The 2019 NBA Playoffs

The 2019 NBA Playoffs

Nadhani sasa tunaweza kusema he is among the elite players of NBA. IMO he is among the top 10 players of NBA.

Man, top 10 players is too early.

Na position yako iko stacked na talents.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahaha nilishasahau kama Jason Taytum ana exist.
Nilisikia D'Angelo aligombana na Nick Young ndo maana Lakers walimuachia. Alafu nilitegemea Lonzo angesaidiana zaidi na LeBron lakini kweli labda season ijayo.
Ile issue ilikuwa ya kitoto, msimu ule hakuwa na true leaders wa kumlead, na Swag P naye matani yalikuwa mengi pia.
Ila Lakers walimuuza kwa sababu ya ku-create nafasi kwa Lonzo, waliona kama Lonzo ana ceiling kubwa kupita D'Angelo.
Nakumbuka Magic akisema D'Angelo hana leadership genes ukilinganisha na Lonzo.
 
Now they realize that their assumptions were very wrong.

Ile issue ilikuwa ya kitoto, msimu ule hakuwa na true leaders wa kumlead, na Swag P naye matani yalikuwa mengi pia.
Ila Lakers walimuuza kwa sababu ya ku-create nafasi kwa Lonzo, waliona kama Lonzo ana ceiling kubwa kupita D'Angelo.
Nakumbuka Magic akisema D'Angelo hana leadership genes ukilinganisha na Lonzo.
 
Okay let’s wait and see but I believe so. The guy is so good. Let’s watch him during these playoffs.

Game yao ndo itaanza leo, naona Embiid anaweza asicheze.

Mimi nitaangalia kama ntajua Embiid anacheza.

Hata hivyo simwoni kwa level hizo.

Ukianza kulist elite PGs tu bado sana, ije top 10 ya NBA?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yes Embiid is doubtful. Okay ngoja tumuangalie kama he is among top 10 players or it is too early to include him in that group.

Game yao ndo itaanza leo, naona Embiid anaweza asicheze.

Mimi nitaangalia kama ntajua Embiid anacheza.

Hata hivyo simwoni kwa level hizo.

Ukianza kulist elite PGs tu bado sana, ije top 10 ya NBA?
 
Sasa kule East wananigombanisha, Milwaukee na chama la Mwanangu Eminem


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Naona watu mnazungumzia timu zingine na kuisahau Portland Trail Blazers. Hawa jamaa wako vizuri sana msimu, yaani wana balaa sana hawa. Sipati picha kama Nurkic asinge vunjika mguu. Juzi tu wametoka kuibamiza Sacramento Kings kutoka nyuma ya pointi 28 mpaka kuibuka na ushindi, na kitu cha kusitajabisha sana ni kule kucheza wachezaji sita pekee tena wale watoto wao.

MGC
 
Naona watu mnazungumzia timu zingine na kuisahau Portland Trail Blazers. Hawa jamaa wako vizuri sana msimu, yaani wana balaa sana hawa. Sipati picha kama Nurkic asinge vunjika mguu. Juzi tu wametoka kuibamiza Sacramento Kings kutoka nyuma ya pointi 28 mpaka kuibuka na ushindi, na kitu cha kusitajabisha sana ni kule kucheza wachezaji sita pekee tena wale watoto wao.
MGC

Mtavuka kwa OKC?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ile issue ilikuwa ya kitoto, msimu ule hakuwa na true leaders wa kumlead, na Swag P naye matani yalikuwa mengi pia.
Ila Lakers walimuuza kwa sababu ya ku-create nafasi kwa Lonzo, waliona kama Lonzo ana ceiling kubwa kupita D'Angelo.
Nakumbuka Magic akisema D'Angelo hana leadership genes ukilinganisha na Lonzo.
Ahaaa kumbe. Na Lonzo mwenywe ndo huyo.
 
Ni wazuri lakini si wa kufika Western conference finals. Ikitokea hivyo nitashangaa sana.

Naona watu mnazungumzia timu zingine na kuisahau Portland Trail Blazers. Hawa jamaa wako vizuri sana msimu, yaani wana balaa sana hawa. Sipati picha kama Nurkic asinge vunjika mguu. Juzi tu wametoka kuibamiza Sacramento Kings kutoka nyuma ya pointi 28 mpaka kuibuka na ushindi, na kitu cha kusitajabisha sana ni kule kucheza wachezaji sita pekee tena wale watoto wao.

MGC
 
Halla Golden State Warriors !!!, new jersey, more power. Hao clippers tutawa- clip wenyewe
 
Yeah! Right probably Blazers will go through round one of the playoffs and that’s it but surprises do happen. Let’s wait and see. This will be among the series that will be very entertaining.

Jiandae kushangaa tena sana

MGC
 
Back
Top Bottom