STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
- Thread starter
- #81
KABLA HATUJAENDELEA NAOMBA UYAJIBU KWA KIFUPI HAYA MASWALI
-
The bold ni kitu gani katika mwili wako ambacho unahisi kipo kimakosa, na ungepata uwezo basi ungekibadilisha haraka iwezekanavyo?
-
Maisha ya Tanzania yanakufurahisha? Kitu gani ambacho unaona kina kasoro katika maisha ya Watanzania wengi?
-
Nafahamu hakuna mtu aliye imara(bold) ambaye anakosa udhaifu japo mdogo tu, unaweza ukashea nasi udhaifu wako mkubwa upo mahali gani?
-
The bold ni kitu gani katika mwili wako ambacho unahisi kipo kimakosa, na ungepata uwezo basi ungekibadilisha haraka iwezekanavyo?
-
Maisha ya Tanzania yanakufurahisha? Kitu gani ambacho unaona kina kasoro katika maisha ya Watanzania wengi?
-
Nafahamu hakuna mtu aliye imara(bold) ambaye anakosa udhaifu japo mdogo tu, unaweza ukashea nasi udhaifu wako mkubwa upo mahali gani?