The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

Habari za wakati huu wakuu,
Kwanza kabla yayote labda nitamke tu rasmi kwamba mimi ni muumini wa dini ya kikristu na dhima ya uzi huu sio ku-criticize our faith (for those Christians) Bali ningependa tuweze kushare mawazo kusudi kung'amua hasa kweli ni ipi. Baada ya kusoma nyuzi kadhaa za mkuu Likud na na comments za mkuu Kiranga, nilijaribu kutafuta vitabu kadhaa niweze japo basi kupata mwanga kidogo kuhusu ni ipi ni kweli. Kitabu cha The bible fraud (hivi vyote vimeandikwa na Tony Bushby) sikufanikiwa kukipata ila hiki cha secret in the bible nimefanikiwa kukipata na ndio niko mbioni kumalizia. Aisee,
Ukisoma hiki kitabu kuna shocking facts (truth) ambazo kiukweli zimenishtua hadi sasa moyo wangu hauna amani. Imagine what you have been made to believe turns out to be fake. Kwenye biblia kuna siri nyingi sana na according to bwana bushby, mtu aliyeitwa Francis Bacon ambae ni moja ya magenius waliowahi kutokea duniani, ambae pia ni among the earliest initiates (masonry) ndie aliyepewa jukumu LA kuandika biblia ya kwanza na king jes ambapo humo aliencode siri nyingi sana ambazo inabidi uwe enlightened kuweza kuzifahamu. Pia anasema Jesup christ had a twin brother na hakuuliwa kwa crucifixion bali he was stoned to death baada ya kukamatwa na hatia ya kuiba the ancient secrets from Egypt na ndipo alipoanza kuperform MIUJIZA. hizi ni baadhi ya screenshots za baadhi ya pages Kwenye kitabu hiko...
View attachment 775699
View attachment 775704
View attachment 775706
Naomba tuweze kujadili swala hili kwa marefu na mapana wakuu lengo ni kugain knowledge wala sio kukashifiana kiimani. Mods pls Naomba msiuunganishe huu uzi na nyuzi zingine na kwa atakae hitaji hiki kitabu nitampatia.
Mkuu naomba unijaalie hicho kitabu tafadhali!
 
Mimi ni mkristo ila huwa sipendi kushikiwa akili zangu huwa ninapenda kufuatilia mambo kuna ishu nyingi sana nyuma ya pazia ambazo wakristo wengi huwa hatufahamu au tunaamua kushupaza shingo ishu kama za holy grail n.k .............kubali kutawaliwa kimwili ila sio kiakili ,wakristo tunapaswa kusoma vitabu vingi na si kuishia kukaririshwa bible tu kuna watu wameandika facts nyingi kuhusiana na hii faith............Hizi ni dini za kigeni hivyo tusiwe watumwa kiasi cha kutofanya tafiti za maandiko ya hii imani
Well said mkuu

Alafu kuna suala moja huwa najiuliza sana
Ukiacha bible iliyoandikwa vatican na roman catholic,,..je ile injili ya kiebrania iliyoletwa kwa ajili ya yesu na kuandikwa na wanafunzi wake iko wapi na kwa nini tupewe tafsiri ya biblia iliyoandikwa na watu??

Kwa nini tusifundishwe injili yenyewe ya kiebrania na sio tafsiri??
 
Habari za wakati huu wakuu,
Kwanza kabla yayote labda nitamke tu rasmi kwamba mimi ni muumini wa dini ya kikristu na dhima ya uzi huu sio ku-criticize our faith (for those Christians) Bali ningependa tuweze kushare mawazo kusudi kung'amua hasa kweli ni ipi. Baada ya kusoma nyuzi kadhaa za mkuu Likud na na comments za mkuu Kiranga, nilijaribu kutafuta vitabu kadhaa niweze japo basi kupata mwanga kidogo kuhusu ni ipi ni kweli. Kitabu cha The bible fraud (hivi vyote vimeandikwa na Tony Bushby) sikufanikiwa kukipata ila hiki cha secret in the bible nimefanikiwa kukipata na ndio niko mbioni kumalizia. Aisee,
Ukisoma hiki kitabu kuna shocking facts (truth) ambazo kiukweli zimenishtua hadi sasa moyo wangu hauna amani. Imagine what you have been made to believe turns out to be fake. Kwenye biblia kuna siri nyingi sana na according to bwana bushby, mtu aliyeitwa Francis Bacon ambae ni moja ya magenius waliowahi kutokea duniani, ambae pia ni among the earliest initiates (masonry) ndie aliyepewa jukumu LA kuandika biblia ya kwanza na king jes ambapo humo aliencode siri nyingi sana ambazo inabidi uwe enlightened kuweza kuzifahamu. Pia anasema Jesup christ had a twin brother na hakuuliwa kwa crucifixion bali he was stoned to death baada ya kukamatwa na hatia ya kuiba the ancient secrets from Egypt na ndipo alipoanza kuperform MIUJIZA. hizi ni baadhi ya screenshots za baadhi ya pages Kwenye kitabu hiko...
View attachment 775699
View attachment 775704
View attachment 775706
Naomba tuweze kujadili swala hili kwa marefu na mapana wakuu lengo ni kugain knowledge wala sio kukashifiana kiimani. Mods pls Naomba msiuunganishe huu uzi na nyuzi zingine na kwa atakae hitaji hiki kitabu nitampatia.

Ur talking about two different things. Rabbi Jesus is not Jesus Christ of Nazareth. That ur Rabbi Jesus might had been stoned to death as ur document claims but The Nazarene was crucified. Dont call God's wrath upon ur head by keep on re circulating false information
 
Ikifahamika alifanya nini na alikuwa wapi Yesu wa Nazareth wakati akiwa na umri kati ya miaka 13 na 29, itakuwa safi sana. Haiwezekani useme Yesu wa Nazareth alikuwa mtu ila hakutenda dhambi wakati kipindi cha miaka hiyo huna taarifa yeyote.
 
Ur talking about two different things. Rabbi Jesus is not Jesus Christ of Nazareth. That ur Rabbi Jesus might had been stoned to death as ur document claims but The Nazarene was crucified. Dont call God's wrath upon ur head by keep on re circulating false information
I don't circulate false prophecy, I just narrated what was written in the book
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, hivi haya 'maarifa' yanayozungumziwa hapa ni yapi? What if kuna watu ambao tayari wameshayang'amua haya maarifa?
 
dini zote zimeundwa kwenye misingi ya stori za uongo na uhalisia wa kufoji sio ukristo ni pamoja na uislamu na uhindu budha na baal na dini zote uanzojua so hunaja haja ya kuhangaika na ukristo tu hata wayahudi visa vyao vingi ni feki na wanakiri kabisa hata wao
Acha kujipa hope dini ni fake nenda kasome historia ndio utajua kama ni fake au sio fake hayo maisha unayoyaishi ni dini tosha sasa tafuta vitabu vya din usome utajua mapungufu yako katika kufikia dini kamili na kweli
 
dini zote zimeundwa kwenye misingi ya stori za uongo na uhalisia wa kufoji sio ukristo ni pamoja na uislamu na uhindu budha na baal na dini zote uanzojua so hunaja haja ya kuhangaika na ukristo tu hata wayahudi visa vyao vingi ni feki na wanakiri kabisa hata wao
Hakuna ufake katika dini kishughuilishe hicho kichwa chako kujua dini hayo maisha unayoishi ni dini tupu kiasili soma historia ndio utajua dini ni nini na we upo wapo katika dini sahihi yaani ni sawa na mtu anaenfa choni kujisaidia halafu unasema choose ni fake
 
Habari za wakati huu wakuu,
Kwanza kabla yayote labda nitamke tu rasmi kwamba mimi ni muumini wa dini ya kikristu na dhima ya uzi huu sio ku-criticize our faith (for those Christians) Bali ningependa tuweze kushare mawazo kusudi kung'amua hasa kweli ni ipi. Baada ya kusoma nyuzi kadhaa za mkuu Likud na na comments za mkuu Kiranga, nilijaribu kutafuta vitabu kadhaa niweze japo basi kupata mwanga kidogo kuhusu ni ipi ni kweli. Kitabu cha The bible fraud (hivi vyote vimeandikwa na Tony Bushby) sikufanikiwa kukipata ila hiki cha secret in the bible nimefanikiwa kukipata na ndio niko mbioni kumalizia. Aisee,
Ukisoma hiki kitabu kuna shocking facts (truth) ambazo kiukweli zimenishtua hadi sasa moyo wangu hauna amani. Imagine what you have been made to believe turns out to be fake. Kwenye biblia kuna siri nyingi sana na according to bwana bushby, mtu aliyeitwa Francis Bacon ambae ni moja ya magenius waliowahi kutokea duniani, ambae pia ni among the earliest initiates (masonry) ndie aliyepewa jukumu LA kuandika biblia ya kwanza na king jes ambapo humo aliencode siri nyingi sana ambazo inabidi uwe enlightened kuweza kuzifahamu. Pia anasema Jesup christ had a twin brother na hakuuliwa kwa crucifixion bali he was stoned to death baada ya kukamatwa na hatia ya kuiba the ancient secrets from Egypt na ndipo alipoanza kuperform MIUJIZA. hizi ni baadhi ya screenshots za baadhi ya pages Kwenye kitabu hiko...
View attachment 775699
View attachment 775704
View attachment 775706
Naomba tuweze kujadili swala hili kwa marefu na mapana wakuu lengo ni kugain knowledge wala sio kukashifiana kiimani. Mods pls Naomba msiuunganishe huu uzi na nyuzi zingine na kwa atakae hitaji hiki kitabu nitampatia.
Biblia sehemu ile ya kwanza yaan maandishi ya kiebrania pamoja na kiaram yamekuepo kwa kwa maelfu ya miaka sehemu ya pili ya maandishi ya kigiriki yamekuepo karibu miaka 2000 sasa na wachimbuzi wengi wa vitu vya kale wanazidi kuchimbua vitu vingi vya zamani sana vyenye habari fulani zinazounga mkono masimulizi ya biblia.kufikia ss kuna uthibitisho mwingi wa usahihi wa masimulizi ya biblia kuliko kitabu kingine chochote cha kale...tunawezaje kuamini kitabu cha juzi tu cha Tony Bushby ambacho masimulizi yake hayawezi kuthibitishwa pasipo kuacha shaka..kwa kifupi kwa maoni yangu masimulizi ya Tony Bushby ambayo anaaminisha watu kuwa ni sahihi ni hadithi za kutungwa kwa usanii kwa ustadi mkubwa lakn hazina uthibitisho.
 
