The Boss: "King Of MMU - 2011"

The Boss: "King Of MMU - 2011"

Hongera mazee.

Kwa hio umeisha kuwa King wao.

unanikumbusha those golden days
mazee ...dah...
sijui ingekuwaje mbele ya ma original kama wa DHB ...

pasingetosha lol
 
The Boss,

asante kushukuru, na wax yangu naisubiri.
Ujue nimakauka mate sana kwa kuongea!!

Pamoja sana!
 
unanikumbusha those golden days
mazee ...dah...
sijui ingekuwaje mbele ya ma original kama wa DHB ...

pasingetosha lol
Kabisa kabisa mazee, we wacha tu...kwa leo endelea na furaha yako The King of JF.
 
Kwanza ningependa kumshukuru Superman kwa kuandaa mashindano haya kila mwaka
natumaini kwa kadri tunavyoendelea na mawazo ya mambers yakizingatiwa basi
shindano hili litaweza kuwa sehemu nzuri ya jukwaa letu la MMU......

pili niseme asanteni saana wale wote walio ni nominate na kunipigia kura
asanteni kwa kweli kwa sababu kuna members weengi wenye pointi za maana zaidi
but mliguswa na mimi ..upendo wenu na mimi umenigusa

tatu nitoe hongera maalum kwa Kongosho kwa upendo na mkuubwa kwangu aliounesha

nne nitoe asante maalum kwa MBU ambae mimi binafsi nilim nominate na kumpigia kura,
threads za MBU za 'mafaniko kimaisha' na 'fainali uzeeni' binafsi ni threads
ambazo hazilingani na thread zozote nilizowahi kusoma, kuna kitu priceless ndani yake...
MBU you are so great and i mean it....

mwisho niseme kwa mimi kushinda taji la 'KING OF MMU 2011' ichukuliwe kuwa ni vijimambo vinavyo spice up
JF kwa ujumla na haina maana najua zaidi au ni mtaalam wa kila kitu mmu

i hope nitaendea kujifunza kutoka kwa members wengine na mimi kutoa mchango wangu kama kawaida...

natumaini nitaendelea kukosolewa bila woga nikitofautiana na watu bila mtu kusema

'aaah huyu ndo King of MMU bana' ili na mimi niendele ku have fun like the rest hapa

bila kujilazimisha niwe mtu wa busara sana ambazo pengine sina lol

nitaendelea kuwa hivi hivi jamani..lol

mwisho but not least Dark City....asante sana....i am humbled by your comments for real...thank you...


niseme kwa ufupi tu niko so humbled na JF na wana JF kwa all this week kwa heshima

mliyotupatia sio mimi tu bali ASHADII,MBU,BAK,EMT,ASPIRIN,LIZZY.FAIZAFOXY na wengine woote....

i am still finding the right words to express this....

but kwa ujula asaanteni sana......i owe you all big time...

THE BOSS ......

Baada ya kusoma hii hotuba yako mkuu,
Nimekubali kuwa maisha hapa JF ni 'real'...
Umenigusa sana na speech yako...
Kwa kiasi flani nikawa napata picha kama tupo sehemu kweli,
Umesimama pale mbele na certificate yako toka kwa Mwenyekiti wa Tume lol..
Nimependa sana, kwakweli...
Pongezi nyingi sana mkuu, nadhani hata kwa wasio kufahamu na wala ambao hawajawahi kuona post za sred zako..
Wakiona hiyo speech watakubali sana kuwa Tume ilikuwa fair....
Naamini ulivyo hapa jamvini ndivyo ulivyo hapo mtaani kwako na kwenye mishe zetu kule TOWN.
Hongera sana katika namna ya pekee Mtu Mzima Boss.
 
Kwanza ningependa kumshukuru Superman kwa kuandaa mashindano haya kila mwaka
natumaini kwa kadri tunavyoendelea na mawazo ya mambers yakizingatiwa basi
shindano hili litaweza kuwa sehemu nzuri ya jukwaa letu la MMU......

pili niseme asanteni saana wale wote walio ni nominate na kunipigia kura
asanteni kwa kweli kwa sababu kuna members weengi wenye pointi za maana zaidi
but mliguswa na mimi ..upendo wenu na mimi umenigusa

tatu nitoe hongera maalum kwa Kongosho kwa upendo na mkuubwa kwangu aliounesha

nne nitoe asante maalum kwa MBU ambae mimi binafsi nilim nominate na kumpigia kura,
threads za MBU za 'mafaniko kimaisha' na 'fainali uzeeni' binafsi ni threads
ambazo hazilingani na thread zozote nilizowahi kusoma, kuna kitu priceless ndani yake...
MBU you are so great and i mean it....

