The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

acha uhuni sheikh manake mzee "old man"

Word Origin and History for sheik. n. "head of an Arab family," also "head of a Muslim religious order," 1570s, from Arabic shaykh "chief," literally "old man," from base of shakha "to grow old." Popularized by "The Sheik," novel in Arabian setting by E.M.

tembelea hapa chini.
the definition of sheik
Unamefahamu nini maana ya "head of a family","old man,"!?? kama hufahamu maana yake "Kiongozi"
ndio matatizo ya kutafsiri neno kwa neno,na hilo ndio tatizo iliyoifanya Biblia itafsiriwe kimakakosa,...

Rabii maana yake kiongozi,mtu anaeongoza wenzake ikiwa ki dini ikiwa ki uwezo,ikiwa kielimu,,kwa ufupi ni anaeheshimiwa katika jamiii

Rabbi
Jewish scholar or teacher, especially one who studies or teaches Jewish law.
A person appointed as a Jewish religious leader.

Sheikh
An Arab leader, in particular the chief or head of an Arab tribe, family, or village.
A leader in a Muslim community or organization.

Ukiangalia tafisiri za haya maneno Rabii na Sheikh utaona kuwa yanafanana,Rabii na Sheikh ni mtu aneongoza wenzake katika jamii,nimekwambia kuwa IQ yako ndogo,..inabidi uikiuze kwa kusoma vitabu mbali mbali,imebainisha ninayoyasema ni kweli..

Tafisi kama hizi ndio zilizoleta matatizo kwenye,kuitafsiri Biblia,kwenye Biblia wagiriki wameandika neno "Lord" kwahiyo mnatafsiri moja kwa moja "Bwana" wakati imeamanishwa "Mungu",
 
Mkuu hata dunia nzima iamua tu kusema rais wa Tz ni Trump hiyo haifanyi iwe kweli Trump ni rais wa Tz.

Hata mie leo naweza kuanzisha dini na ikawa tofauti na dini zote zilizokuwepo sasa, kwahiyo hauwezi kusema et kwanini mungu mmoja na ana dini nyingi tofauti.
Mkuu mungu hayupo ndio unaona dini nyingi maana yake kila jambo ambalo mtu kwa kile analifikiria analiona lafaa anafanya njia ktk maisha kama yupo tuambie na embu tuelezee dini ipi ni yake
 
Mie nimetaka kujua uwongo wa kwenye hivyo vitabu umewekwa na nani na kwa sababu zipi? kwa sababu hata kama vingekuwa havipingani ila kama kuna uwongo itabaki kuwa kuna uwongo tu.
Uwongo wa biblia umeweka na wayahudi ili kujikomboa toka utumwani misri ndio maana utaona kuanzia adam hadi yesu wote wametumia lugha na majina ya kiibrania ina maana adam alikuwa muebrania mfano adam limetokana na neno la kibrania adomah maana mtu au red,je mungu aliongea kiibrania alipoumba mtu,quran imekuja kwa warabu kupinga kauli ya wayahudi wakisema wao taifa teule la mungu quran inasema mungu kaumba mataifa leng mjuane mbora wenu mcha mungu nimeshakujibu na ww niambie dini ya mungu ni ipi?
 
Mkuu mungu hayupo ndio unaona dini nyingi maana yake kila jambo ambalo mtu kwa kile analifikiria analiona lafaa anafanya njia ktk maisha kama yupo tuambie na embu tuelezee dini ipi ni yake
Uwepo wa dini nyingi hakuna mahusiano na kutokuwepo mungu, nimeeleza kuwa hata mie leo naweza kuanzisha dini.

Kwani hata dini ingekuwa moja tu dunia nzima hiyo ndiyo ingetosha kukufanya useme mungu yupo?
 
Uwongo wa biblia umeweka na wayahudi ili kujikomboa toka utumwani misri ndio maana utaona kuanzia adam hadi yesu wote wametumia lugha na majina ya kiibrania ina maana adam alikuwa muebrania mfano adam limetokana na neno la kibrania adomah maana mtu au red,je mungu aliongea kiibrania alipoumba mtu,quran imekuja kwa warabu kupinga kauli ya wayahudi wakisema wao taifa teule la mungu quran inasema mungu kaumba mataifa leng mjuane mbora wenu mcha mungu nimeshakujibu na ww niambie dini ya mungu ni ipi?
wayahudi hawahawa waliokua hawana kwao hadi mwaka 1948 ndo walidanganya dunia? au wayahudi gani?
 
Wayahudi walioandika taurati kupitia musa ktk kitabu cha kutoka walivyokuwa wananyaswa na misri
Kumbe wayahudi wananguvu ivyo?maana walidanganya dunia nzima kupitia torati na hata VATICAN ambayo umesema ina contol ulimwengu imedanganywa maana nao wanaamini kwamba wayahudi waliandika torati, sasa nini kilisababisha hadi wakawa hawana kwao tena wakati walishatoka MISRI? na waKAsambaa dunia nzima mbaka mwaka 1948 wakaunda taifa lao tena?
 
Kumbe wayahudi wananguvu ivyo?maana walidanganya dunia nzima kupitia torati na hata VATICAN ambayo umesema ina contol ulimwengu imedanganywa maana nao wanaamini kwamba wayahudi waliandika torati, sasa nini kilisababisha hadi wakawa hawana kwao tena wakati walishatoka MISRI? na waKAsambaa dunia nzima mbaka mwaka 1948 wakaunda taifa lao tena?
Umeenda mbali sana huko mi nilikuwa namanisha uwongo wa wayahudi kupitia imani ya ibrahim waka andika utamaduni wa maisha yao baadae zimekuja kuwa dini ya ukristo na uislam
 
Umeenda mbali sana huko mi nilikuwa namanisha uwongo wa wayahudi kupitia imani ya ibrahim waka andika utamaduni wa maisha yao baadae zimekuja kuwa dini ya ukristo na uislam
kwaio huku mbali utaki kuja au walitawanyika kutokana na uwongo wao pia halafu badae warudi kuikalia kimabavu palestina?
 
safi sana kijana kwaio wayahudi wapo wapi wale waongo waongo ambao hata utumwani hawakwenda kumbe stori tu?
hakuna myahudi aliyeenda utumwani...
ni story za kutunga tu za kwenye kitabu kinachoitwa biblia na wale waliovamia palestina mwaka 1947 ni wazungu wa kabila la ashkenaz kutoka ulaya
 
hakuna myahudi aliyeenda utumwani...
ni story za kutunga tu za kwenye kitabu kinachoitwa biblia na wale waliovamia palestina mwaka 1947 ni wazungu wa kabila la ashkenaz kutoka ulaya
umejibu vizuri sana je biblia ni nini? na je wazungu ndo walioandika biblia au nawao kama sisi tu walipelekewa?
 
umejibu vizuri sana je biblia ni nini? na je wazungu ndo walioandika biblia au nawao kama sisi tu walipelekewa?
biblia imetokana na neno la kigiriki "biblos" ikimaanisha kitabu kidogo
kinachoitwa biblia ni maandiko waliyoandika wazungu
 
Back
Top Bottom