Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Mpenzi yani wewe umepaona hapo tuuu???!!!!mmmmhhhh......we haya we
:focus: nna nyingi sana zinazonikosha ila nikiamka asubuhi lazma nisikilize hizi nyimbo mbili 'Ni Asubuhi' na 'Anasikia' za Miriam Mauki kwakweli huwa nasikia amani na napata nguvu ya kuanza siku.
mpenzi ila umeadimika, mimi ndo ivo huwa nasomaga sana katikati ya mistari .....