Ooh Hongera sana boss,Naomba kupitia uzi huu nijibu seriously kuondoa doubts au wanaodhani tunachangamsha genge...
Mimi na Nifah sio kwamba tu ni wapenzi bali ni wachumba... Soon mtakula pilau la harusi
Mengine nitaeleza kadiri mahojiano yatakavyoendelea
We jishaue tu wakati bado hujamalizia mahari??Hapana sijao bado...
Nina mchumba (si sawa nikisema mpenzi maana tumevuka hapo)
Ni mwanafamilia mwenzetu wa JF.! Bibie Nifah (naamini ataniruhusu leo niseme japo jina lake la kwanza... Hanifah)
Ukiwa na hela huogopi kuonana na demu yoyote.Ooh Hongera sana boss,
na Je, kati yenu nani wakwanza kumtumia picha (au kumuona) mwenzake?
Pia haukuwa na hofu yoyote ile pale siku ya kwanza ambayo ulikwenda kuonana na nifah ana kwa ana?
Unajua mapenzi kwa maana ya mapenzi ya kweli huwa hayapangwi... Yaani namaanisha ni kwamba ni kitu ambacho kinatokea automatic-Je, ni nini ambacho kilikushawishi mpaka ukamuamini member wa jf(nifah) kwa kiasi hiko mpaka ikapelekea ukaanzisha nae mahusiano...
Na kwanini awe Nifah na asiwe binti yoyote humu jf?
Ninja piga maswali ya kiwango cha kimakinikia..Tukihamia Engo nyengine je, Ulishawahi kudukuliwa kwenye internet? Kuna njia yoyote maalum unayoitumia kujikinga na udukuzi wa mitandao?
Hii natamani nijibu kwa kirefu sana...Ooh Hongera sana boss,
na Je, kati yenu nani wakwanza kumtumia picha (au kumuona) mwenzake?
Pia haukuwa na hofu yoyote ile pale siku ya kwanza ambayo ulikwenda kuonana na nifah ana kwa ana?
Dogo unapenda kutuchoma roho walah[emoji23] [emoji23] [emoji23] nitavunja undugu wetu ohoo.hee kumbe nimeingia nisipotakiwa[emoji125] [emoji125]Nipo hapa namsikiliza Ray C as hubby bae yuko kwenye kiti cha moto.
Ni rrrraaaaaaaah
(Sorry kwa kuingilia interview,ni vile siwezi kujizuia )[emoji85]
Dah hongera sana na ningependa mahusiano yenu yadumu mpaka babu na bibiHii natamani nijibu kwa kirefu sana...
Baada ya ugomvi wetu kuisha (sijui hata uliishaje) na kuanza 'kudalizana dalizana' kwenye threads tukaamia PM...
Daaaahh ndugu yangu nilitupa mawe mwezi mzima mtoto anachomoa... Baadae nikawa namuona anaanza kuelekea kabisa lakini wapi haniambii live ile
Kumbe bhana kuna uzi fulani huko wa 2013 jukwaa la matangazo kuna mtu tulikuwa tunafanya biashara nikaweka namba ya simu, bibie alifukunyua akaipata namba...
So mwezi mzima ananisoma nyendo zangu WhatsApp... Yani DP ninazoweka, status etc...
So sikuwenyewe namtumia Picha zangu PM kwa mbwembwe kabisa ndio ananichana kuwa "acha mbwembwe nakujua bold" [emoji23] [emoji23]
So na yeye akanitumia za kwake mambo yakawa muswani kabisa...
Siku ya kwanza kuonana ofcoz ile nervousness lazima iwepo kiasi fulani... But uzuri tulikuwa tunaongea sana sana... Zile kama watoto wa sekondari... Naweza kumpigia simu saa tano usiku tukamaliza kuongea saa saba usiku [emoji23] [emoji23]
So siku ya kukutana I was nervous for like 20 or 30 minutes baada ya hapo I manned up... Mambo yakaenda poa kabisa!
Its one of the most memorable days kwenye maisha