Ooh Hongera sana boss,
na Je, kati yenu nani wakwanza kumtumia picha (au kumuona) mwenzake?
Pia haukuwa na hofu yoyote ile pale siku ya kwanza ambayo ulikwenda kuonana na nifah ana kwa ana?
Hii natamani nijibu kwa kirefu sana...
Baada ya ugomvi wetu kuisha (sijui hata uliishaje) na kuanza 'kudalizana dalizana' kwenye threads tukaamia PM...
Daaaahh ndugu yangu nilitupa mawe mwezi mzima mtoto anachomoa... Baadae nikawa namuona anaanza kuelekea kabisa lakini wapi haniambii live ile
Kumbe bhana kuna uzi fulani huko wa 2013 jukwaa la matangazo kuna mtu tulikuwa tunafanya biashara nikaweka namba ya simu, bibie alifukunyua akaipata namba...
So mwezi mzima ananisoma nyendo zangu WhatsApp... Yani DP ninazoweka, status etc...
So sikuwenyewe namtumia Picha zangu PM kwa mbwembwe kabisa ndio ananichana kuwa "acha mbwembwe nakujua bold" [emoji23] [emoji23]
So na yeye akanitumia za kwake mambo yakawa muswani kabisa...
Siku ya kwanza kuonana ofcoz ile nervousness lazima iwepo kiasi fulani... But uzuri tulikuwa tunaongea sana sana... Zile kama watoto wa sekondari... Naweza kumpigia simu saa tano usiku tukamaliza kuongea saa saba usiku [emoji23] [emoji23]
So siku ya kukutana I was nervous for like 20 or 30 minutes baada ya hapo I manned up... Mambo yakaenda poa kabisa!
Its one of the most memorable days kwenye maisha