mwisho niseme kwa mimi kushinda taji la 'KING OF MMU 2011' ichukuliwe kuwa ni vijimambo vinavyo spice up
JF kwa ujumla na haina maana najua zaidi au ni mtaalam wa kila kitu mmu

i hope nitaendea kujifunza kutoka kwa members wengine na mimi kutoa mchango wangu kama kawaida...

natumaini nitaendelea kukosolewa bila woga nikitofautiana na watu bila mtu kusema

'aaah huyu ndo King of MMU bana' ili na mimi niendele ku have fun like the rest hapa

bila kujilazimisha niwe mtu wa busara sana ambazo pengine sina lol

nitaendelea kuwa hivi hivi jamani..lol

mwisho but not least Dark City....asante sana....i am humbled by your comments for real...thank you...


niseme kwa ufupi tu niko so humbled na JF na wana JF kwa all this week kwa heshima

mliyotupatia sio mimi tu bali ASHADII,MBU,BAK,EMT,ASPIRIN,LIZZY.FAIZAFOXY na wengine woote....

i am still finding the right words to express this....

but kwa ujula asaanteni sana......i owe you all big time...

THE BOSS ......

Mkuu hakika umekonga nyoyo za wanajf,keep it up!temekukubali na ujue unamajukumu ya kuendelea kutuelimisha.
 
Hongera sana The Boss....special zawadi coming your way from me
 
Mie hiyo acceptance speech tu! Hongera The Boss, ila nahisi huwa unashiriki grammys bana! Natumaini u-celebriti hautakubadilisha, tukikutana PM usinichunie,lol
 
....hahaha, ...am humbled mkuu...sasa vipi yule mjukuu, si waona ninavyoshusha mistari ya
copy & paste?.... Au ndio niendelee kukusoma "forget the bite i sing for you?"
Tatizo saa nyingine unajisahau unarudia tabia yako mbaya ya kung'ata LOL
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kwanza ningependa kumshukuru Superman kwa kuandaa mashindano haya kila mwaka
natumaini kwa kadri tunavyoendelea na mawazo ya mambers yakizingatiwa basi
shindano hili litaweza kuwa sehemu nzuri ya jukwaa letu la MMU......

pili niseme asanteni saana wale wote walio ni nominate na kunipigia kura
asanteni kwa kweli kwa sababu kuna members weengi wenye pointi za maana zaidi
but mliguswa na mimi ..upendo wenu na mimi umenigusa

tatu nitoe hongera maalum kwa Kongosho kwa upendo na mkuubwa kwangu aliounesha

nne nitoe asante maalum kwa MBU ambae mimi binafsi nilim nominate na kumpigia kura,
threads za MBU za 'mafaniko kimaisha' na 'fainali uzeeni' binafsi ni threads
ambazo hazilingani na thread zozote nilizowahi kusoma, kuna kitu priceless ndani yake...
MBU you are so great and i mean it....

mwisho niseme kwa mimi kushinda taji la 'KING OF MMU 2011' ichukuliwe kuwa ni vijimambo vinavyo spice up
JF kwa ujumla na haina maana najua zaidi au ni mtaalam wa kila kitu mmu

i hope nitaendea kujifunza kutoka kwa members wengine na mimi kutoa mchango wangu kama kawaida...

natumaini nitaendelea kukosolewa bila woga nikitofautiana na watu bila mtu kusema

'aaah huyu ndo King of MMU bana' ili na mimi niendele ku have fun like the rest hapa

bila kujilazimisha niwe mtu wa busara sana ambazo pengine sina lol

nitaendelea kuwa hivi hivi jamani..lol

mwisho but not least Dark City....asante sana....i am humbled by your comments for real...thank you...


niseme kwa ufupi tu niko so humbled na JF na wana JF kwa all this week kwa heshima

mliyotupatia sio mimi tu bali ASHADII,MBU,BAK,EMT,ASPIRIN,LIZZY.FAIZAFOXY na wengine woote....

i am still finding the right words to express this....

but kwa ujula asaanteni sana......i owe you all big time...

THE BOSS ......
Mkuu sijaona sehemu uliyosema tutaitafunaje hako ka fifty ka zawadi. Mie kangu kameshaisha before sijakabidhiwa. Jana nlikopa bia za kutosha.
 
Back
Top Bottom