The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

Imetibia miaka 7 na miezi kadhaa natumai sasa mna watoto na washaanza shule na mmeoana mnaishi kwenye nyumba yako
Hawajaoana, wameachana.

Miaka 7 ni mingi aisee...
 
Kumbe Nifah kafuta comment zake zote kwenye huu uzi.

Amaa kweli kishindo cha "Mtaachana tu" ni kizito sana
Kiko wapi?
20230815_093339.jpg
 
Yani nimemuumba Nifah??? [emoji23] [emoji23]

The only way ya kuprove naomva uje siku ya harusi... Usikose sasa Mkuu! Na Zawadi..
Mkuu,
Muhimu sio kula kuku robo na roast la nyama, muhimu ni kula ule mzigo kwa "how many years"? Sherehe kitu gani bwana, I believe no regrets..umekula na kubakisha!
 
Back
Top Bottom