the best UNIVERSITY in TANZANIA

the best UNIVERSITY in TANZANIA

Status
Not open for further replies.
Daaaaah kwl akili ni nywele kil m2 anazake....hauuwez kumzm wew unasem nn wew nyau kwl..... Vilaz wte ndo wanatupw hko kw ufupi wew umechagulia chaguo lako la mwsh udsm imekutem ardhi ikakutem sua ikakutem mzumbe ikakutem atimae ukaangua saut mikon salam afu unasem nn

umeonae wamemtema kwote wanakochukua gpa nzuri,inaonekana anajipa moyo kwa kukosa UD,MU,SUA,ARU,DOM,
 
umeonae wamemtema kwote wanakochukua gpa nzuri,inaonekana anajipa moyo kwa kukosa UD,MU,SUA,ARU,DOM,

sasa kaka Mzumbe,,UDOM navyo vyuo? Vyuo cutt off point 2.5 kama UDOM uvilinganishe na chuo cha cutt off point 4.5 kaka hicho mzumbe cutt off point 4 sasa kipi bora?
 
sasa kaka Mzumbe,,UDOM navyo vyuo? Vyuo cutt off point 2.5 kama UDOM uvilinganishe na chuo cha cutt off point 4.5 kaka hicho mzumbe cutt off point 4 sasa kipi bora?

hata UDSM comp engineering cut off ni 2.0 lakini angalia mtu wa mwisho ana point ngap? dogo hizo cut off point zisikuhadae,SAUT ni chuo cha kata,kazi yenu kupiga picha za uchi
 
hata UDSM comp engineering cut off ni 2.0 lakini angalia mtu wa mwisho ana point ngap? dogo hizo cut off point zisikuhadae,SAUT ni chuo cha kata,kazi yenu kupiga picha za uchi

Mwambie babako ajenge chake cha kitaifa()
 
St. Augustine University of Tanzania is the best university in town, the best university inTanzania and the best university in the world at large
you are luck to be here

"We are Building The City Of GOD"

wewe kweli ni chizi!! bora ukaimbe kwaya kama emmanuel mwasasu!!
 
babaangu hata hajui kama kuna chuo kinaitwa SAUT.
yeye anajua UDSM tu kwa sababu alisoma hapo,una jengine?

Siku mtoto akikwambia baba nataka nguo ya sikukuu ndo utakuwa umekua sasa hivi bado unakula ugari wa shikamoo huwezi ijua dunia ya pili, anyway wenzako tumesoma hapo na tunapiga dili ndefu huku serikalini.
 
Siku mtoto akikwambia baba nataka nguo ya sikukuu ndo utakuwa umekua sasa hivi bado unakula ugari wa shikamoo huwezi ijua dunia ya pili, anyway wenzako tumesoma hapo na tunapiga dili ndefu huku serikalini.

Serikali gani ya mugabe au?labda wewe karani lakini huna position yyt
 
hata UDSM comp engineering cut off ni 2.0 lakini angalia mtu wa mwisho ana point ngap? dogo hizo cut off point zisikuhadae,SAUT ni chuo cha kata,kazi yenu kupiga picha za uchi

usitake kuniaminisha uongo au unafikiri sikupitia selection zao..? SAUT ni best hutaki jinyee..
 
wa kijijini huko hata 'A' hajui ndo maana anaijua UDSM tu unamwaibisha mshua wako

we ----- baba yangu kasoma statistics UDSM na saiv yupo TRA head quarter ni bussiness intelligence officer na pia mwaka jana amechaguliwa katika bodi ya POSTA ,muulizie USSI HAMZA HUSSEIN ,.chz wewe unaesoma kata TRA Utakusikia kwenye bomba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom