usitake kuniaminisha uongo au unafikiri sikupitia selection zao..? SAUT ni best hutaki jinyee..
sikulazimishi lakini ukweli unaujua na najua sio mapenzi yako kwenda huko ila matokeo yako ya kuungaunga ndio yamekupeleka huko
Acha kujishaua wewe mtoto wa kike nani kakuuliza babako anafanya kazi wapi?
usitake kuniaminisha uongo au unafikiri sikupitia selection zao..? SAUT ni best hutaki jinyee..
sikulazimishi lakini ukweli unaujua na najua sio mapenzi yako kwenda huko ila matokeo yako ya kuungaunga ndio yamekupeleka huko
ungejua nina div. 2 usingeropoka ushuzi mie nimechagua st august kwa moyo mmoja coz nakifahamu hadi vyooni kwao ndo maana nikakiweka as 1st priority...
we ----- baba yangu kasoma statistics UDSM na saiv yupo TRA head quarter ni bussiness intelligence officer na pia mwaka jana amechaguliwa katika bodi ya POSTA ,muulizie USSI HAMZA HUSSEIN ,.chz wewe unaesoma kata TRA Utakusikia kwenye bomba
TRA ya wapi mshamba tu hajui kusoma kama wewe..
Kwanza wewe inaonekana mboga ya wahadhiri tu mpaka upgwe mambo ndo ubwebwe ili usidisco.. Bata mzinga weye
ungejua nina div. 2 usingeropoka ushuzi mie nimechagua st august kwa moyo mmoja coz nakifahamu hadi vyooni kwao ndo maana nikakiweka as 1st priority...
div 2 umebebwa na divinity,huna lolote kilaza tu wewe
hata ukigoogle jina lake unamuona,sio wewe kaa mavi ulietoka kwenu huko kijijini unakwenda kusoma
SAUT..duuh,pole..dogo usiseme lolote bout my dad coz ameshakua mhadhiri mzumbe na ifm before hajakwenda TRA,utaishia kubwabwaja tu humu baadae unakua karani kwenye serkali ya kijijini kwenu.
Hivi mzee wako anahusikaje hapa mpaka umuingize humu.
hata ukigoogle jina lake unamuona,sio wewe kaa mavi ulietoka kwenu huko kijijini unakwenda kusoma
SAUT..duuh,pole..dogo usiseme lolote bout my dad coz ameshakua mhadhiri mzumbe na ifm before hajakwenda TRA,utaishia kubwabwaja tu humu baadae unakua karani kwenye serkali ya kijijini kwenu.
sasa kaka Mzumbe,,UDOM navyo vyuo? Vyuo cutt off point 2.5 kama UDOM uvilinganishe na chuo cha cutt off point 4.5 kaka hicho mzumbe cutt off point 4 sasa kipi bora?
div 2 umebebwa na divinity,huna lolote kilaza tu wewe
kwani nikibebwa na divinity we inakuuma nini...
Mademu wenye nyodo kama wewe ndo huwa nagonga boom likiwakatia
wewe mi mtoto wa jijini tangu niko vidudu ka hujui nimepga pale thaqaafa kijijini kwa baba yako mshamba yule
hata UDSM comp engineering cut off ni 2.0 lakini angalia mtu wa mwisho ana point ngap? dogo hizo cut off point zisikuhadae,SAUT ni chuo cha kata,kazi yenu kupiga picha za uchi
mh mzumbe ni 4?we unauhakika?au ulitoswa mzumbe.kwa taarifa yako mwaka hu ndo wamechukua had 4.5,labda hyo 4 ni kwa sayansi.
UDSM,MZUMBE,ARDHI,UDOM,IFM,MUST hawaihesabu hio A ya divinity au islamic knowledge,so nimeshajua kwann umekwenda SAUT..kwani nikibebwa na divinity we inakuuma nini...
Mademu wenye nyodo kama wewe ndo huwa nagonga boom likiwakatia
baba yangu na ushamba wake anamake money tena sio za wizi anatumia ujuzi wakey,sasa thaqafa si shule la kifala tu lile,kumbe umesomea mwanza na chuo mwanza sasa wewe si ubadilishe mazingira uende hata UDOM sio unavua dagaa tu huko.
nazan tena wanaandika cut point 4.5 lakn wanachukua mwisho 5.5
ka hujui kaa kimya sio unajifanya unajua kumbe hujui lolote uliza ueleweshwe
mh mzumbe ni 4?we unauhakika?au ulitoswa mzumbe.kwa taarifa yako mwaka hu ndo wamechukua had 4.5,labda hyo 4 ni kwa sayansi.