The 2019 NBA Playoffs

The 2019 NBA Playoffs

Image may contain: one or more people


Salam kwenu wakuu. Huyu Kahwi sijui Kahawa ni mtu hatari sana. Halafu hacheki wala hatabasamu, wala hashangilii, na haongei sana. This was the best match. Hongera kwa Toronto. [emoji847]
 
Jamaa hapendi media kabisa ana private life lake
Hahaha ana kicheko chake kimoja kilimfanyaga Kevin Hart acheke ya hela yote.

Die and be a hero or live long enough to see yourself become the villain.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa nimerukia ndani ya bandwagon ya Raptors. I hope hawatakuwa baby dinos mbele ya GSW.

Tupo wengi na mimi nimedandia hii treni ya Raptors, naamini tutatoa ushindani mzuri. Naamini Huston walipania sana na mwisho wakawa wana panic sana. Pia naamini Portland hawakuwa na confidence at all. Raptors wako vizuri kwenye hizo categories. Ni maoni tu [emoji41]
 
In the last week, LeBron James has reportedly contacted Kawhi Leonard (Raptors) and Jimmy Butler (76ers). He has been seen with Kyrie Irving (Celtics), Russell Westbrook (Thunder), and Anthony Davis (Pelicans).
 
Abaki tu Raptors ili aendelee kutabasamu maana sikumbuki kumuona akitabasamu alipokuwa Spurs.

Hatimaye amecheka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28], itakua Drake amemwambia kitu cha kuchekesha labda. Safi sana, he deserve. Naangalia replay saa hizi.
 
Sasa nimerukia ndani ya bandwagon ya Raptors. I hope hawatakuwa baby dinos mbele ya GSW.
Karibu sana Nzi, usiwe unapotea hivyo ila pole sana kwa kurukia ndani ya bandwagon ya losers, naona hii sasa imekuwa kawaida yako kwani si mara yako ya kwanza. Historia inatakiwa itoe fundisho lakini some of you will just never learn. Hebu pitia hizi tabiri tofauti tofauti zilizowahi kutolewa humu jamvini toka hizi playoffs za msimu huu zianze za timu mbili zitakazotinga fainali...well here goes...
I hope GSW lose tonight.
Mkuu amini kuwa Blazers ndio bingwa wa Western Conference
My prediction Houston VS Bucks
Blazers Vs Bucks
Mkuu Nzi, nadhani unaweza kuona jinsi Warriors walivyokuwa hawapewi nafasi yoyote ile, na wakitajwa ni pale tu wanapoombewa washindwe. Nikimjibu mjr95 alipotabiri Blazers na Bucks kukutana fainali nilisema hivi...
Bucks na Blazers hawataziona FINALS ng'o!
Na kweli timu hizo mbili, pamoja na kupigiwa tafu, mbio zao ziliishia ukingoni. Sasa mwenzangu Nzi nawe umerukia bandwagon ile ile ya miaka yote...please join me, rukia bandwagon ya washindi. GSW atatetea taji lake come what may!

Ni muda sasa mjr95 kaingia mitini, lakini popote alipo naomba akae karibu na TV yake fainali zitakapoanza na mathalani timu zake zote zimetolewa awashangilie mabingwa in waiting. Kwa ufahamisho, haitajalisha kama KD na the Boogie hawatashiriki, ubingwa uko pale pale!
 
Karibu sana Nzi, usiwe unapotea hivyo ila pole sana kwa kurukia ndani ya bandwagon ya losers, naona hii sasa imekuwa kawaida yako kwani si mara yako ya kwanza. Historia inatakiwa itoe fundisho lakini some of you will just never learn. Hebu pitia hizi tabiri tofauti tofauti zilizowahi kutolewa humu jamvini toka hizi playoffs za msimu huu zianze za timu mbili zitakazotinga fainali...well here goes...




Mkuu Nzi, nadhani unaweza kuona jinsi Warriors walivyokuwa hawapewi nafasi yoyote ile, na wakitajwa ni pale tu wanapoombewa washindwe. Nikimjibu mjr95 alipotabiri Blazers na Bucks kukutana fainali nilisema hivi...
Na kweli timu hizo mbili, pamoja na kupigiwa tafu, mbio zao ziliishia ukingoni. Sasa mwenzangu Nzi nawe umerukia bandwagon ile ile ya miaka yote...please join me, rukia bandwagon ya washindi. GSW atatetea taji lake come what may!

Ni muda sasa mjr95 kaingia mitini, lakini popote alipo naomba akae karibu na TV yake fainali zitakapoanza na mathalani timu zake zote zimetolewa awashangilie mabingwa in waiting. Kwa ufahamisho, haitajalisha kama KD na the Boogie hawatashiriki, ubingwa uko pale pale!

Mi naungana na ww mkuu Raptors siwachukii lakin kwakua walitutoa 76ers basi ni wajibu wangu sahv kuwasupport warriors sema naona game zitakuwa ngumu bila KD so natabiri Warriors to win in Game 6
 
Hahahahahahaha wahenga walisema tusiandikie mate na wino upo. What’s on paper sometimes is very different from reality.

Karibu sana Nzi, usiwe unapotea hivyo ila pole sana kwa kurukia ndani ya bandwagon ya losers, naona hii sasa imekuwa kawaida yako kwani si mara yako ya kwanza. Historia inatakiwa itoe fundisho lakini some of you will just never learn. Hebu pitia hizi tabiri tofauti tofauti zilizowahi kutolewa humu jamvini toka hizi playoffs za msimu huu zianze za timu mbili zitakazotinga fainali...well here goes...




