Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Last year alikuwa Yokohama B corsairs...Kwenye miti hakuna wajenzi Mkuu. According to the latest news he is now in Japan playing Basketball, but I am not 100% sure about the accuracy of this info.
But kinachoniumiza zaidi ni kwamba alikuwa Defensive Player of The Year katika level ya college. Sasa sijui alilala alivyoingia NBA.
Kwa ufupi jamaa alizingua sana kwa kweli mm roho huwa inaniuma sana nikiangalia jinsi alivyoingia NBA na sasa alipo.Alilala sana Mkuu na humu kulikuwa na discussions za Watanzania mbali mbali waliomuona live kwenye mechi za NBA au kwenye TV kutoridhishwa na work ethics yake. Akaendelea kuzembea hadi akaishia league D ya NBA.
Nawaomba niwarudishe nyuma kidogo tu muangalie huu mpambano kati ya OKC na GSW mwaka 2016. Wakati huo KD kwa OKC tayari alikuwa moto wa kuotea mbali huku Steph Curry naye kwa GSW akianza kuwaacha watu mdomo wazi...Kiongozi...Hivi umeshawahi kukutana na Stats zinazoonesha matokeo ya GSW wakiwa bila KD uwanjani na wakiwa bila Steph..?
Nawaomba niwarudishe nyuma kidogo tu muangalie huu mpambano kati ya OKC na GSW mwaka 2016. Wakati huo KD kwa OKC tayari alikuwa moto wa kuotea mbali huku Steph Curry naye kwa GSW akianza kuwaacha watu mdomo wazi...
Mchezo huu ulifanyika nyumbani kwa OKC kwenye playoffs.
Kwa bahati mbaya au nzuri kwa sasa wote wapo GSW na si mahasimu tena.
But kinachoniumiza zaidi ni kwamba alikuwa Defensive Player of The Year katika level ya college. Sasa sijui alilala alivyoingia NBA.
Ahahaaaah...
Naona mkongwe uliwatengenezea watu kaburi la kufukua..!
GSW wamekuprove wrong,Rockets wamechapwa makofi palepale sebureni kwao..!
#StrengthInNumbers
KD alienda GSW sababu alitaka apate ring hata mojaKawaida kwenye michezo, KD aliongezwa kwenye kikosi kwa ajili ya kudili na LeBron, siyo dhidi ya hizi timu zingine.
Na for straight 2 seasons tumeona matokeo.
KD alienda GSW sababu alitaka apate ring hata moja
Thank u for giving bucks the respect they need[emoji1755]Nadhani sasa mjadala umefungwa rasmi kuhusu gsw isiyokuwa na kd kuifunga rockets iliyokamilika. Gsw ni timu ya green,Iggy na the splash brothers.
Pamoja na kusema hayo,endapo tutacheza fainali,bucks watatusumbua kiaina,wako kwenye kiwango bora sana said.
He gased up the transferAlijipeleka au alikuwa recruited?
Hahahahahaha daaaahh aya naona unasubiri game 7 hapo ππππKu-adjust namna ya kucheza dhidi ya GSW ndani ya game siyo rahisi. Lakini kwa game nzima, Rockets wana nafasi ya ku-adjust.
GSW wana machaguo mawili: kukubali kuwa blown out ili Steph and Klay wasicheze 40+ minutes, au kukubali kushindwa kwa tofauti ya points 5 na kwenda game 7 wakiwa wamechoka balaa, baada ya Steph, Klay na Draymond kucheza 40+ minutes.
Hahahahaha daaahh Lebron no. 1 fan hahahahaha then what happened on game 6?Usije ukaleta kisingizio cha KD na Boogie kutokuwepo.