The Bold (jasiri nimfikiriae ktk akili yangu)

Sijawahi penda mtu nisiyemjua wala kumwona.sjui hata unaanzaje.kwamfano mtu anamuibukia demu pm ya jf kwa kuvutiwa na jina na avatar yake eti,mnawezaje wenzangu.au mie sina moyo elekezi
Soma na kumuelewa The bold, utaelewa nilichomaanisha!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Soma na kumuelewa The bold, utaelewa nilichomaanisha!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu nlikusoma na nkakuelewa,na wala sina tatizo na mawazo yako,Nlikuwa tu curious watu wanawezaje kufall in love na anonymous pipo mitandaoni
 
Mkuu nlikusoma na nkakuelewa,na wala sina tatizo na mawazo yako,Nlikuwa tu curious watu wanawezaje kufall in love na anonymous pipo mitandaoni
haha ha haaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…