Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
hapo sasa hapo, haya leteni maneno, shujaa wetu huyo.
inanikumbusha kule Zanzibar salim Msabah alipohama CUF na kujiunga CCM kukawa kuna kasheshe oooh katekwa nyara, Salim Msabah shujaa na maneno kibao, kumbe hana lolote ni unafiki wake tu. katoka kwa hiyari yake.
halafu kinachonikera kuwafuli wananchi, hawa wapinzani wanadai ooh CCM inawafuli wananchi kumbe na wao wako mbele hivyo hivyo nyote jahazi moja.
wananchi wanaambiwa waingie barabarani shujaa, semeni ukweli jamaa hajajipanga kakurupuka kaliwa basi.
kukaa ni kujipanga na mkitaka kumkomalia nyani msimtazame usoni, pangeni mashambulizi yenye maana. kwa hili nendeni mahakamani tuone nn kitatokea msije hapa mkasema kuwa mahakama ni CCM.
mwaka huu ni mwaka mgumu kwa wapinzani
inanikumbusha kule Zanzibar salim Msabah alipohama CUF na kujiunga CCM kukawa kuna kasheshe oooh katekwa nyara, Salim Msabah shujaa na maneno kibao, kumbe hana lolote ni unafiki wake tu. katoka kwa hiyari yake.
halafu kinachonikera kuwafuli wananchi, hawa wapinzani wanadai ooh CCM inawafuli wananchi kumbe na wao wako mbele hivyo hivyo nyote jahazi moja.
wananchi wanaambiwa waingie barabarani shujaa, semeni ukweli jamaa hajajipanga kakurupuka kaliwa basi.
kukaa ni kujipanga na mkitaka kumkomalia nyani msimtazame usoni, pangeni mashambulizi yenye maana. kwa hili nendeni mahakamani tuone nn kitatokea msije hapa mkasema kuwa mahakama ni CCM.
mwaka huu ni mwaka mgumu kwa wapinzani