Si unaona matatizo yakoDah!!! Hii conversation sijui walahiii ilinipitia wakati niko wapi kwa kweli
i am out jamani..
KIPIPI i hope no hard feelings,nothing serious,just chit chat..
unampa pole ya nini?
Hahahahha lol mbu mbaya sana sometime sasa sijui unawakilisha zile tabia za mbu
Fact;Mosquitoes usually prefer to bite women over men.
Inatokana na interest ya mtu...mawazo au hata reflection ya alivyo.
Hata hizo za wababa unazosema ziko vuluvulu zina maana nyuma yake.
spill it out Husn,hakaja to........ Sio?????