Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 735
Ni keli Wanafunzi na Wafanyakazi kwa pamoja watainusuru nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He was here to find partners for the Mchuchuma coal reserves . His intention, it seems, was to collect a good amount for himself from the Businessman here on the pretext of leasing out these coal reserves at a nominal cost.
This sounds like a case of utapeli... if it ever happened!
- If the author knew/suspected that "Karume's" intention was to collect money on the pretext of leasing the mines, as alluded in the letter, why didn't (s)he contact the Indian Police to have the person questionned?
- Why did the author choose Arushatimes as the place to report this incident?
- Why not contact Tanzania High Commision in India or the Tanzania Police to verify the identity of the person?
Were you told this is the only forum s/he used? All I can tell is, it is the only one available here. And what makes you think this message is utterly confined here?
I am responding to what is written on this forum. I cannot comment on something I have not seen/heard/read.
If you have extra information why not give it here!!
Na Ramadhan Semtawa
SIKU chache baada ya kuibuka kwa mjadala wa utiaji saini mkataba wa madini wa Mgodi wa dhahabu wa Buzwagi nchini Uingereza, uongozi wa Kampuni ya Barrick, umeamua kuvunja ukimya ambao leo unaweka hadharani mchakato mzima wa mkataba huo.
Mjadala wa mgodi wa Buzwagi uliibuliwa katika mkutano wa bunge uliomalizika na mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye alihoji kwanini Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi aliamua kwenda kusaini mkataba nje ya nchi tena katika hoteli badala ya kutumia ofisi za ubalozi zilizopo Uingereza..
Baada ya kuibuliwa kwa sakata hilo, kumekuwa na joto kubwa la kisiasa nchini, hasa baada ya Kabwe kusimamishwa kuhudhuria mikutano ya bunge hadi Januari mwakani.
Kusimamishwa ubunge kwa Kabwe, kunaangaliwa na wachambuzi wa mambo kama kuliko ibua hasira na fikra zaidi za uzalendo kwa Watanzania, kuhusu kulinda na kutetea maslahi ya taifa lao ambayo ni pamoja na uchumi katika maliasili.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Meneja Uhusiano wa Barrick, Teweli Teweli, alisema uongozi umeamua kuweka bayana suala hilo ili kujenga imani kwa wananchi.
Teweli alisema siku zote kampuni yake imekuwa kimya kutokana na kwamba suala hilo, lilijadilwa bungeni.
Alisema tuhuma hizo zimepunguza hadhi ya Barrick, hivyo lengo ni kueleza wananchi ukweli wa mambo.
"Tumeamua kuzungumza ili kueleza wananchi mchakato ulivyokuwa na kurudisha imani yetu kwao," alithibitisha Teweli.
Sakata hilo ambalo limeongeza umaarufu wa Kabwe, sasa limekuwa ni kete kubwa ya kisiasa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujiimarisha Mikoani.
Kwa sasa viongozi wa ngazi za juu wa Chadema, akiwemo Kabwe, wako Mikaoni kujiimarisha na kueleza wananchi kuhusu jinsi maliasili za yao zinavyoporwa.
Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia amesema kwamba kwa sasa ni vema serikali ikaangalia upya sera za madini ili wananchi waweze kunufaika kuliko ilivyo sasa." Kwa sasa sera ya madini ina mapungufu hivyo ni bora sera hiyo ikaangaliwa kuliko kuanza kujadili watu. Napendekeza Watanzania wamiliki asilimia 40 na wageni ambao wanakuja na mtaji wapewe asilimia 60. Hali hii itafanya nchi na Watanzania waweze kufaidi rasilimali zao," alisema.
SEBASTIAN MRINDOKO
Dar es Salaam
A LOCAL Christian church group has joined the fray in the growing national debate over the governments handling of the countrys natural resources, particularly the vast mineral wealth apparently being monopolized and exploited by foreign mining conglomerates.