Nakumbuka Kipindi tuko school (seminary) Baba wa kiroho (Spiritual Director) alituambia kuwa sio story zote zilizopo kwenye Biblia ni za kweli
Nyingne ni hadithi tu za kutunga akatoa mfano wa creation accounts akasema siyo story ya kweli kwamba Mungu aliumba dunia kama inavyoelezwa kwenye Biblia
Alisema story ya uumbaji ilikua ni myths tu walizokua nazo Wayahudi Ila sio story ya kweli
 
Hakuna ufake katika dini kishughuilishe hicho kichwa chako kujua dini hayo maisha unayoishi ni dini tupu kiasili soma historia ndio utajua dini ni nini na we upo wapo katika dini sahihi yaani ni sawa na mtu anaenfa choni kujisaidia halafu unasema choose ni fake
wewe ndio hutumii akiri ungekuwa na akiri ungejua nilishafuatilia u feki wa dini kuja kujibashana na mimi unaonyesha na upeo mdogo wa kufikiri grow up
 
Well said mkuu

Alafu kuna suala moja huwa najiuliza sana
Ukiacha bible iliyoandikwa vatican na roman catholic,,..je ile injili ya kiebrania iliyoletwa kwa ajili ya yesu na kuandikwa na wanafunzi wake iko wapi na kwa nini tupewe tafsiri ya biblia iliyoandikwa na watu??

Kwa nini tusifundishwe injili yenyewe ya kiebrania na sio tafsiri??
Ndg yangu unajiuliza sn kwasababu huna ujuzi wa kutosha kuhusu biblia na historia ya biblia..leo ntakusaidia jambo moja hiyo unayoita injili ya kiebrania ilioletwa kwa ajili ya Yesu haikuandikwa kwa lugha ya kiebrania ila iliandikwa kwa kigiriki cha kawaida ambacho kiliitwa koine....then mimi sio mkatoliki ila biblia haikuandikwa vatican wala roman catholic hawajaandika biblia ila wametafsiri biblia kuna tofauti ya kuandika biblia na kutafsiri biblia.ndio sababu kuna tafsiri nyingi za biblia kama vile union version,amercan standard version,king james version and so on.kuhusu biblia ambazo hazijatafsiriwa zipo hata mm ninayo yenye maandishi ya kigiriki sehemu ya agano jipya lakin hata hivyo utapata faida gani kuwa na biblia ilioandikwa kwa lugha usioijua?
 
Mkuu mimi ni mwislam lakini Rabai Isa aka Iso aka Jesus aka Yesu,hakuuliwa kwa kupigwa mawe hiii sikubaliano nayo,Kwa imani ya kiislam Yesu kweli alisulibiwa msalabani lakini hakufa,ukisoma biblia kuna sehemu nyingi zinazoeleza kuwa Yesu hakufa msalabanni..

Kweli biblia inamappungufu mengi,lakini hii ya Yesu kupigwa mawe mpaka kufa mpya,nitarudi na aya za biblia kuthibitishia kuwa yesu hakufa msalabani
Karibu, pia nasubiri uje na injiri iliotajwa kwenye quran.
 
Aaah kwahiyo biblia ni injili iliyotafsiriwa??

Btw mbona version zote hizo??

wote hao inamaana kila mtu ametafsiri anavyojua yeye ndiyo maana ya tafsiri

Hiyo injili iliyoandikwa kigiriki ndiyo aliyokua anatumia yesu??

Na kama alikua anatumia yesu kwanini iwe kwa lugha ya kigiriki??

Naomba unieleweshe mkuu nami nipate hiyo elimu mkuu
Kuwa translated kutoka lugha moja kwenda nyingine, mfano English to kiswahili.
 
Nijibu kwa urefu niweze kuelewa... sijakuelewa bado kulingana na maswali niliyouliza hapo mkuu
Biblia imekuwa translated kwa lugha mbali kulingana na mahitaji ya watu ya kuwa na lugha tofauti tofauti, kwa hiyo Yesu alitumia lugha ya kwao ya kipindi hicho ila sio kigiriki , nazani ni Jewish language, itakuwa aramaic and Hebrew.
 
Back
Top Bottom