The 9 Types of Intelligence

Huu uzi nlikuwa nautafta sanaa.
Asante admn [emoji122]
 
Sio unasifia tu, wakati mwingine watoto wanakuwa na majini.
 
Kwa waliosoma bachelor of education hiki kitu si jambo geni
 
Mkuu ukimtupia mashule yetu ya Ngumbaru,au ukim-treat kama mtoto wa kambo (kimalezi), nakuahidi hiyo bahati hautaipata wewe na ukoo wenu wote mpk dunia hii inakwisha.
 
The bold atabak kuwa gwiji wa mambo haya, sababu ana uwezo wa kukuletea jambo kwa lugha yetu kiswahili tena alolifanyia utafiti na co la kucopy na kupaste kama lilivo yani anakudadavulia had unaelewa

Long live the Bold... Habibu
 
Hahaha alikua anashindwa kushtua kijoti?? Huo mchezo mtamu SNA nilipigwa kofi nkajikuta nimeelewa gafla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…