STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Karibuni members wote wa Jf kwenye haya mahojiano ya moja kwa moja, Yaani ni Mubashara kabisaaaa ambayo yataendeshwa na kusimamiwa na mimi STUNTER !
-
Na kwa siku ya leo tutakuwa na Mbobezi wa masuala ya Intelijensia ambaye si mwingine ni Mr. The bold !!
Hii ni ile siku iliyokuwa inasubiriwa na wengi
hivyo
naomba kwa pamoja tutege masikio yetu na macho yetu na USIKUCOMMENT CHOCHOTE,
mpaka pale nitakapotoa ruhusa ya kuuliza maswali ya pamoja.
-
N.B
Hautakiwi kucoment chochote, na kama una swali basi subiri mpaka utakaporuhusiwa kuuliza
(maswali yote yatakayoulizwa nje ya utaratibu hayatojibiwa hatakama swali lako ni zuri kama MAKINIKIA).
-
Na kwa siku ya leo tutakuwa na Mbobezi wa masuala ya Intelijensia ambaye si mwingine ni Mr. The bold !!
Hii ni ile siku iliyokuwa inasubiriwa na wengi
hivyo
naomba kwa pamoja tutege masikio yetu na macho yetu na USIKUCOMMENT CHOCHOTE,
mpaka pale nitakapotoa ruhusa ya kuuliza maswali ya pamoja.
-
N.B
Hautakiwi kucoment chochote, na kama una swali basi subiri mpaka utakaporuhusiwa kuuliza
(maswali yote yatakayoulizwa nje ya utaratibu hayatojibiwa hatakama swali lako ni zuri kama MAKINIKIA).