The 2019 NBA Playoffs

The 2019 NBA Playoffs

Gsw ni kama manchester united tu,ikifungwa watu wanafanya sherehe Don Clericuzio

it ain't over til it's over!
it-aint-over-png.1121268
 
Warriors wananiangusha. Raptors wameamua kutuvua nguo.Nimeamka saa saba usiku ili niangalie mtanange. Naishia kusikitika tu.
 
it ain't over til it's over!
it-aint-over-png.1121268
Mkuu najua haijaisha lakini sitaki kujipa matumaini hewa.
Raptors wametubana kila idara na hawajatufunga kwa kubahatisha.
Lets stay positive on this pal
 
Kelvin Durant anapona lini jamani? Ina Warriors walituspoiligi sana,sasa hivi cha moto tunakiona. Curry na green wamezidiwa. Kahwa anatuvua nguo jamani.
 
Kelvin Durant anapona lini jamani? Ina Warriors walituspoiligi sana,sasa hivi cha moto tunakiona. Curry na green wamezidiwa. Kahwa anatuvua nguo jamani.
Kwenye western finals,green alikuwa ni mzee wa coast to coast dhidi ya blazers,amejaribu hapa anakuta kufuli limeandikwa "Serge Ibaka"
Kweli tumepatikana!
 
Sports haina ubaguzi, jana nimemwangalia Rafael Nadal anamkimbiza Roger Federer imeniuma kama nini.

Ila Raptors wanafanya maisha yarudi kuwa marahisi.
Mimi team King Rafa,jana nimefurahi sana. Ila nilikuwa naangalia chanel ambayo watangazaji walikuwa team Roger kabisa. Roger akishinda point yaani wanaonekana kabisa wanafurahi. At the end pamoja na upepo mkali,Rafa akashinda seti 3 huku Roger akiambulia sifuri. Sasa tunamsubiri kati ya Djokovic na Thiem.
 
Ila kwa upande flani nataka KD asirudi halaf tupigwe game 5.Unajua watu walimsema sana KD move yake ya kuja worriors na wakamwambia amechagua njia rahisi.

Ilikuwa njia rahisi, kilichowaua GSWs ni kwamba tayari system imeshampokea, hivyo yeye kuumia katikati lazima wa-shake.
 
Mimi team King Rafa,jana nimefurahi sana. Ila nilikuwa naangalia chanel ambayo watangazaji walikuwa team Roger kabisa. Roger akishinda point yaani wanaonekana kabisa wanafurahi. At the end pamoja na upepo mkali,Rafa akashinda seti 3 huku Roger akiambulia sifuri. Sasa tunamsubiri kati ya Djokovic na Thiem.

Mimi ni Roger toka 2000 namsikiliza Ramadhani Ali wa Sauti ya Ujerumani anamtaja.

Jana imeniuma kupoteza tena bila hata tie breakers, easy easy yaani.
 
Back
Top Bottom