Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Bold ashalala au yupo na baby yake niffah ohoo nyie endleeni kuulza maswali @m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je TISS wakikutaka wakuajiri je utakubali au utakataa? na kwanini ukubali au ukatae?
Nishawahi kutapeliwa... Yes
Now sijui iweje mpaka mtu anitapeli
Don't agree.. interview zilikuwa zikifanyika na Asha Dii bwanaa!One of the best interview in this platform. Congrats comrade The bold
Itabidi nirudie kusoma makala yako ya VIPEPEO
Namiini ntapata kituhahahaha soma mkuu kisha soma hii interview unawezapata kitu
Wewe ni muajiri wa TISS?Je TISS wakikutaka wakuajiri je utakubali au utakataa? na kwanini ukubali au ukatae?
Dah nilihisi nitakuwa mchoyo endapo nitayamaliza maswali yote pekeyangu, alafu wakati ule tunafanya mahojiano mimi nilikuwa ndani ya bus safarini, kwahiyo nilikuwa katika kipindi kigumu pia... All in all shukrani za dhati zikufikie kwa kujitolea muda wako.Pamoja mkuu...
Ingawa nahisi kuna maswali watu walikuwa na kiu nayo haujayauliza...
Tusubiri wadau labda watauliza...
Hili swali ungemuuliza kipindi kileee kabla hawajamuajiriJe TISS wakikutaka wakuajiri je utakubali au utakataa? na kwanini ukubali au ukatae?
hongera sana mkuu The bold ....umesema unapenda kuangalia cinema hebu tuambie kati ya wakali hawa wawili wa hollywood rambo vs anord yupi unamkubali zaidi na kwa sababu zipi hasaNasoma sana vitabu... Sana sana!
Sio kwa sababu ya kujielimisha tu, la hasha... Ni hobby pia
Yani mfano ukienda mbele alafu ukaniletea kitabu ambacho labda siwezi kukipata kwenye bookshops hapa Bongo nitakushukuru kuliko ukiniletea 'raba Kali'
Pia napenda sana kuangalia sinema
Hili swali ungemuuliza kipindi kileee kabla hawajamuajiri
Hakika nimeelewaWe need to modernise our intelligence machinery... Bado kwa asilimia kubwa haiendani na kasi ya karne ya 21...
Wanausalama wetu they have to work twice as hard kufikia lengo...
Pia majukumu ya TISS yapunguzwe kwa kuundwa Idara dada za Usalama ambazo zinajitegemea...
Kwa sasa Tiss na polisi wanamajukumu mengi mno... Mfano masuala ya counterterrorism hayako sawia ni nani hasa anapaswa kuyatekeleza... Matokea yake Tiss wanabebeshwa mzigo mkubwa ambao muda mwingi unavuka mpaka malengo ya kuanzishwa kwake...
Kuwe na Idara nyingine mahususi za masuala ya Intelijensia...
Kwenye jeshi... Kitengo MI (Military Intelligence) ipewe mikono zaidi ya kufanya mambo bila urasimu wa kiprotokali... Ikiwezekana iwe-rebranded hata ijitegemee na kubadilishwa jina na jeshini wabaki na MI ya kwao (ambayo haitakuwa hii mpya)
Pia ni vyema ikaanzishwa ofisi ya National Director of Intelligence... Simuongelei mkurugenzi wa Tiss... Mkurugenzi wa Tiss abakie vile vile kama DG wa TISS... Huyu ni National Director of Intelligence (Au tunaweza kuita vingine) hii ofisi ndio ambapo masuala yote ya Intelijensia watakuwa wanayachakata na kuyawasilisha mahala husika... (Mfano kwa rais)
Hii itasaidia kuwa na flow na coordination nzuri ya Intelijensia kutoka vyombo vyote... Tiss, polisi, jeshi na vingine ambavyo nahisi ni vyema vianzishwe...
Lakini pia itaondoa hii kasumba ya Rais kuwa Sponsor wa mashushushu wote... Rais ni mwanasiasa na binadamu... Kufanya yeye kuwa Sponsor wa Tiss inaweza kuleta mgongano wa kimaslahi ya taifa na maslahi yake...
Ni vyema huyu National Director of Intelligence ndio awe anatoa briefing zote za Intelijensia kwa Rais kutoka Idara na vitengo vyoye vya ushushu...
Kuna changamoto kubwa sana ya coordination ya taarifa za Intelijensia kwenye vyombo vyetu! Kila mtu yuko na Lwake... We need a center point... Sehemu mahususi ambayo itachakata hizi Intelijensia na kutoa miongozi mahususi kwa serikali ma vyombo husika... Nadhani tukianzisha ofisi ya National Director of Intelligence inaweza kutupeleka mahala...
(Kumbuka siongelea director wa Tiss)
Nakuelewa the boldNijibu moja moja...
MAKALA
Ugumu upo kwenye research... Unajua hakuna tukio ambalo utaandika watu hawalijui... Kwa hiyo unatakiwa ufanye tafiti ili uje na facts mpya au hata kama ni zile zile basi uingie deep zaidi... Muda mwingine unanunua kitabu kabisa ili ujue kidetail fulani kidogo tu...
Ni kazi nzito kiasi... Kukusanya taarifa
RIWAYA/FICTION
Hii kila kitu ni kigumu...
Kuanzia namna ya kutengeneza Plot ya stori... Wahusika... Matukio... Visa... Hakuna kilicho chepesi
Unaumba kitu ambacho hakipo na unatakiwa ukifanye kiwepo na kiaminike... Si suala dogo