Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
🙌🙌🙌🙌kupitia comments za wananzengo humu nimeconnect dots mpaka nikamjua member Moja humu🤣🤣
Half american 🙌🙌🙌
Half american 🙌🙌🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiko wapi
Ahsante kwa kuniruhusu[emoji16][emoji16][emoji16]wewe jilete tu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kamati sio poaah[emoji1783][emoji1783]!
The bold ni kijana humble sana,sema umasikini sio dili.
Huko uliko Mwenyezi Mungu akunyooshee njia zako ubarikiwe usiaibishwe tena rafiki
😂 shuaa? Memba gani huyo?🙌🙌🙌🙌kupitia comments za wananzengo humu nimeconnect dots mpaka nikamjua member Moja humu🤣🤣
Half american 🙌🙌🙌
Serious mazeee na uhakika 95% ni yy sema ngoja nimsitiri privacy yake😂 shuaa? Memba gani huyo?
Kama unamjua (mtaje)Serious mazeee na uhakika 95% ni yy sema ngoja nimsitiri privacy yake
Ni ww!Kama unamjua (mtaje)
Avimbe kichwa ajisifie🎵🎶
(in konde boy voice)
Ngoja nifungue chaapNi ww!
Kama unabisha fungua pm nikutumie picha mbuzi kasoro mkia kbs🤣🤣
Washaachana hata hivyoHivi anniversary inahesabuweje kwa wasio ndoani, ni siku mliyozungumza?, kukubaliana ? Au kuduu?
Hii nilijua lazima iwemo tuu😂😂
Kwan ajabu chief, au majina yanakutisha humu?Kwamba mwamba hajajipata hadi sasa?
Ahahahah..humu bwana kuhusu hiz id inabud uwe makin sana.Ni ww!
Kama unabisha fungua pm nikutumie picha mbuzi kasoro mkia kbs🤣🤣
Hiv kwann watu huwa wanafunga pm especially wanaume!? 😂.Ngoja nifungue chaap
sijui kwa wengine ila kwangu mimi ni salama zaidi kuliko kuwa open.Hiv kwann watu huwa wanafunga pm especially wanaume!? 😂.
I mean no malice kama Intelligent businessman
Why..are you being followed?sijui kwa wengine ila kwangu mimi ni salama zaidi kuliko kuwa open.
Hapana mkuu ni uamuzi tu naona ni bora zaidi kuliko kuwa open.Why..are you being followed?