The Bold (jasiri nimfikiriae ktk akili yangu)

Wiiii nkajua unaibiwa kidgo nitoe mapovu, kakaang kumbe anapendwa na wengi (Joking ) mai usije ninunia nkakosa zile bites from Zenji bureeeeeeeeeeeeeee
 
Bujibuji ni babu, tumesoma na Nyerere Mwitongo Middle School
 
Wiiii nkajua unaibiwa kidgo nitoe mapovu, kakaang kumbe anapendwa na wengi (Joking ) mai usije ninunia nkakosa zile bites from Zenji bureeeeeeeeeeeeeee
Hahahaaaaaa siwezi kukununia Wii...
Kakako anapendwa na wengi hadi kitaa ila kama umjuavyo anajielewa.
Ni yeye na Cheupe wake basi [emoji4] [emoji120]
 
Hahahaaaaaa siwezi kukununia Wii...
Kakako anapendwa na wengi hadi kitaa ila kama umjuavyo anajielewa.
Ni yeye na Cheupe wake basi [emoji4] [emoji120]
Haya nipe zawadi sabab tumemlea vzr, mie ndo nlkuwa namfichia wali akichelewa toka misele ujue wiii
 
Hahahaaaaaaa uwiiiiiiiii
 
Umesahau ni fundi WA kugegeda pia maana kwenye hadithi zake huwa anasimulia vizuri suala LA kugegedana mpaka unaona kama movie hv na unaweza kudinda.
 
wiser 1 asante kwa mapenzi haya... Najua wewe ni moja ya supporter wangu mkubwa sana humu JF na ni rafiki mwema sana kwetu Mimi na Nifah


We will see each other on day... Lots of love kwako!


Tunakupenda sana! Thank you..
 
Moja ka ya vitu najivunia sana kwako soulmate ni hizi hekima zako!


Nimependa sana unavyohandle situation kama hizi... Ndio maana nakupenda zaidi kila kukicha Cheupe wangu
 
Umesahau ni fundi WA kugegeda pia maana kwenye hadithi zake huwa anasimulia vizuri suala LA kugegedana mpaka unaona kama movie hv na unaweza kudinda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kumbe ndio maana ulimind alipopigwa ban mkuu?

Kuhusiana na ulichokisema ngoja nikae kimya tu [emoji39] [emoji85]
 
wiser 1 asante kwa mapenzi haya... Najua wewe ni moja ya supporter wangu mkubwa sana humu JF na ni rafiki mwema sana kwetu Mimi na Nifah


We will see each other on day... Lots of love kwako!


Tunakupenda sana! Thank you..
Muone vile unavyosema tutaonana siku moja,ulivyo na aibu utaweza kweli?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haki pamoja na miakili yako yote una aibu sana [emoji12]
 
Moja ka ya vitu najivunia sana kwako soulmate ni hizi hekima zako!


Nimependa sana unavyohandle situation kama hizi... Ndio maana nakupenda zaidi kila kukicha Cheupe wangu
Siku zote huwa nakuambia nitadeal na wewe babe,labda kama mwanamke awe ni mtu wangu wa karibu aiseeee nitamrarua.

Hekima nyingine naibia kwako darling,si unakumbuka vile ambavyo huwa unanishtua ninapoteleza? [emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…