The director of the Undugu Association Tanzania & Family Chaplain Archdiocese of Dar es Salaam, Father Baptiste Mapunda, said yesterday that the ongoing debate on the controversial Buzwagi gold mine contract and irregularities in other mining contracts should be matters of grave concern to all Tanzanians.
It is high time that Christians and non-Christians in this country came out in public to reveal these evils in society, because they are not only against God's commandments but also breach our basic human rights, said Fr. Mapunda in his sermon during Sunday prayers at the Sinza-based church.
He cited concerns raised by opposition Member of Parliament Zitto Kabwe (Kigoma North CHADEMA) over the manner in which the Buzwagi contract was signed by Energy and Minerals Minister Nazir Karamagi and Barrick Gold Corporation in London.
Fr Mapunda described Kabwe as a prophet sent by God to proclaim the message of truth to all Tanzanians on how their resources are being snatched by a few unethical and corruptive political leaders.
He noted that most Tanzanians, including ordinary citizens and politicians, are too passive and appear afraid to speak out the truth.
I am a religious leader, not a politician. But as a Tanzanian priest and servant of God, I have a solemn duty to speak the truth at all times, the leader of the church group told worshippers.
He said Kabwe had shown a true example of courage and patriotism worthy of emulation by all Tanzanians so that the majority of the people do not continue to live in abject poverty while a few greedy politicians throw away precious national resources.
According to Fr. Mapunda, corruption is not only a sin but it also denies people the right to a better life.
He joined a growing number of Tanzanians in condemning Kabwes suspension from the National Assembly for the rest of the year for calling for the formation of a parliamentary probe team to investigate the circumstances behind the Buzwagi deal.
A clean man and a man of God is always courageous to face the truth, and thats why we all remain puzzled as to why parliament dismissed the call to form a Bunge committee to probe the Buzwagi gold mine contract, he said.
Meanwhile, it has been learnt from reliable sources that Barrick Gold Corporation is planning to call a news conference this week to clear the air on the Buzwagi gold mine contract.
Barrick Gold executives have already come out publicly in defence of Karamagi, claiming there was nothing wrong with the contract signed abroad and adding that the minister summoned them to London for the signing ceremony instead of the other way round.
The companys executives made the remarks last week when President Kikwete visited the Buzwagi mining area during his tour of Shinyanga Region.
Kabwe has argued that the $800m contract was signed under dubious circumstances, based on outdated laws and regulations that are currently being reviewed by the government.
The opposition MP has maintained that the government itself declared in parliament last year that it had suspended the signing of any new major mining contracts until the ongoing review of existing contracts has been concluded.
na Mwandishi Wetu
KWA mara ya kwanza, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitokeza na kutoa kauli kuhusiana na umaarufu anaoupata Mbunge wa Kigoma Kaskazini aliyesimamishwa, Kabwe Zubeir Zitto (CHADEMA).
Katika hatua ambayo haikutarajiwa na wengi, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Kapteni Jaka Mwambi, kwa mara ya kwanza ametoa kauli kuhusiana na suala hilo na kuwataka wanachama wa chama hicho kuwa makini na uzito wa suala lililoibuliwa na Zitto hadi kusababisha asimamishwe na Bunge.
Mwambi aliyasema hayo juzi Jumamosi, kabla ya kuanza kwa uchaguzi wa viongozi wa CCM ngazi ya Wilaya ya Kinondoni, uliofanyika ofisi mpya ya chama hicho iliyopo Kinondoni Mkwajuni.
Zitto amekuwa Zitto, wapinzani sasa wamepata hoja, wametuzidi katika hoja, tunapaswa kuchagua viongozi walio bora ili (wapinzani) wasituzidi katika hoja.
Inashangaza Zitto ambaye amepewa red card bungeni kushabikiwa na idadi kubwa ya Watanzania wakiwemo wana CCM ambao walikwenda Jangwani kumlaki na kumsikiliza wakati akitokea Dodoma, ni lazima tukisafishe chama ili wapinzani wasije kutupiku, alisema Mwambi.
