The Bold Interview: Maisha, Intelijensia na mengi usiyoyajua

Status
Not open for further replies.

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Karibuni members wote wa Jf kwenye haya mahojiano ya moja kwa moja, Yaani ni Mubashara kabisaaaa ambayo yataendeshwa na kusimamiwa na mimi STUNTER !
-
Na kwa siku ya leo tutakuwa na Mbobezi wa masuala ya Intelijensia ambaye si mwingine ni Mr. The bold !!

Hii ni ile siku iliyokuwa inasubiriwa na wengi
hivyo
naomba kwa pamoja tutege masikio yetu na macho yetu na USIKUCOMMENT CHOCHOTE,
mpaka pale nitakapotoa ruhusa ya kuuliza maswali ya pamoja.
-
N.B
Hautakiwi kucoment chochote, na kama una swali basi subiri mpaka utakaporuhusiwa kuuliza
(maswali yote yatakayoulizwa nje ya utaratibu hayatojibiwa hatakama swali lako ni zuri kama MAKINIKIA).
 
Haya ngoja tutafute popcorn
 
Hapana sijao bado...

Nina mchumba (si sawa nikisema mpenzi maana tumevuka hapo)

Ni mwanafamilia mwenzetu wa JF.! Bibie Nifah (naamini ataniruhusu leo niseme japo jina lake la kwanza... Hanifah)
-Je, ni nini ambacho kilikushawishi mpaka ukamuamini member wa jf(nifah) kwa kiasi hiko mpaka ikapelekea ukaanzisha nae mahusiano...
Na kwanini awe Nifah na asiwe binti yoyote humu jf?
 
Swali la nyongeza ambalo wengi tungependa kujua ni kwamba
-Mahusiano yako na Nifah ni yaukweli au ni showoff za JF tu?
Naomba kupitia uzi huu nijibu seriously kuondoa doubts au wanaodhani tunachangamsha genge...

Mimi na Nifah sio kwamba tu ni wapenzi bali ni wachumba... Soon mtakula pilau la harusi

Mengine nitaeleza kadiri mahojiano yatakavyoendelea
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…