sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,540
- 9,473
Hao wanaodai anamiliki ardhi nusu ya Kenya mbona hawaonyeshi hizo ardhi anazomiliki? Ni maneno maneno tu mpaka sasa.....talk about throwing everything but the kitchen sink.
Ha ha ha Nyani Ngabu.. Nimeona Uhuru aliomba Raila ataje 1 case ya ardhi ambayo inamuhusu Uhuru.. Mzee mzima kataka kuumbuka.. Kabaki ku-generalize..
Last edited by a moderator: