falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khabibu na khanifaHakuna mtu anaeshindwa kutoa SUMMARY ya kile alicho jifunza, ama kugundua katika Mahojiano hayo.
Au ungependa kila mmoja afunguke...!?
Mimi nimegundua kuna tofauti ya KIIMANI/DINI kati ya Marafiki hawa wawili....au unasemaje kuhusu hili..!!
Hakuna mtu anaeshindwa kutoa SUMMARY ya kile alicho jifunza, ama kugundua katika Mahojiano hayo.
Au ungependa kila mmoja afunguke...!?
Mimi nimegundua kuna tofauti ya KIIMANI/DINI kati ya Marafiki hawa wawili....au unasemaje kuhusu hili..!!
Dah, Hiyo taarifa nimeipata...
HUO NI UMBEA WA KIDADA KWANI TUMEKUULIZA?
Wote hapa tulikua kwenye Interview..
Wewe ni mwongo Babu kubwa,wapi the bold amesema ana mtoto na Nifah? eti wana mtoto wakati sahv ndo wamefikisha miezi sijui tisa sijui kumi ya uhusiano wao.
bila shaka wewe ndiye mwenye JF, usinipangie cha kupost chakubimbi wewe!