Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
kiko wapi
Ahsante kwa kuniruhusu[emoji16][emoji16][emoji16]wewe jilete tu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kamati sio poaah[emoji1783][emoji1783]!
The bold ni kijana humble sana,sema umasikini sio dili.
Huko uliko Mwenyezi Mungu akunyooshee njia zako ubarikiwe usiaibishwe tena rafiki
π shuaa? Memba gani huyo?ππππkupitia comments za wananzengo humu nimeconnect dots mpaka nikamjua member Moja humuπ€£π€£
Half american πππ
Serious mazeee na uhakika 95% ni yy sema ngoja nimsitiri privacy yakeπ shuaa? Memba gani huyo?
Kama unamjua (mtaje)Serious mazeee na uhakika 95% ni yy sema ngoja nimsitiri privacy yake
Ni ww!Kama unamjua (mtaje)
Avimbe kichwa ajisifieπ΅πΆ
(in konde boy voice)
Ngoja nifungue chaapNi ww!
Kama unabisha fungua pm nikutumie picha mbuzi kasoro mkia kbsπ€£π€£
Washaachana hata hivyoHivi anniversary inahesabuweje kwa wasio ndoani, ni siku mliyozungumza?, kukubaliana ? Au kuduu?
Hii nilijua lazima iwemo tuuππ
Kwan ajabu chief, au majina yanakutisha humu?Kwamba mwamba hajajipata hadi sasa?
Ahahahah..humu bwana kuhusu hiz id inabud uwe makin sana.Ni ww!
Kama unabisha fungua pm nikutumie picha mbuzi kasoro mkia kbsπ€£π€£
Hiv kwann watu huwa wanafunga pm especially wanaume!? π.Ngoja nifungue chaap
sijui kwa wengine ila kwangu mimi ni salama zaidi kuliko kuwa open.Hiv kwann watu huwa wanafunga pm especially wanaume!? π.
I mean no malice kama Intelligent businessman
Why..are you being followed?sijui kwa wengine ila kwangu mimi ni salama zaidi kuliko kuwa open.
Hapana mkuu ni uamuzi tu naona ni bora zaidi kuliko kuwa open.Why..are you being followed?