King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Si ndio akamate mlezi mwingine? Kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi
kulelewa amwachie nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kulelewa amwachie nani?
Huyu jamaa sijui kinachomliza pale nini, janamke lenyewe sura ngumuuu labda ule weupe ndio unamzuzua. Watoto wabichi kabisa wapo kitaa wanahitaji mahb yeye ameng'ang'ana na kahaba la kilokole.
Ndoa kitu gani wewe, unafikiri walioanzisha ishu za kutalikiana walikuwa hawana akili, kuna wakati ndoa inakuwa hatari kabisa. Ndio maana wenye hekima waliliona hili, kipi bora kuharibikiwa ikiwemo kifo na kutengana /kuachana?,.Yule ni mke wa ndoa
Ndoa kitu gani wewe, unafikiri walioanzisha ishu za kutalikiana walikuwa hawana akili, kuna wakati ndoa inakuwa hatari kabisa. Ndio maana wenye hekima waliliona hili, kipi bora kuharibikiwa ikiwemo kifo na kutengana /kuachana?,.
Yule ni mke wa ndoa
Mkuu the Bold, bado uko JF, nakutafuta kwenye bandiko langu hili uje uwapige watu mhadhara kuhusu utakatifu wa baadhi ya wachungaji wetu.Mwisho nimalizie na wewe mchungaji, tulipokutana mara ya kwanza nilikuchukulia kama kaka na kama mlezi wetu wa kiroho!! Lakini umegeuka shetani mwenye pembe saba, umeparaganyisha familia yangu, umeleta maumivu makali kwenye ukoo!! Nakuonya tena kwa mara nyingine, muache mkewangu!! Huyo ni mkewangu, nilimtolea mahali mimi mwenyewe na wazazi wake waliniamini na kunikabidhi!!! Nasema niachie mkewangu!! Wewe ni nyoka, imefika time watanzania wakujue ukweli wako wewe mbwa mwitu mkali uliyevaa ngozi ya kondoo!!! Umedanganya watu vya kutosha na umefarakanisha ndoa nyingi sana kwa sababu ya kiburi cha pesa zako chafu za sembe!! Umeudhalilisha ulokole kiasi cha kutosha imefika time tuwaeleze watanzania ukweli na wakufahamu kuwa wewe ni nyoka!!
Sitakubali kuona ukiendelea kuitesa familia yangu, nitapambana na nitakushinda!!! Siogopi fedha zako wala connection ulizonazo, ni bora nife nikiwa nimesimama kuliko kuishi nimepiga magoti! Nitapambana na wewe mpaka mwisho ili historia isomeke vizuri ili hata wanangu wakiwa wakubwa wajue kuwa baba yao sikuwa lofa kiasi cha kupiga magoti na kuelekeza shingo kibla kuruhusu mdhalimu kama wewe uichinje familia yangu, bali licha ya umasikini wangu nilisimama kiume na kupigana kutetea familia yangu!!!
Narudia tena mchungaji, nitapambana na nitakushinda.."
- The bold
Mkuu the Bold, bado uko JF, nakutafuta kwenye bandiko langu hili uje uwapige watu mhadhara kuhusu utakatifu wa baadhi ya wachungaji wetu.
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Paskali
Sasa hivi mko busy mnawatetea. Sijui nani aliwaroga wapinzani wa hii nchi.Serikali imchunguze huyo gwajima kwa tuhuma za sembe, lisemwalo lipo.