Mwambi pia aliigeukia Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na kuituhumu kuwa sasa imekuwa tofauti na ya zamani.
Alidai kuwa jumuiya hiyo imekuwa chafu, hivyo inapaswa kujisafisha kwa kuchagua viongozi safi, watakaoifufua.
Huku akionekana kuwa makini na kauli zake, Mwambi alisema CCM sasa itakuwa makini na matajiri wanaowania uongozi ndani ya chama hicho kwa sababu wanaonekana chanzo cha tatizo la kuporomoka kwa maadili ndani ya chama.
Alisema yeye kama mwajiri wa viongozi wa chama hicho, hatasita kuwafukuza viongozi watakaobainika kuwa wanajihusisha na vitendo vya rushwa.
Aidha, Mwambi aliwashambulia waziwazi viongozi wa CCM wa Wilaya ya Kinondoni na kuwaeleza kuwa wanakitia aibu chama, na kutoa mfano wa kuvurugika kwa chaguzi kadhaa za chama wilayani humo kuwa ushahidi wa udhaifu wa viongozi hao.
Kadhalika, alisema kwamba endapo kutakuwa na wagombea watakaoshinda kwa kutumia hongo, wakigundulika nao watafukuzwa katika chama sambamba na kuvuliwa uongozi.
Ole wao viongozi wanao panga safu ya watu kutaka chama kiwe na viongozi fulani kwa masilahi yao binafsi, nasema watashughulikiwa.
Inashangaza kuona kiongozi anapanga safu yake, jambo hili haliwezekani, safu hupangwa na CCM na si kiongozi, hivyo tusiwaruhusu watu watupangie, alisema Mwambi.
Mwambi aliendelea kusema kuwa ndani ya chama hicho kuna kinyamkela ambacho kinaweza kutoka kwa kuchagua viongozi madhubuti.
Katika uchaguzi huo, Aaron Yesaya Mwaikambo, alifanikiwa kutetea nafasi ya Mwenyekiti wa Wilaya ya Kinondoni.
Waliochaguliwa kuwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Kinondoni kupitia kundi la Wazazi ni Said Hemed Mkali na Alfred John Nchimbi.
Nafasi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa ilikwenda kwa Ahmed Mwilima, Asha Baraka, George Manyama, Clementina Mollel na Shy-Rose Bhanji.
Wengine waliochaguliwa kuwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa ni Janja Kibosa Janja na Azzan Ally Mangush. Nafasi ya ujumbe wa Halmashauri Kuu kundi la UWT, walichaguliwa Esther Mkandawire, Hafsa Mahinya Mtasiwa, Susan Alphonce Kolimba na Mary Enock Kalumuna.
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya waliochaguliwa kupitia kundi la vijana ni Janeth John Sondoka, Furaha Kyesi, Vanessa Mugeta na Ashura Sengondo.
Wakati huo huo, Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kiwanja cha Ndege mjini Dodoma, Padri Sospeter, amemfananisha Zitto na Yesu katika mahubiri yake ya jana Jumapili, na kusema kuwa mbunge huyo kijana anapaswa kuombewa ili Mungu amuongezee nguvu.
Muumini mmoja liyehudhuria ibada hiyo, aliliambia gazeti hili kuwa paroko huyo aliwataka waumini wa Kikristo nchini kote kumuombea Zitto ili apate ujasiri zaidi katika kutetea masilahi ya taifa.
Alisema kuwa anachokitetea Zitto ni haki, sawa na iliyotetewa na Yesu Kristo, ambaye alikufa akitetea haki kwa ajili ya kuwakomboa waumini wake.
Kutoka Kigoma, Mwandishi Wetu anaripoti kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa, amemtahadharisha Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba, kuachana na mtindo wa kununua wapinzani kwani unakipeleka pabaya chama hicho.
Dk. Slaa alitoa onyo hilo kwa nyakati tofauti jana wakati yeye, