The bold: Waraka

The bold: Waraka

We jamaa pole sana na hongera kwa uvumilivu ulionao
 
Huyu jamaa sijui kinachomliza pale nini, janamke lenyewe sura ngumuuu labda ule weupe ndio unamzuzua. Watoto wabichi kabisa wapo kitaa wanahitaji mahb yeye ameng'ang'ana na kahaba la kilokole.
 
C akaolewe na jimama lingingine umarioo ukizidi bwana
 
I guess kei ya Flora lazma itakuwa na utamu wa kipekee maana sio bure jamaa kulia lia namna hii huku mchungaji haonyeshi dalili ya kuutema mzigo.
 
Huyu jamaa sijui kinachomliza pale nini, janamke lenyewe sura ngumuuu labda ule weupe ndio unamzuzua. Watoto wabichi kabisa wapo kitaa wanahitaji mahb yeye ameng'ang'ana na kahaba la kilokole.

Yule ni mke wa ndoa
 
Yule ni mke wa ndoa
Ndoa kitu gani wewe, unafikiri walioanzisha ishu za kutalikiana walikuwa hawana akili, kuna wakati ndoa inakuwa hatari kabisa. Ndio maana wenye hekima waliliona hili, kipi bora kuharibikiwa ikiwemo kifo na kutengana /kuachana?,.
 
Ndoa kitu gani wewe, unafikiri walioanzisha ishu za kutalikiana walikuwa hawana akili, kuna wakati ndoa inakuwa hatari kabisa. Ndio maana wenye hekima waliliona hili, kipi bora kuharibikiwa ikiwemo kifo na kutengana /kuachana?,.

Kilichounganishwa na Mungu mwanadamu asitenganishe
 
Yule ni mke wa ndoa

Kweli mkuu, usipokomaa hata ukioa tena wapo watakaojaribu kukupora mke, cha msingi ni kukomaa tu mpaka kieleweke, lakini kama mwanamke amekukataa hakuna jinsi zaidi ya kubwaga manyanga.
 
Kama jamaa yupo tayari kufa ili aweke historia kwa kuitetea familia yake amtungue risasi huyo anaemwibia mke wake.
 
Mwisho nimalizie na wewe mchungaji, tulipokutana mara ya kwanza nilikuchukulia kama kaka na kama mlezi wetu wa kiroho!! Lakini umegeuka shetani mwenye pembe saba, umeparaganyisha familia yangu, umeleta maumivu makali kwenye ukoo!! Nakuonya tena kwa mara nyingine, muache mkewangu!! Huyo ni mkewangu, nilimtolea mahali mimi mwenyewe na wazazi wake waliniamini na kunikabidhi!!! Nasema niachie mkewangu!! Wewe ni nyoka, imefika time watanzania wakujue ukweli wako wewe mbwa mwitu mkali uliyevaa ngozi ya kondoo!!! Umedanganya watu vya kutosha na umefarakanisha ndoa nyingi sana kwa sababu ya kiburi cha pesa zako chafu za sembe!! Umeudhalilisha ulokole kiasi cha kutosha imefika time tuwaeleze watanzania ukweli na wakufahamu kuwa wewe ni nyoka!!
Sitakubali kuona ukiendelea kuitesa familia yangu, nitapambana na nitakushinda!!! Siogopi fedha zako wala connection ulizonazo, ni bora nife nikiwa nimesimama kuliko kuishi nimepiga magoti! Nitapambana na wewe mpaka mwisho ili historia isomeke vizuri ili hata wanangu wakiwa wakubwa wajue kuwa baba yao sikuwa lofa kiasi cha kupiga magoti na kuelekeza shingo kibla kuruhusu mdhalimu kama wewe uichinje familia yangu, bali licha ya umasikini wangu nilisimama kiume na kupigana kutetea familia yangu!!!

Narudia tena mchungaji, nitapambana na nitakushinda.."
- The bold
Mkuu the Bold, bado uko JF, nakutafuta kwenye bandiko langu hili uje uwapige watu mhadhara kuhusu utakatifu wa baadhi ya wachungaji wetu.
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Paskali
 
Mkuu the Bold, bado uko JF, nakutafuta kwenye bandiko langu hili uje uwapige watu mhadhara kuhusu utakatifu wa baadhi ya wachungaji wetu.
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Paskali
a1169ec10af1043497fee2b968877da3.gif


Nawasubiri nyumbu wa kipndi kile wanaomshadadia Gwajima hivi sasa ilhali waliwahi kumtukana.
 
Back
Top Bottom