Do you guys really know who Steph Curry is? I doubt, I really doubt! Well, here goes...
A six-time NBA All-Star, Wardell Stephen Curry II has been named the NBA Most Valuable Player twice and won three NBA championships with the Warriors.
Many players and analysts have called him the greatest shooter in NBA history.
He is credited with revolutionizing the game of basketball by inspiring teams to regularly employ the three-point shot as part of their winning strategy.
Steph Curry alikuwa ni mchezaji wa kwanza katika historia ya NBA kuchaguliwa MVP na wanamichezo pamoja na waandishi wa michezo kwa kupata kura zote zilizopigwa (unanimous) na wakati huo KD hakuwepo.
Steph curry alioongoza Warriors kuvunja rekodi iliyowahi kuwekwa na Chicago Bulls ya Michael Jordan ya 72-10 kwa kushinda michezo 73-9 katika regular season khabla ya ujio wa KD!
Orodha ya mafanikio ya Curry inaweza kujaza kitabu kizima ndugu zangu lakini nitaachia hapo...