the best UNIVERSITY in TANZANIA

the best UNIVERSITY in TANZANIA

Status
Not open for further replies.
una uhakika kwamba wanaosoma SAUT wamebebwa na somo la divinity? , je wakina juma,ali, asha,awadhi,salum,issa,hussein ambao wanasoma SAUT walisoma divinity?? ,wewe wa UDSM unakipi kikubwa kwa kumdharau MTU WA SAUT?

mpigamsuli leo upo vizuri.naona upo kistaarabu.au hawajagusa muccobs?
 
dats bulls......t

Endeleeni kubishana upuuzi, eti chuo flani ni bora kuliko kingine.
WATU WANAAJIRI CANDIDATE BORA NA SIO HUYU AMETOKA CHUO GANI. MTASUBIRI SANA... BAADAE SANA
 
una uhakika kwamba wanaosoma SAUT wamebebwa na somo la divinity? , je wakina juma,ali, asha,awadhi,salum,issa,hussein ambao wanasoma SAUT walisoma divinity?? ,wewe wa UDSM unakipi kikubwa kwa kumdharau MTU WA SAUT?

we mpiga msuli unaleta ubishi sasa,nimemwambia huyu kama kabebwa na pass ya duvinity,na hao kina issa na awadh wamebebwa na pass za islamic
 
we mpiga msuli unaleta ubishi sasa,nimemwambia huyu kama kabebwa na pass ya duvinity,na hao kina issa na awadh wamebebwa na pass za islamic

hapana mkuu umekosea kabisa nina rafiki zangu hawajasoma divinity wala somo la islamic lakini wapo SAUT Na walikuwa na i.9 mpaka ii.12
 
hapana mkuu umekosea kabisa nina rafiki zangu hawajasoma divinity wala somo la islamic lakini wapo SAUT Na walikuwa na i.9 mpaka ii.12
mpiga msuli leo unawatetea SAUT..haya jamn na pia unaikubali mada hio hapo juu.
 
haya kaka pamoja sana ila hapo st john kuna washkaji zangu wote wana 3 za 15 ka vipi mkawakilishe mkuu

kijana mi cpo st john, nipo morogoro chuo kikuu.sasa muulize mtu yeyote atakwambia morogoro kuna chuo gan anachokijua.atakachokitaja cha kwanza ndio nipo hicho.na nlikuwa na cut point kubwa.zaid ya 8.umesikia
 
kijana mi cpo st john, nipo morogoro chuo kikuu.sasa muulize mtu yeyote atakwambia morogoro kuna chuo gan anachokijua.atakachokitaja cha kwanza ndio nipo hicho.na nlikuwa na cut point kubwa.zaid ya 8.umesikia

Sawa wa ST JOHN
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom