The 2nd 2013 Kenyan Presidential Debate.

Hao wanaodai anamiliki ardhi nusu ya Kenya mbona hawaonyeshi hizo ardhi anazomiliki? Ni maneno maneno tu mpaka sasa.....talk about throwing everything but the kitchen sink.

Ha ha ha Nyani Ngabu.. Nimeona Uhuru aliomba Raila ataje 1 case ya ardhi ambayo inamuhusu Uhuru.. Mzee mzima kataka kuumbuka.. Kabaki ku-generalize..
 
Last edited by a moderator:
The presidential debate which will be held on 4th,march 2013 involve live debating for the contenstants infront of mass due to the different questions which going on them.
Tanzania should have also mass debating for the presidential contestors next duration in 2015 like kenya.
But Tanzania had this programm in 1975 wher all leaders in compatition voice up with their people begging votes.
Mdaharo kama hiyo ndiyo kigezo cha kumchagua kiongozi mwenye uwezo wa kuongea mbele ya watu.
Ni vizuri kuendelea na mdaharo ili kuwajua viongozi wetu wanateteaje hoja
 
Hivi kuna ugumu gani kwa uhuru Kenyata kusema kiasi cha ardhi ambacho familia yake inamiliki

Dida anamning'iniza ishu ya ardhi Kiambuu ambako Uhuru anatoka

Uhuru anazunguka zunguka tu
Hapa kwangu mimi amechemka
 
Hivi kuna ugumu gani kwa uhuru Kenyata kusema kiasi cha ardhi ambacho familia yake inamiliki

Dida anamning'iniza ishu ya ardhi Kiambuu ambako Uhuru anatoka

Uhuru anazunguka zunguka tu
Hapa kwangu mimi amechemka

Kwa nini yeye tu aseme? Kwa nini wote wasiseme ili iwe fair kwa wote.

Na wanavyoifanya iwe ni kama vile ni jinai kumiliki ardhi.
 
Wakenya wameonyesha ukomavu wa hali ya juu katika mdahalo wa leo.
 
uhuru ishu ya ardhi imemkalia vibaya! Lakini mbona hazungumzii uhalisia wa ardhi wanayomiliki?
 
Wakenya wameonyesha ukomavu wa hali ya juu katika mdahalo wa leo.

Kiaje ndugu yangu MSeush?. Mimi naona tu ni siasa at best, they are talking about policies and issue rather debate ime-turn out kuwa personal and family issues zaidi
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini yeye tu aseme? Kwa nini wote wasiseme ili iwe fair kwa wote.

Na wanavyoifanya iwe ni kama vile ni jinai kumiliki ardhi.

Bhana, muhimu aseme ukweli kama anamiliki nusu ya nchi au la!!
 
uhuru ishu ya ardhi imemkalia vibaya! Lakini mbona hazungumzii uhalisia wa ardhi wanayomiliki?

Ngumu sana kusena unamiliki ekari laki tano wakati watu kibao hawana ardhi. Anajua madhara yake
 

pole mkuu.umenifanya nicheke mwishoni huku,but nahisi jinsi ulivyokereka
 
Naona suala la ardhi linamlenga Uhuru na family yake tu....

Badala ya wagombea kuelezea sera zao katika ardhi wakiingia madarakani....Wao wanazungumzia ardhi ya Uhuru na familia yake....
 
Yeah jamaa ana utetezi kwamba karithi tu lol

Other than hearsay and scuttlebutt nobody has produced any incontrovertible evidence that he and his family own an entire province in terms of land. I repeat, nobody thus far has produced any evidence to buttress their claims.

What they are doing is silly. You just throw an accusation without proof and let it play out itself i.e. whether it'll stick or not. Ludicrous.
 
So far nobody is burying Uhuru on landholding,phew....had these guys come unprepared or maybe he threw them offkey by saying he will not attend the debate?
 
So far nobody is burying Uhuru on landholding,phew....had these guys come unprepared or maybe he threw them offkey by saying he will not attend the debate?

It's because they can't prove their allegations. Do you really think if they had hard evidence that they would've not produced it by now? Just think about it.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…