano hata mdogo tu. Bora hata mrema alikwenda kuileta kuileta kampuni ya umeme poa, ingawa haijafanikisha lakini tuliona kawaleta, alionesha jitihada za vitendo na si kulalamika tu saa zote.

Kama uongozi rahisi si tungeona ile hospitali anaeongoza katibu mkuu wenu ikiwa kama mfano wa kuigwa? kiko wapi? ukienda pale ni foleni kuanzia asubuhi mpaka saa kumi jioni lakini ukitoa kitu kidogo unapelelkwa kumuona dokta mbio mbio, au hamlijui hilo? Na ndio katibu mkuu wenu kiongozi wa pale, au kaacha kwa kugombea urais alioukosa?

Devoid of a wipe and not worth flushing...!!!
 
100MW ni short term solution kwavile mahitaji ya umeme nchini yanakua kwa kiwango hicho

For a state owned utility, serikali inatakiwa ijikite kwenye kuimarisha uzalishaji wa umeme nchini kwa kiwango kikubwa hili halijapewa umuhimu stahiki, ningeshauri serikali iangalie maramoja financiers for Ruhudji maana ni a bit easier than Stiegler's Gorge kwa sasa

Mitambo ya Aggreko itazalisha 100MW HFO na watalipwa a staggering 55bn per month! Sasa do your math,revenue ya TANESCO ni kiasi gani kwa mwezi,na hapo hujamlipa Symbion,IPTL,Songas na other off grid operators...na bado unaload shed kwasababu hata Aggreko haiondoi tatizo bali inapunguza

Ni vyema serikali ya chama cha mapinduzi, ikusanye hela yooooooote ya posho iliyotengwa kwenye wizara mbalimbali na kuiwekeza Ruhudji...Zomba...kufikiri CDM au CUF waje na miradi while serikali inaongozwa na CDM ni lack of analysis watakuja nayo, but no one will finance them, hii miradi sio lelemama lazima financiers uwakusanye na uwaconvince na upate govt guarantee..its a joke to think CDM will get tht backing!
 
100MW ni short term solution kwavile mahitaji ya umeme nchini yanakua kwa kiwango hicho

For a state owned utility, serikali inatakiwa ijikite kwenye kuimarisha uzalishaji wa umeme nchini kwa kiwango kikubwa hili halijapewa umuhimu stahiki, ningeshauri serikali iangalie maramoja financiers for Ruhudji maana ni a bit easier than Stiegler's Gorge kwa sasa

Mitambo ya Aggreko itazalisha 100MW HFO na watalipwa a staggering 55bn per month! Sasa do your math,revenue ya TANESCO ni kiasi gani kwa mwezi,na hapo hujamlipa Symbion,IPTL,Songas na other off grid operators...na bado unaload shed kwasababu hata Aggreko haiondoi tatizo bali inapunguza

Ni vyema serikali ya chama cha mapinduzi, ikusanye hela yooooooote ya posho iliyotengwa kwenye wizara mbalimbali na kuiwekeza Ruhudji...Zomba...kufikiri CDM au CUF waje na miradi while serikali inaongozwa na CDM ni lack of analysis watakuja nayo, but no one will finance them, hii miradi sio lelemama lazima financiers uwakusanye na uwaconvince na upate govt guarantee..its a joke to think CDM will get tht backing!

Wanangoja nini? hakuna cha govt guarantee, hizo ni fikra za kizamani. Just bank guarantees are enough for 100MW generators.
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa waste to energy conversion is costly ukilinganisha na vyanzo vingine lakini ukipima sana utaona ina faida nyingine ambayo vyanzo vingine havina - inaondoa uchafu na kuangamiza badala ya kujaza landfills. Na teknolojia ya leo ipo inayowezesha hata kufanyika bila kuwa na matokeo mabaya zaidi katika pollution compared na uchafu ambao tayari upo. Binafsi suala la kugeuza uchafu into energy si kwa ajili ya umeme tu bali pia kudestroy uchafu na kusababisha utaratibu wa kutupa uchafu vizuri zaidi badala ya kuuzagaa.

Pamoja na hayo, tukipanga vizuri na kutumia uwezo wetu tuliojaliwa na Mungu kufikiria tunaweza kufanya hili liwezekane.

Mwanakijiji Mkuu,

Tunaweza kuwa na environmental friendly energy nchini but cha msingi sasa ni umeme wa uhakika. Germany wameamua kutumia renewable energy baada ya miaka zaidi ya 50 ya umeme wa makaa ya mawe. USA pia wanatafuta renewable energy baada ya miaka zaidi 50 ya Nuclear, Hydro and Coal energy. China and India wamerefuse to lower their air polution as it is harmful for their economic growth. Main contributor of that air polution is Coal and Nuclear Energy production.

Despite the downturn on environmental impact of Coal, Nuclear Energy but Hydro, Coal and Nuclear Energy are the cheapest energy sources compare to wind farm and renewable energy. Tanzania inachohitaji si umeme safi bali umeme wa uhakika.

Mipango ya Tanesco ni ya kisanii ile mipango ya uhakika yenye kuleta umeme wa uhakika haijulikani inaanza lini. Isipokuwa kuna project lukuki za kisanii za MW 100 zinaanzishwa zenye kufidia eneo dogo la umeme. Hii miradi inatakiwa iwe ya muda mfupi (Short-term) na iwe paralel na mipango ya muda mrefu ya MW 2000 (long-term) na kuendelea. Cha kushangaza Tanesco miradi ya muda mrefu inanyamaziwa inayopewa ni miradi ya muda mfupi ili baada ya miaka 3-5 tatizo lirudi tena akina IPTL na Dowans wawe tayari kutupa mradi wa dharura ( nimesahau cash cow ya wakubwa).
 
100MW ni short term solution kwavile mahitaji ya umeme nchini yanakua kwa kiwango hicho

For a state owned utility, serikali inatakiwa ijikite kwenye kuimarisha uzalishaji wa umeme nchini kwa kiwango kikubwa hili halijapewa umuhimu stahiki, ningeshauri serikali iangalie maramoja financiers for Ruhudji maana ni a bit easier than Stiegler's Gorge kwa sasa

Mitambo ya Aggreko itazalisha 100MW HFO na watalipwa a staggering 55bn per month! Sasa do your math,revenue ya TANESCO ni kiasi gani kwa mwezi,na hapo hujamlipa Symbion,IPTL,Songas na other off grid operators...na bado unaload shed kwasababu hata Aggreko haiondoi tatizo bali inapunguza

Ni vyema serikali ya chama cha mapinduzi, ikusanye hela yooooooote ya posho iliyotengwa kwenye wizara mbalimbali na kuiwekeza Ruhudji...Zomba...kufikiri CDM au CUF waje na miradi while serikali inaongozwa na CDM ni lack of analysis watakuja nayo, but no one will finance them, hii miradi sio lelemama lazima financiers uwakusanye na uwaconvince na upate govt guarantee..its a joke to think CDM will get tht backing!

Eng Nsiande,

Ndio sababu nawaambieni Tanesco mnafanya usanii. Mnaacha project ya maana ya Stiegler Gorge yenye kuzalisha umeme wa MW 2100 mnafanya project za 100MW.

Mradi wa Stiegler Gorge uko since 1985 unapigiwa dana dana tu kwasababu unajulikana ukianzishwa utalimaliza tatizo la umeme but tunaambiwa tatizo la umeme nchini ni ukame. You guys are not serious !!!

Mie nashauri miradi ya short term na long term iende pamoja na sio short term solution for long term problem ndio inatengeneza mirija ya ufisadi.
 
Eng Nsiande,Ndio sababu nawaambieni Tanesco mnafanya usanii. Mnaacha project ya maana ya Stiegler Gorge yenye kuzalisha umeme wa MW 2100 mnafanya project za 100MW. Mradi wa Stiegler Gorge uko since 1985 unapigiwa dana dana tu kwasababu unajulikana ukianzishwa utalimaliza tatizo la umeme but tunaambiwa tatizo la umeme nchini ni ukame. You guys are not serious !!!Mie nashauri miradi ya short term na long term iende pamoja na sio short term solution for long term problem ndio inatengeneza mirija ya ufisadi.
Please read power system master plan,Stiegler's Gorge bado uko kwenye mchakato wa mambo ya mazingira na ukishamaliza its money ni zaidi ya trillion its not sth the utility cn finance on its own right now though mchakato wake kitaalamu umekamilika na uko wizaraniRuhudji is a bit cheaper and yes about 800MW na ujue kujenga mpaka commissioning might take 5 good years ila safari yoyote huanza na hatua moja, nao uko wizarani..sasa tufanye nini zaidi ?
 
