Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Okay sio mbaya.Hapana mkuu ni uamuzi tu naona ni bora zaidi kuliko kuwa open.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay sio mbaya.Hapana mkuu ni uamuzi tu naona ni bora zaidi kuliko kuwa open.
N hatariOkay sio mbaya.
Ngoja nikutag kwenye story flan😄, nlimsimulia mwamba akaileta humu akajipa uhusika namuuliza anajikanyaga nikamtajia comb alisoma advance, mwaka na bweni alikaa Sijawahi muona tenaAhahahah..humu bwana kuhusu hiz id inabud uwe makin sana.
Mwenyewe kuna mwamba kajichanganya kutumia Id ambayo alishawahi kuiweka kama jina katika watsap yake..tuko naye group moja ya high school Tosa Boys 201.....😂😂 ..naendelea kumsoma taratiibu
Kabisa mitandao haisahauWanasemaga, "Vitu viwili vya kuogopa sana hapa duniani....Mungu na Mtandao".
Ukiandika comments mtu anakupm analeta maswali mengi, inakua kama kuchorana hv...... Kuna mada tulikua tunajadiliana jukwaa la MMU nikawa naona mtu ananireply pm badala ya pale pale jukwaaniHiv kwann watu huwa wanafunga pm especially wanaume!? 😂.
I mean no malice kama Intelligent businessman
Hapo ndio naukumbuka huu msemoKwan ajabu chief, au majina yanakutisha humu?
Shida Half american ni nusu albino😀, so ana ogopa tuta mchuna ngozi tuka iuze😀😀🤣🤒Hiv kwann watu huwa wanafunga pm especially wanaume!? 😂.
I mean no malice kama Intelligent businessman
Ila we boya hilo jina la haji manara unanipa mimi 😂😁Shida Half american ni nusu albino😀, so ana ogopa tuta mchuna ngozi tuka iuze😀😀🤣🤒
Nusu albino, half nani 😀🤣🤣Ila we boya hilo jina la haji manara unanipa mimi 😂😁
Ntakushtaki kwa mamlaka za mama kizimkazi
Half wayNusu albino, half nani 😀🤣🤣
Kudu I guess!! Hapo mnakuwa mmerasimisha mahusiano yenu.Hivi anniversary inahesabuweje kwa wasio ndoani, ni siku mliyozungumza?, kukubaliana ? Au kuduu?
Half albinoooooo🤣😀😀😀😀Half way
Half life
Half american
Half tz
Full of love &peace
Ngoja nikausheHalf albinoooooo🤣😀😀😀😀
Ahaha.yah hii ni kwel ingawa to me imetokea mara 1 scenario kama..sema yule mtoto anapenda sana ngono..halafu anapiga nyeto sio za nchii dronedrake akasome vidato kumfikia...Ukiandika comments mtu anakupm analeta maswali mengi, inakua kama kuchorana hv...... Kuna mada tulikua tunajadiliana jukwaa la MMU nikawa naona mtu ananireply pm badala ya pale pale jukwaani
[emoji28][emoji28] Awali unakua na akili gani ukiwa mnafanya hayo.Mods Tuwekeeni option ya kufuta nyuzi kuna muda huwa tunajutia tulichopost ni basi tu tunashindwa kufuta