The 2nd 2013 Kenyan Presidential Debate.

The 2nd 2013 Kenyan Presidential Debate.

Uhuru kwa issue ya ardhi nd'o kawatoka hivyo,na wasipokaa vizuri anatumbukia ikulu kiulaini.
 
[video=youtube;npWyVsq_sf0#![CENTER]][/CENTER]://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=npWyVsq_sf0#![/video]
 
Uhuru has an edge aisee. The guy is fluent and can express himself very well even when he is on the back foot. The land issue was his the biggest arsenal the opposition had, lakini jamaa alivyoipunch kitaalamu ni noma. He made a good impression on me overall.
However design wanaogopana hawa jamaa. With the exeption of Dida, everybody else seems to choose thre words carefully especially while addressing the big dogs.

I liked it when Uhuru asked Odinga to mention 1 court case inwhich he is accused, and Odinga changed his statement to say it's the running mate who has a case. So it's them. The crowd had to laugh!
 
Naona suala la ardhi linamlenga Uhuru na family yake tu....

Badala ya wagombea kuelezea sera zao katika ardhi wakiingia madarakani....Wao wanazungumzia ardhi ya Uhuru na familia yake....

Hapana Balantanda,wakenya walitaka kujua je ni kweli nusu ardhi ya Kenya inamilikiwa na Kenyatta family? Nimemshangaa Uhuru kushindwa kujibu kwa uwazi swali la msingi kama hilo,
 
Uhuru has an edge aisee. The guy is fluent and can express himself very well even when he is on the back foot. The land issue was his the biggest arsenal the opposition had, lakini jamaa alivyoipunch kitaalamu ni noma. He made a good impression on me overall.
However design wanaogopana hawa jamaa. With the exeption of Dida, everybody else seems to choose thre words carefully especially while addressing the big dogs.
I liked it when Uhuru asked Odinga to mention 1 court case inwhich he is accused, and Odinga changed his statement to say it's the running mate who has a case. So it's them. The crowd had to laugh!

Siyo kweli Nyamgluu,tatizo kubwa la wakenya ni ukosefu mkubwa wa ardhi,ameogopa kuwaambia wapiga kura wake (kenyans) anamiliki land kiasi gani? Its a shame wakenya wamegeuka kuwa manamba on their motherland kwa sababu ya political conspiracy,
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahah! Hiyo ikitokea basi itabidi mwendesha mjadala akodiwe toka nje au labda awe Jenerali Ulimwengu, manake waandishi wetu wengi ni wachumia tumbo!!

Bongo hii Labda ulivyosema Jenerali Ulimwengu lakini waliobakia MMH
Hawa wakenya mdahalo wa kwanza waliokuwa very serious na hawa pia walikuwa very smart
 
Lol...kila mtu naona analalamikia umeme wa TANESCO.

Kwani mnaishi wapi nyinyi?


Tanzania nzima kuna tatizo la umeme labda sehemu na sehemu zenye maeneo na watu nyeti
ama uwe na Solar system or Generator
 
Bongo hii Labda ulivyosema Jenerali Ulimwengu lakini waliobakia MMH
Hawa wakenya mdahalo wa kwanza waliokuwa very serious na hawa pia walikuwa very smart

Na Tiddo Mhando anaweza kuendesha mdahalo.. Na hivi alivyokuwa na hasira na jamaa.. Ila ninachokiona kwa wenzetu Kenya hata watangazaji wa kawaida wa Television unawaona wana kitu ambacho watangazaji wa kwetu hapa hawana.. Labda kwa vile kwao utangazaji ni profession tofauti na hapa kwetu FirstLady1..
 
Na Tiddo Mhando anaweza kuendesha mdahalo.. Na hivi alivyokuwa na hasira na jamaa.. Ila ninachokiona kwa wenzetu Kenya hata watangazaji wa kawaida wa Television unawaona wana kitu ambacho watangazaji wa kwetu hapa hawana.. Labda kwa vile kwao utangazaji ni profession tofauti na hapa kwetu FirstLady1..

Mkuu Siku ukipata nafasi ya kuangalia CNN Afrika Jounalist awards utashangaa wakenya wanvyochuana na waandishi kutoka Nigeria South Afrika e.tc, kila mwaka wanachukuaga zawadi tuzo zaidi ya tatu. Ukiwakuta wanaongelea mazingira ni mazingira kweli, wakienda kwenye uchumi ni uchumi kweli. Sasa hivi wameamua kupigania amani katika uchaguzi wanahaha kuwabana wagombea watamke wazi kuwazuia wafuasi wao kuanzishavurugu kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Kwa ujumla Wakenya wako juu sana sisi tuko busy na politics za upendeleo.
 
Noted Mkuu sosoliso Ukweli hawa jamaa startimes wanakera sana. Ila back to the topic debate ya leo imegeuka "mahakama" kimtindo....

Mi nadhani hii inasaidia pia kusafisha hali ya hewa iliyoharibiwa na wagombea majukwaani wakitupiana mpira wa scandals. Kwa hivo kila mgombea ana nafasi kupitia mdaharo huu kujisafisha kwa kusema nini ukweli kuhusu kashifa yoyote aliyotuhumiwa.

Mbona Kenyatta amekwepa swali na familia ina miliki ardhi kiasi gani? Ama ni kweli ina miliki nusu ya Kenya? hahahahaha exagrated fact!
 
Na Tiddo Mhando anaweza kuendesha mdahalo.. Na hivi alivyokuwa na hasira na jamaa.. Ila ninachokiona kwa wenzetu Kenya hata watangazaji wa kawaida wa Television unawaona wana kitu ambacho watangazaji wa kwetu hapa hawana.. Labda kwa vile kwao utangazaji ni profession tofauti na hapa kwetu FirstLady1..


Hapa ukimuuliza Kibonde amesomea wapi tasnia ya utangazaji atakujibu ni kipaji...

Puumbav
 
Kiaje ndugu yangu MSeush?. Mimi naona tu ni siasa at best, they are talking about policies and issue rather debate ime-turn out kuwa personal and family issues zaidi
Ni bora kujadili yanayokukera kuliko kuyaweka moyoni wameweka wazi hisia zao kuhusu swala la Ardhi ambalo ni tatizo kubwa KENYA lazima waeleze wananchi nini watawasaidia pindi wakipata uongozi.
 
Hapa ukimuuliza Kibonde amesomea wapi tasnia ya utangazaji atakujibu ni kipaji...

Puumbav

Kwa TZ narudia tena wanaoweza kuendesha midaharo wanaweza kuwa ni Jenerali Ulimwengu na Tido Mhando,Prof.Shivji ana munkari anaweza kutia ndimu kwenye supu,kijana Pasco naye kaegemea sana Monduli.Dada Rose Mwakitwange yalimshinda.Kibonde ataleta mipasho ya Ikulu oyeee
 
Back
Top Bottom