Wanangoja nini? hakuna cha govt guarantee, hizo ni fikra za kizamani. Just bank guarantees are enough for 100MW generators.
Zomba nipatie cost za kuleta mtambo wa 100Mw unaohitaji only 'bank guarantee'Ujue zile 260MW japo zilikuwa ni za kukodisha zinagharama ya 400bn nani atakupa?
 
Please read power system master plan,Stiegler's Gorge bado uko kwenye mchakato wa mambo ya mazingira na ukishamaliza its money ni zaidi ya trillion its not sth the utility cn finance on its own right now though mchakato wake kitaalamu umekamilika na uko wizaraniRuhudji is a bit cheaper and yes about 800MW na ujue kujenga mpaka commissioning might take 5 good years ila safari yoyote huanza na hatua moja, nao uko wizarani..sasa tufanye nini zaidi ?

Hao ndio ma engineers wa TANESCO. Hamna cha kufanya? kwani mnafanya nini siku zote zaidi ya kukera watu tu? kaulizeni ma engineers wa nchi zingine wanafanya nini au ondokeni huko mmeshaishiwa hata cha kufanya hamjui.
 
Please read power system master plan,Stiegler's Gorge bado uko kwenye mchakato wa mambo ya mazingira na ukishamaliza its money ni zaidi ya trillion its not sth the utility cn finance on its own right now though mchakato wake kitaalamu umekamilika na uko wizaraniRuhudji is a bit cheaper and yes about 800MW na ujue kujenga mpaka commissioning might take 5 good years ila safari yoyote huanza na hatua moja, nao uko wizarani..sasa tufanye nini zaidi ?

Eng Nsiande,
Unataka kutuambia proposals ziko wizarani kujibiwa hazijibiwi? If yes then nafikiri akina Zitto watajua lakufanya kwasababu proposal za waziri Ngeleja to me does not make any sense at all!!!! Ngoja nikupe dondoo zake katika hotuba yake namnukuu:-
"
Alitaja miradi 16 akisema ni miongoni mwa ile itakayotekelezwa na Serikali ili kuongeza uzalishaji wa umeme, kupanua na kuboresha njia za umeme, kuendeleza na kupanua miundombinu ya gesi asilia.



Miongoni mwa miradi aliyoitaja Ngeleja ni ule wa mitambo ya kufua umeme ya megawati 100 jijini Dar es Salaam ambao alisema utakamilika Desemba mwaka huu na megawati 60 jijini Mwanza ambao utakamilika Juni mwakani.



Miradi mingine pamoja na muda wa kukamilika kwenye mabano ni Kinyerezi (Dar es Salaam) wa megawati 240 (2013/14), Mnazi Bay (Mtwara) wa megawati 300 (2013/14), Somanga Fungu (Kilwa), megawati 230 (2013/14)Ruhudji, megawati 358 (2015/16).



Mingine ni mgodi wa makaa ya mawe Kiwira (Mbeya) megawati 200 (2013/14), Ngaka wa megawati 400 (2014/15), Mchuchuma megawati 600 (2014/15), Murongo/Kikagati (Kagerea) wa megawati 16 ambao utategemea kukamilika kwa makubaliano kati ya Serikali ya Uganda na Tanzania.

Aliitaja miradi mingine kuwa ni Rusumo (Kagera) wa megawati 63 ambao upo kwenye taratibu za kutafutiwa fedha, Stiegler's Gorge (Pwani) wa megawati 2,100 na Mpanga wa megawati 165 (2015/16).



Pia, aliitaja mingine kuwa ni Rumakali wa megawati 222 (2018), Dar es Salaam-Tanga ambayo ni ya dharura ikijumuiasha Symbion (megawati 112.5), Aggreko (megawati 100), ununuzi wa mitambo itakayofungwa Majani Mapana, Tanga wa megawati 70 na ule wa gesi wa IPTL, Tegeta jijini Dar es Salaam."


Hebu nifafanulie waziri alikuwa anamaanisha kitu gani?
 
