The bold: Waraka

Wewe unayeuza sembe ndio una kazi

hahaha mtvbase naqe umetekeka... hahahahaha.. jiulize jamaa anasalije kwenyw kanisa la muuza sembe..unasalije kwa mtu anayetoka na mkeo eti nimevumilia... hahahahaha hakuna kitu hapo.
 
Gwajima(Nyoka) anazidi kuumbuliwa...

Nyie si ndo mmlikuwa mnaulizia kwa kejeli eti The bold yuko wapi........Haya! Huyo sasa kesha kuja na nondo zake...

Huna pa kuvhomokea......Shetani/ Laanatullah Gwajima anavuliwa nguo hadharani...

We unamlaani babake na Nyakageni ?
Na vile vile ni mjomba wake na Remote.
Na ndio anaelisha famili hizo.

Amma kweli hawa watu utakuwa umewaudhi vibaya sana.
Wakikutia mkononi lzm uite Yesuuuuuu!
 
Last edited by a moderator:

Inaelekea wewe ni mtu wa karibu sana na Gwajima....."Tulirudi nao tarehe 30 kwenye private car"

Sasa kama unajua ukweli ulete hapa.....Lete hizo picha unazosema zipo sijui online na video.....Maana kwasasa na wewe upo Online ni kazi rahisi sana....Weka hizo picha na video hapa!!!

Vinginevyo na wewe ni mpiga porojo, mzushi, mzandiki, mchumia tumbo, mwanazingaombwe.......
 

okay nakupa link itakayo kupeleka umuone mbasha na flora wakiwa moro kipindi mkutano tumehama kutoka uwanjani ...
 
Sam Love
Na wasi wasi we ndo umepigwa mpipi mbona unang'ang'nia sana


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
the Bold hana madhara kwa Gwajima wala Ufufuo na Uzima ...hehehe... hii movement haizimwi kirahisi hivyo... anyways tukutane Iringa kwenye crusade mwezi wa nane...

Which movement....???

Kukutana kwenye Crusade ndo kutaondoa uzinifu wa Gwajima....??

Gwajima ni Nyoka...Na anazidi kuvuliwa nguo....Tunaendelea kumjua In and Out.....Ngoja CV yake ifokonyolewe ndo utajua JF ni kitu gani...
 
UMEBAKA AU HUKUBAKA?
__nahisi Alieandka Uzi Huu Si Mbasha, Ni Msanii Tu Anaejitafutia Umaarufu Ili Akamate Watu Somewhere.
__VITA VYETU SI VYA DAMU NA NYAMA.
Ungekua Ni Mbasha Kwanini Usifuate Watuhumiwa Ukawaambie? Acha Usanii

Kwani umeona wapi kajitambulisha kama yeye ni mbasha?
 
We unamlaani babake na Nyakageni ?
Na vile vile ni mjomba wake na Remote.
Na ndio anaelisha famili hizo.

Amma kweli hawa watu utakuwa umewaudhi vibaya sana.
Wakikutia mkononi lzm uite Yesuuuuuu!

Ibirisi ashaingia kwenye huu uzi.
 
Last edited by a moderator:
Watch "Kafara ya damu part 2" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=XcQ4aMuW39s&feature=youtube_gdata_player hii video inamuonyesha Mbasha na Flora wakiwa eneo ambapo mkutano ulihamia mara baada ya kutoka kwenye viwanja ambavyo tulihama sio kwasababu ya maneno ya uchochezi ni kwasababu eneo lipo karibu na hospitali... wakasema wagonjwa wanasumbuliwa na kelele..huyu ni muongo asilimia mia ..


jaribu kuicopy hiyo link then follow
 
okay nakupa link itakayo kupeleka umuone mbasha na flora wakiwa moro kipindi mkutano tumehama kutoka uwanjani ...

Tunataka hizo picha za tarehe 30 mkirudi Moro....Tunataka ku-connect dots hapa...

The bold naomba ukae karibu maana naona wanataka kupindisha ukweli hawa watu..
 
Last edited by a moderator:
Tunataka hizo picha za tarehe 30 mkirudi Moro....Tunataka ku-connect dots hapa...

The bold naomba ukae karibu maana naona wanataka kupindisha ukweli hawa watu..

Wewe Hutaki Kujua Umekaa Kishabiki Sana
 
Last edited by a moderator:

Kwa vyovyote ilivokuwa, pole sana, futa vumbi, simama, angalia ulipojikwaa, kuwa makini. Kama kweli ww n Emma ni pm nikwambie cha kufanya
 
mkuu mwakibete upo?

Mkuu nipo. And this is the Begining of Season Two. Ndo kwanza ipo episode ya kwanza na ina episode kadhaa zilizoshiba.

Usibadil channel.
The bold, slowly, lazima kweli isimame. "The Rise and Fall of fake pastor"
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nipo. And this is the Begining of Season Two. Ndo kwanza ipo episode ya kwanza na ina episode kadhaa zilizoshiba.

Usibadil channel.
The bold, slowly, lazima kweli isimame. "The Rise and Fall of fake pastor"

hehe hakuna kitu kama hicho..mwezi wa nane tupo Iringa na helcopter watch me
 
Last edited by a moderator:
The bold nakumbuka moja ya post zako ulisema kuwa wewe unamchumba sasa inaonyesha huma ufahamu mzuri wa mambo ya ndoa!!
Taarifa yako ni nzuri sana hapa jf na umepata umaarufu mkubwa lakini kiukweli umekuwa chanzo cha mgogoro huo kupanuka!!
Mambo ya ndoa ya mwenzio huwezi kuja kuyaweka hadharani hata kama unajua udhaifu fulani!!
Huwezi kutumia media kutatua suala la ndoa!!
Flora ni mtoto mdogo sana katika ufahamu wa mambo ya ndoa , Emm ni mtoto mdogo katika mambo ya ufahamu wa ndoa wote hawa wanatumia media kupata suluhu jambo ambalo si kweli, Yawezekana una nunua taarifa hizi ili uje ulete hapa kwa manufaa ya wanao kutuma. Mimi nikwambie ukweli utavuna haya unayoweka , Ipo siku utao mke na matatizo ya ndoa yatakukuta ujifunze kutokana na mambo haya!!
Wachangiaji wengi hapa ni waathirika na matatizo ya ndoa ndo maana kundi ni kubwa lakini matatizo yao wameyaficha wanajadili matatizo ya Ndoa ya Flora na Emm. Huu ndo unafiki!
Mimi natoa angalizo kwa mod yawezekana mada hii ni nzuri katika jukwaa hili na wateja ni wengi swali langu hivi Emm angekuwa ndo mod au Flora angekuwa dada yake na mod mada hii ingeruhusiwa kujirudia rudia kama livyo sasa??
Mod huoni kwamba jf inatumika kuvunja ndoa ya Emm na Flora??
Hivi jf inafurahia watu wakitengana??
Kama ni matatizo ya Gwajima yanafahamika na kama ni matatizo ya Flora kwa umalaya yanafahamika m na kama ni ufusika wa Emm unafahamika hadi mahakamani lakini mimi naona pamoja na hayo ndoa yao lazima iheshimike na kila mtu. Kama ndoa ya Mod na ndugu zako inavyoheshimika basi na ndoa ya Emm na Flora iheshimike! Yawezekana wahusika (Flora na Emm) hawaheshimu ndoa yao lakini sisi great thinker lazima tusimame kwenye maadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…