The Best Gospel Songs - Nyimbo Bora za Dini za Tanzania

The Best Gospel Songs - Nyimbo Bora za Dini za Tanzania

hapa inabidi uweke wazi...kama ni old skul au za sasa?
 
Solomon Mukubwa: Mungu mwenye Nguvu

Napenda hii verse ' wanipa tumaini la maiiishaa baba yangu, oh duniani, natembea nawe baba yangu, sitakuacha mii ooh, Neema zako fadhili zako kila asubuhi, ni mpya tena zanifariji moyo, niamkapooo, nikikosewa na maisha..wanipa tumaini la maisha baba,,,,'

Naisikiliza to and from work kwa frequency ya once per week...

Nikiwa nimeshamshusha husband naongeza volume so loud and I sing on top of my voice !
 
Mzee Mwanakijiji mi bado namkumbuka sheikh, yani kila siku nafungua iyo clip na nimeshea na marafiki zangu woooote
 
Last edited by a moderator:
Yeah Madame B huo ni wa kwetu! Mzee Mwanakijiji kasema nyimbo za Tanzania, wengine wameshaanza kuweka za Kenya. Mimi wangu ni NANYATANYATA.

Umeona ee,
yani huo ni Mwisho wa Yote hasa kwa Wale wasio na Heshima kwa wazazi wa kike.
Kunyatanyata ndo ile iliyoimbwa na Kijitonyama singers?
 
Martha Mwaipaja - Usikate tamaa
Kila asubuhi huwa naiskiliza na siichoki
 
Solomon Mukubwa: Mungu mwenye Nguvu

Napenda hii verse ' wanipa tumaini la maiiishaa baba yangu, oh duniani, natembea nawe baba yangu, sitakuacha mii ooh, Neema zako fadhili zako kila asubuhi, ni mpya tena zanifariji moyo, niamkapooo, nikikosewa na maisha..wanipa tumaini la maisha baba,,,,'

Naisikiliza to and from work kwa frequency ya once per week...

Nikiwa nimeshamshusha husband naongeza volume so loud and I sing on top of my voice !

Injinia Nsiande nimepapenda hapo.....hebu paandike kwa lugha ya taifa yaani kiswahili tuone inakuwaje..
 
Last edited by a moderator:
Injinia Nsiande nimepapenda hapo.....hebu paandike kwa lugha ya taifa yaani kiswahili tuone inakuwaje..

Mpenzi yani wewe umepaona hapo tuuu???!!!!mmmmhhhh......we haya we
:focus: nna nyingi sana zinazonikosha ila nikiamka asubuhi lazma nisikilize hizi nyimbo mbili 'Ni Asubuhi' na 'Anasikia' za Miriam Mauki kwakweli huwa nasikia amani na napata nguvu ya kuanza siku.
 
kama Kuna Mtu ana link ya nyimbo mbili za Ephraim Sekeleti, 1. Baraka zako 2. Ndani ya Jina..... ewaaaaaa hapo ntampigia makofi nakumpa like ya ziada!!
 
Back
Top Bottom