The Best League in the world is back...Ligi kuu Uingereza ndiyo ligi bora zaidi kwa sasa duniani.

The Best League in the world is back...Ligi kuu Uingereza ndiyo ligi bora zaidi kwa sasa duniani.

Kila kitu kina mwanzo na mwisho wake, lingekuwa jambo la ajabu kwa timu za Spain kutawala soka la Ulaya kwa miaka na miaka.
Hii miaka kumi iliyopita hasa msimu wa 2008-2009 mpaka 2017-2018 soka la Ulaya lilikuwa katika umiliki wa klabu za Hispania pamoja na timu yao ya taifa. Ushahidi ni kama ifuatavyo:
  1. Mataji saba (7) ya klabu bingwa ya ulaya.
  2. Mataji sita (6) ya Kombe la washindi la ulaya.
  3. Mataji mawili ya Kombe la mataifa ya ulaya.
  4. Kombe la dunia moja (1).
  5. Wachezaji bora wa dunia na ulaya wametawala wao.
Uingereza wanaanza taratibu kutawala soka la Ulaya hii ni kutokana uwekezaji mkubwa unaofanyika katika soka lao. Klabu za Spain zinaanza kushuka taratibu, Real Madrid wanajipanga, Barcelona nao wanatengeneza timu.Huu ni muda mzuri kwa timu za kiingereza kutawala soka la Ulaya.
Tathmini: Kusema soka la Uingereza ni bora kuliko Spain ni mapema mno kwani kuna mafanikio yaliyofikiwa na klabu pamoja na timu ya taifa za Spain yavunjwe kwa hii miaka kumi inayokuja hapo tunaweza kuongea lugha moja!!!
Acha muda uongee!!!
Tunaongelea ligi sio timu ya taifa ukisema hivyo basi brasil ingekuwa na ligi bora

hiyo ligi ina timu tatu tu zinazoleteana changamoto sio kama epl changamoto ni ya hali ya juu toka pale top 10

Alafu hiyo la liga ni juz halo uefa epl babaako kashabikia zamani hata barca alikuwa azijui

Mwisho ww ni wale wale wale wasioweza tazama getafe na genoa wakicheza alafu unadai ligi ni bora
 
Dogo we Spain kulikuwa na ubaguzi wa kimajimbo ndo maana hata Timu ya Taifa ilikuwa haifanyi vizuri kutokana na wachezaji kutelewana, Hizo timu za EPL ni moto wa mabua, angali timu za Spain zimedominate mpira wa Ulaya kwa muda gani jiulize je timu za EPL zitalipa hilo gape?

Usisahau kuwa pia timu za Italy especially AC Milan ilitesa sana miaka ya 90s
Enzi za the Great Dutch Trio pale Milan hakuna timu yoyote ya Spain wala England iliyofurukuta.
Kutesa kwa zamu
 
IMG_4998.JPG
 
Samahani mkuu umetumia vigezo gani?...maana hawa jamaa huangalia ligi bora kwa vikombe hasa vya ulaya na spain msimu huu timu zote zimechemka michuano ya ulaya?hili limekaaje?
mbona spain wamechukua uefa na europe mara 3 mfululizo kupitia madrid na sevile, lakin uingeleza mwaka huu tu wanachukua uefa na europe iwe bora zaid ya spain, acha wenge,

spain ligi bora
 
mbona spain wamechukua uefa na europe mara 3 mfululizo kupitia madrid na sevile, lakin uingeleza mwaka huu tu wanachukua uefa na europe iwe bora zaid ya spain, acha wenge,

spain ligi bora
Aisee mbna nimeeleweka mkuu angalia timu zinazokutana fainali hebu nikumbushe mwaka ambao timu toka spain zilikutana zenyew kwa zenyew katika fainali hizi za Europa na Uefa respectively.
 
Back
Top Bottom