Mekatilili
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 1,613
- 1,383
THE FACT: Kazi Kwa Vijana was investigated by the World Bank and given a clean bill of health!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swala la rushwa linakuwa gumu maana anawarushia tuhuma, angewauliza watadeal vipi na rushwa hapo wangetiririka kama maji kwenye mito kipindi cha Elnino.
Namwona Peter Keneth wako anasema hana hatia ya rushwa, kweli hakukwapua pale KFF kama Ndolanga na Rage walivyokuwa wanakwapua pale FAT?Dida anawajua wakenya, wanapenda mnoo kwenda abroad. Na yeye anajitetea ni kugrab any system ambayo inafaa. Sasa hata uarabuni kunafaa? Mweeh!
Hahahah! Mwongoza mjadala yupo smart
Dida anatapatapa tu
I like this debate..! Najaribu kufikiria if we have our own presidential debate wit Lowassa presenting ccm.. Na kashfa alizonazo duuh..
Hawa jamaa wanachonifurahisha pamoja na kurushiwa makombora wako calm sana.