Hao ndio ma engineers wa TANESCO. Hamna cha kufanya? kwani mnafanya nini siku zote zaidi ya kukera watu tu? kaulizeni ma engineers wa nchi zingine wanafanya nini au ondokeni huko mmeshaishiwa hata cha kufanya hamjui.
Tatizo sio technical ni finance, shirika litoe wapi trillion ya kufanya generation? Uganda wansaidiwa na serikali yao mradi kamab Bujagali which is 250MW sasa sio kuwa wizara ya nishati Uganda iliubuni, la hasha ni shirika liliwapelekea, sasa wizara ikipelekewa na haitekelezi ufanyeje ?
 
Zomba nipatie cost za kuleta mtambo wa 100Mw unaohitaji only 'bank guarantee'Ujue zile 260MW japo zilikuwa ni za kukodisha zinagharama ya 400bn nani atakupa?

Serikali inaweza kuomba bank guarantee on your behalf kutoka kwenye Development bank kama IFC, EADB, ADB. Billioni 400 ni ndogo sana (vijisenti) kwa serikali ya Tanzania. Serikali imewasaidia kwa kiwango gani kutukwamua katika hilo janga kwasababu wananchi ndio tumemwajiri Rais wa Tanzania na serikali yake na ndio tunaowalipa mishahara yao kwa kutumia kodi zetu?
 
Jamani wote mmetoa idea nzuri kwa sababu kubwa ni upendo na uzalendo wa nchi yetu.

Kitu moja ambacho nimeimba sana, ambacho viongozi wetu hawana ni ule uzalendo....Sijaona kiongozi yoyote yule TZ ambaye nianweza kusema ni Mzalendo.

Kwa kifupi wote hawa maprofessa wengi wetu tuliamini tukadhani kuwa wasomi watatusaidia katika maendeleo kumbe ni bure kabisa ni afadhali kina Masudi ambaye enzi za mwalimu alikuwa anatoa thumni kwenye bajeti.

Janga la umeme limekuwa ndio koleo cha kujazilia mali, hawa viongozi wasio na uchungu wa nchi. Hawa ni wahujumu wa nchi yetu tukufu.

Halafu leo ukiwaona bungeni wanalizungumzia hili janga kwa kejeli na mipango isiyo endelevu..........Nawasihi sana msichukulie upole na subra yetu for granted.

 
Mkuu mdondoaji, miradi yoote hiyo tangu nimeingia mpaka nimeondoka ilikuwa inapelekwa kila mwaka wizarani...

Sijui kwanini maamuzi magumu hayafanyiki...
 
Mkuu mdondoaji, miradi yoote hiyo tangu nimeingia mpaka nimeondoka ilikuwa inapelekwa kila mwaka wizarani...

Sijui kwanini maamuzi magumu hayafanyiki...

Eng Nsiande mungu ibariki nchi hii kama ndio mazingira ni haya!!!!

Inakuwaje sasa kama hawafanyi maamuzi magumu yenye faida kwa nchi hii, wakati maamuzi ya kulipa Billions Dowans yanafanyika? Maamuzi ya kulipa IPTL billions per month. Managing Director wa Tanesco ambaye ana dhamana ya ugavi nchini anashindwaje kushinikiza uamuzi ufanyike kujivua lawama?
 
Eng Nsiande mungu ibariki nchi hii kama ndio mazingira ni haya!!!! Inakuwaje sasa kama hawafanyi maamuzi magumu yenye faida kwa nchi hii, wakati maamuzi ya kulipa Billions Dowans yanafanyika? Maamuzi ya kulipa IPTL billions per month. Managing Director wa Tanesco ambaye ana dhamana ya ugavi nchini anashindwaje kushinikiza uamuzi ufanyike kujivua lawama?
Only in Tanzania...ndio maana Mkono alipohoji Buhemba na wizi nilitamani nimhoji mabilioni aliyochota TANESCO kwa kesi zilizoshindikana na hatujashinda na analipwa!Kimsingi serikali pendwa ina'guarantee' loans kwa shirika bali haitoi pesa, pesa pekee inayoletwa ni ya mafuta for IPTLJamani nikiendelea kuandika I'd just blow my cover amani iwe nanyi
 
Back
Top Bottom