The 1st 2013 Kenyan Presidential Debate

The 1st 2013 Kenyan Presidential Debate

Mwaka 1995 uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi ulifanyika mdahalo kwa njia ya radio kati ya Ibrahim Lipumba, Mrema, Mkapa na Cheyo! uchaguzi wa 2005 Lipumba akaomba mdahalo ufanyike lakini Mkapa hakutokea! sasa tunaomba midahalo ifanyike kupitia TV ili tuwaone!
 
Magamba ina watu wawili tuu wenye uwezo wakufanya mdahalo na chadema mwakyembe na sitta basi.mtu kama magufuli yeye anajua urefu wa barabara na idadi ya samaki kwenye maziwa yote tanzania
 
Halafu walisema unaanza saa moja kamili uciku.. Mpaka sasa hiv haujaanza.. When it comes 2 time keeping.. Hatuna tofauti..


Mkuu nimeona wagombea wanaingia kwenye ukumbi wa mdahalo na waendesha mdahalo wanafanya analysis wakisubiri mdahalo uanze punde si punde.
 
I hope hawatarushiana makonde hapo mambo yakichacha. Madame Karua should have worn a trouser suit.
 
Mwaka 1995 uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi ulifanyika mdahalo kwa njia ya radio kati ya Ibrahim Lipumba, Mrema, Mkapa na Cheyo! uchaguzi wa 2005 Lipumba akaomba mdahalo ufanyike lakini Mkapa hakutokea! sasa tunaomba midahalo ifanyike kupitia TV ili tuwaone!

Mkuu mwaka 1995 DTV pia iliandaa mdahalo lakini walitokea Mrema na Lipumba peke yao.
 
Kwa nini wagombea wa Tanzania wanaakimbia?

Do not generalize; mbona chinga Mkapa alipiga mdahalo mwaka 1995? CCm walikacha mdahalo mwaka 2005 wakati walipopata mgombea DHAIFU!! Hivyo si sahihi kusema chama cha magamba wanakwepa mdahalo ni huyo "bwana maendeleo" ndiye aliyesepa mdahalo!!
 
I hope hawatarushiana makonde hapo mambo yakichacha. Madame Karua should have worn a trouser suit.

Hahaaaa ni kama ulikuwa kichwani mwangu vile. Nilikuwa nafikiria hivi itakuwaje mfano Uhuru akimpiga jebu Raila...lol.

Si itakuwa kizaazaa bin kitimtim....

Hopefully they will be well behaved.
 
BC1f0gzCcAEI5X4.jpg:large
 
da wakenya safi sana,maccm ya bongo hayawezi kukubali,ndo tunaachwa kidemokrasia hvo.

Umeshaanza kuwasifia hata uchaguzi na matokeo bado! we ngoja uje uone wa Kenya huwajui wewe wana ukabila ile mbaya! Tanzania ni kisiwa cha amani uchaguzi hakuna fujo na atakae leta fujo kuna FFU! chezea CCM wee!
 
Back
Top Bottom