Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #61
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nawaonea wivuuuu .. Sijui ni kweli.
Kila la kheri [HASHTAG]#the[/HASHTAG] bold & [HASHTAG]#nifah[/HASHTAG]
Shukrani Super woman 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nawaonea wivuuuu .. Sijui ni kweli.
Kila la kheri [HASHTAG]#the[/HASHTAG] bold & [HASHTAG]#nifah[/HASHTAG]
Shukrani sana dada'ngu wa dhahabu!
Asante sana mkuuHongereni sana wapendwa! Inshalah mkaribie katika chama hiki cha ndoa! Mbarikiwe sana[emoji120]
Mpate watoto wengi zaidi .maana shule ni bureeeee
Mlete mwenzako kanisani na wewe niwabariki na kuwafungisha ndoa sawa, sio kufichaficha hapa,Hongereni sana Mungu awasaidie mfikie malengo yenu
[emoji23] [emoji23] kwahiyo tufyatue tu watoto au sio??Mpate watoto wengi zaidi .maana shule ni bureeeee
Awh nice [emoji8], mkuu umepotea, usinifanyie hivyo.Kila la kheri The bold na nifah
sawa baba paroko nitafanya hivyoMlete mwenzako kanisani na wewe niwabariki na kuwafungisha ndoa sawa, sio kufichaficha hapa,
Yeah.. Fyatueni tuuu[emoji23] [emoji23] kwahiyo tufyatue tu watoto au sio??
Ila wewe nae unanifanya hadi naona aibu! Ndio nini kusema mambo ya kuzima taa? [emoji85]