The Best Gospel Songs - Nyimbo Bora za Dini za Tanzania

The Best Gospel Songs - Nyimbo Bora za Dini za Tanzania

Mpenzi yani wewe umepaona hapo tuuu???!!!!mmmmhhhh......we haya we
:focus: nna nyingi sana zinazonikosha ila nikiamka asubuhi lazma nisikilize hizi nyimbo mbili 'Ni Asubuhi' na 'Anasikia' za Miriam Mauki kwakweli huwa nasikia amani na napata nguvu ya kuanza siku.

mpenzi ila umeadimika, mimi ndo ivo huwa nasomaga sana katikati ya mistari .....
 
umeona ee,
yani huo ni mwisho wa yote hasa kwa wale wasio na heshima kwa wazazi wa kike.
Kunyatanyata ndo ile iliyoimbwa na kijitonyama singers?

haswaa! Umepatia hasa! Wewe ni mpenzi wangu ktk bwana.
 
Mzee, Kuna Kaswida fulani tulikua tunaimba madrass, very nice.
Sijui niweke hapa? It is to praise the prophet Muhamad (SAW)

دجسم دجن اج.س مسدج ٦٥٢٤٨٠٦٥٨٥٤٠٥٢٤٠٠٦٢٢٥٦٠٨٥٤٤٢٧٨٦٧٧٤٥٢٣٣٨١١٠٠٥٦٢٢١٢٦٦٨٢٨٢٢٦٣٥٤١٢٢٨٠٦٢٣٨٦٦٥٤١
 
Hati hiii hati hati ya mashitaka ilifungwa.......
Kwa majuu..kuna msela anaitwa kirk franklin:I smile...
 
Mzee, Kuna Kaswida fulani tulikua tunaimba madrass, very nice.
Sijui niweke hapa? It is to praise the prophet Muhamad (SAW)

absolutely! hata mimi nakumbuka moja hivi hadi leo siwezi kusahau melody yake. Nakumbuka marafiki zangu wakidhikr kwenye maulidi na sisi wengine tunasubiria tu muda wa ubwabwa.
 
Gospel = injili

Dini = religion

The best gospel songs = nyimbo bora za injili

Yup! Yaani hizo nyimbo zihusishe nukuu za maneno ya injili ambazo ziko nne tu kwenye bible. Kaizer hebu kamata keyboard tungurumishe "BWANA YESU AKAWAAMBIA" Uliotungwa na F.A.Nyundo (RIP)
 
Last edited by a moderator:
Huwa ni burudani nzuri kiroho, angalau kila mara nasikiliza nyimbo za dini youtube..naamini ni njia mojawapo ya kushukuru na kusali pia kumtukuza Mungu..

Hii nyimbo ilipendwa sana..Album ya huu wimbo ilikuwa nzuri yenye ujumbe mzuri

Yesu Nakupenda-Rose Mhando
[video=youtube_share;qhxWrM9l5l g]http://youtu.be/qhxWrM9l5lg[/video]


Huu mwingine naupenda sana unaanza kwa maneno haya ''Usifurahi juu yangu eeh adui yangu, niangukapo mimi nitasimama tena. Kumbuka niwapo gizani Bwana ni nuru yangu, hawezi kuniacha Bwana mimi niangamie''

Usifurahi Juu Yangu - Pendo Nkone
[video=youtube_share;m4-2Va-s6aA]http://youtu.be/m4-2Va-s6aA[/video]
 
shuka bwana sikuiti uhukumu ila shuka ,
ona majaribu yanavyonisonga yanijia kwa kasi kama mabomu,
akili yaniruka nifikiliapo,

sina uwakika na aliyeimba hii nyimbo na hayo ni baadhi tu ya maneno katika hiyo nyimbo kiukweli kila nikisikiliza hii nyimbo lazima nilie.
 
shuka bwana sikuiti uhukumu ila shuka ,
ona majaribu yanavyonisonga yanijia kwa kasi kama mabomu,
akili yaniruka nifikiliapo,

sina uwakika na aliyeimba hii nyimbo na hayo ni baadhi tu ya maneno katika hiyo nyimbo kiukweli kila nikisikiliza hii nyimbo lazima nilie.

Anaitwa "abiyudi mishori" jina la nyimbo "shuka bwana"
 
kuna kundi flan la vijana ni ndugu wanaimba akapela wanaitwa the voice sidhan kama kuna watu wengine wanaweza wakaimba kama wao walikuja juz kwenye semina ya mwakasege arusha cd yao naipiga day and night.
Nyimbo zao ni:
1 tutashangilia
2 najivunia yesu
3 i will do
4 utangulie bwana
5 Bwana Mungu
6 tanzania nakupenda
7 Jesus loves me
8 siku 1 tutaelewa
9 baada ya tabu zote
kali zaid zaid ni hi ya tren inakuja yan hapa sionge utafikir wamemeza instruments!
 
Back
Top Bottom