Mkuu Nzi, nadhani unaweza kuona jinsi Warriors walivyokuwa hawapewi nafasi yoyote ile, na wakitajwa ni pale tu wanapoombewa washindwe. Nikimjibu mjr95 alipotabiri Blazers na Bucks kukutana fainali nilisema hivi...
Na kweli timu hizo mbili, pamoja na kupigiwa tafu, mbio zao ziliishia ukingoni. Sasa mwenzangu Nzi nawe umerukia bandwagon ile ile ya miaka yote...please join me, rukia bandwagon ya washindi. GSW atatetea taji lake come what may!

Ni muda sasa mjr95 kaingia mitini, lakini popote alipo naomba akae karibu na TV yake fainali zitakapoanza na mathalani timu zake zote zimetolewa awashangilie mabingwa in waiting. Kwa ufahamisho, haitajalisha kama KD na the Boogie hawatashiriki, ubingwa uko pale pale!
 
Natabiri haitakuwa fainali rahisi kwa gsw maana kwa kumbukumbu zangu warriors walipoteza 2-0 kwenye regular games walizokutana. Ukiangalia kwenye you tube,raptors hawakushinda kwa kubahatisha bali walikuwa wanaongoza kwa gap kubwa tena mwanzo hadi mwisho.

Ili gsw wa cruise with easy,coach kerr anatakiwa aje na mbinu ya kumzuia the claw na splash bros wawe kwenye form hasa kwenye 3s. Iggy akipewa playing time kubwa anaweza kumzuia the claw.
Mwisho wa yote,naiamini slogan ya gsw #strengthinnumber,ina fanya kazi vizuri sana.
 
Natabiri haitakuwa fainali rahisi kwa gsw maana kwa kumbukumbu zangu warriors walipoteza 2-0 kwenye regular games walizokutana. Ukiangalia kwenye you tube,raptors hawakushinda kwa kubahatisha bali walikuwa wanaongoza kwa gap kubwa tena mwanzo hadi mwisho.

Ili gsw wa cruise with easy,coach kerr anatakiwa aje na mbinu ya kumzuia the claw na splash bros wawe kwenye form hasa kwenye 3s. Iggy akipewa playing time kubwa anaweza kumzuia the claw.
Mwisho wa yote,naiamini slogan ya gsw #strengthinnumber,ina fanya kazi vizuri sana.
Thanks kwa kutusapoti GSW!.
 
Hahahahahahaha wahenga walisema tusiandikie mate na wino upo. What’s on paper sometimes is very different from reality.
Mkuu, mimi nachangamsha tu jukwaa lakini pamoja na hilo uwezo wa Warriors ni mkubwa. Baada ya kuwatoa Clippers na Rockets (bila KD!) sikuwa na wasi wasi tena na kweli Blazers wakafagiliwa bila huruma. Ninachojua ni kwamba when the going gets tough you can count on the Warriors!
 
It was a very good team even before KD join them, personally I am not surprised with their performance.

Mkuu, mimi nachangamsha tu jukwaa lakini pamoja na hilo uwezo wa Warriors ni mkubwa. Baada ya kuwatoa Clippers na Rockets (bila KD!) sikuwa na wasi wasi tena na kweli Blazers wakafagiliwa bila huruma. Ninachojua ni kwamba when the going gets tough you can count on the Warriors!
 
Natabiri haitakuwa fainali rahisi kwa gsw maana kwa kumbukumbu zangu warriors walipoteza 2-0 kwenye regular games walizokutana. Ukiangalia kwenye you tube, raptors hawakushinda kwa kubahatisha bali walikuwa wanaongoza kwa gap kubwa tena mwanzo hadi mwisho.
Unafanya makosa mawili ndugu yangu. Kwanza, regular season na post post regular season ni vitu viwili tofauti kabisa na hata michezo hubadilika na wachezaji kujituma zaidi. La pili, kumbukumbu nilizo nazo ni kwamba December 12, 2018 Raptors walipoinyanyasa GSW 113-93 uwanja wa Oracle, the claw, Kawhi, hakucheza kabisa, alikuwa benchi.

Ili gsw wa cruise with easy,coach kerr anatakiwa aje na mbinu ya kumzuia the claw na splash bros wawe kwenye form hasa kwenye 3s. Iggy akipewa playing time kubwa anaweza kumzuia the claw. Mwisho wa yote, naiamini slogan ya gsw #strengthinnumber,ina fanya kazi vizuri sana.
Subiri uone mnyama simba ukichezea sharubu zake anavyojibu mapigo na hicho kipigo Raptors hawatakaa waisahau. Je unakumbuka rekodi ya Rockets vs Raptors kwenye regular? Rockets waliwalaza Raptors 2-0 pamoja na Kawhi kuwa ndani.
 
Relax Dude kwa Nn Uwaone Warriors Ni Wazuri Zaidi Wakati Wote Wako Final
Unafanya makosa mawili ndugu yangu. Kwanza, regular season na post post regular season ni vitu viwili tofauti kabisa na hata michezo hubadilika na wachezaji kujituma zaidi. La pili, kumbukumbu nilizo nazo ni kwamba December 12, 2018 Raptors walipoinyanyasa GSW 113-93 uwanja wa Oracle, the claw, Kawhi, hakucheza kabisa, alikuwa benchi.

Subiri uone mnyama simba ukichezea sharubu zake anavyojibu mapigo na hicho kipigo Raptors hawatakaa waisahau. Je unakumbuka rekodi ya Rockets vs Raptors kwenye regular? Rockets waliwalaza Raptors 2-0 pamoja na Kawhi kuwa ndani.
 
Back
Top Bottom