The bold: Waraka

The bold Utapaliwa na huyu mchungaji sababu humjui atokako na ni nani😎
 
Tutamjua Mkweli na Mwongo katika siku ile Mungu atakapokuhumu SIRI ZA WATU mbele ya watakatifu na malaika zake; AMEN !!!
 
Mwangalie alie nyuma yako then njoo tena..............................ukoje wewe una umri gani.................?
 
Flora atakuwa na bonge la ki bu mbu limevimba chini ya kitambi chake
 
kwa hiyo hapa bold
ndio Emma dah umeandika kwa uchungu sana hasa hapo ulipoongelea kuhusu
watoto kila lenye kheri kupigania haya.

ila kwa yaliyotokea bado unataka kurudiana na Flora

ukitaka kujua tararira zoote alizoandika ni uongo na hazina ukweli hata chembe mwanamke kashaamua kuwa kahaba unamtaka wanini tena?? mbasha acha wehu wewe umebaka hayajakutosha hayo maswahibu unajinyonyofoa na mchungaji mixxxxyuuuu
 
Kama wewe ndiye mtuhumiwa wa kubaka ukiwa ex-husband wa mama soloist.nakushauri kwanza fight wasikufunge jela,tafuta advocate alofuzu,mtafute mabere marando mapema,tambua sheria za kukufunga 3o yrs ni za duniani na mbingu mpya na nchi mpya ambako haki ya mungu ipo,bado hujazifikia!
Huyo mchungaji mtaje hadharani kwa ushahidi na ikifaa sasa mfungulie kesi ya ugoni!blah blah zitafanya uishie jela bure mdogo wangu.mwanamke huyo mbona ni wazi hana haja na wewe broo?
Advcate mabere marando ama mwingine ndiye unapaswa kumwambia iwapo ulibaka ama la!hapa unajianika bure!
Usije kusema hukushauriwa
kama uzi umeletwa na mwongo yeyote shauri lake!huo utakuwa uchuro
 
huna haki ya kunihukumu... jibu hoja... hapa tunajadili kama great thinker...sio kuingiza personal value zangu....be intellectual..discuss idea not people...

kwa kusifia helicopter tayari you disqualified kuwa great thinker, achilia mbali kuweka personal kwassbabu ulifocus kwenye properties vilevile

sijakuhukumu, nimeweka observations zangu

You are just yet another member of the caravan
 
The bold
tumechanganyikiwa hebu tufafanulie NI KWELI ULIBAKAMA kale ka-Binti au ni kesi ya kutunga
 
Last edited by a moderator:
ukitaka kujua tararira zoote alizoandika ni uongo na hazina ukweli hata chembe mwanamke kashaamua kuwa kahaba unamtaka wanini tena?? mbasha acha wehu wewe umebaka hayajakutosha hayo maswahibu unajinyonyofoa na mchungaji mixxxxyuuuu

si nasikia wameshapatana....
 
The bold: pole sana kwa yote, ila upaswi kusononeka sana kwani ni wazi kuwa ''haya yana mwisho''
 
si nasikia wameshapatana....

Kama ni kweli wamepatana na kama kilichobandikwa hapa ni kweli pia, basi kuna bonge la episode linakuja. No way watu wa dizaini hii wakaishi pamoja. Hiyo ndoa ishakua nongwa long taimu. Kupatana ni funika kombe...
 
The Bold sio Mbasha, Mbasha ni yule kwenye audio hajua kupanga hoja na he is full of himself. Hizi taarifa katoa kwa Mbasha mwenyewe. Sasa mwambie Mbasha na wengine wote including Gwajima kuwa Mungu hadhihakiwi kila apandacho mtu atavuna. Gwajima atavuna, Frola atavuna na Mbasha pia maana kwa kujua kabisa waliamua kuufanya uharibifu kwa kivuli cha kanisa. Details zinaumiza roho sana na hazijengi kanisa na wala hazileti watu kwa kristo. Mungu atahukumu kwa kulichafua jina lake kwa sababu ya ubinafsi wenu.
 
Gazeti la mtanzania la Leo limeandika Gwajima afunguka kuhusu sakata la mbasha gazeti limedai kuwa anataka suluhu. Nimeckia kwenye uchambuzi wa magazeti, mwenye taarifa kamili aweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…