The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!


Hapo kwenye red pamesababisha nicheke sana! Ila naona mkuu The bold alikuwa anajaribu kutafuta njia muafaka ya kuku-neutralize. Sina hakika kama hapo awali ulikuwa unaweza kuserebuka nyimbo za mondi.

Ila kiukweli hongereni sana.
 
Mbarikiwe sana Nifah na The bold Mungu awape maisha marefu yenye furaha na mafanikio..nafurahia sana mnavyofurahi na kuishi kwa amani.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ilikuwa patashika mkuu

Mondi simpendi yeye kama yeye,ila nyimbo zake nazipenda sana tu.

Asante mkuu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Nafikiri hata kiba unapenda nyimbo zake tu si yeye kama yeye!


Nawaza tu lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kabisa mkuu,hili ndilo nimuambialo Bold kila siku.

Sijawahi kumpenda Kiba kabisa,zaidi mimi ni shabiki wake wa damu pekee.
He he heeee! Huo ushabiki wa damu ndo unampa Bold shida! Na akisikia damu nzito kuliko maji, anaweza fikiri yeye ni maji[emoji2] [emoji2] [emoji2]


Inabidi usiwe shabiki wa damu uwe tu shabiki wa kawaida! Sahamani lakini kama ntakuwa nimevuka msitari![emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Itabidi niangalie namna ya kulifuta hili neno 'shabiki wa damu' huenda nalo ni tatizo.

Hujakosea mkuu,dah nimecheka sana.
Akhsante mkuu, once again hongereni sana!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] I wish ungelisikia jisauti lake [emoji12]
Halafu katoka kuniambia hivyo muda sio mrefu [emoji85]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Aiseee

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hongereni aisee kitoti kikizaliwa kiiteni jamii forum
 
Daahh!! Hongereni.
Nimesisimka sana kwa History ya mapenzi yenu.

Na hiyo post ya niffah hapo juu I inaonesha ni mwanamke wa aina gani, Nakubaliana nawe @TheBold kweli umepata Kichwa kama unavyopenda kumwita.

Hongereni, Sana Sie wengine kila siku tunakosea njia.
 
My honesty question to both Nifah and the Bold:

"Are you a serious couple?".

Please assure me before I would tell you what I'm intending to.
 
Hongereni sana dears Mungu awatangulie,inshaallah
 
Naombe hiyo harusi nialikwe kwa garama zangu nitaudhuri uwa natamani siku moja niwaone mubashara the bold na nifah
 
Umenichekesa mkuu hongera kwako
 
Hivi hii siku ndo inakuaje sasa!!!

Siku mliotongozana kwa mara ya kwanza!??

Siku Nifah alipokubali ombi lako!?

Siku mlipogegedana kwa mara ya kwanza!?

Nilelewesheni maana sijui kuanzisha mahusiano rasmi ni siku ipi.

HONGERENI SANA.

wakikujibu nitag mkuu 😀😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…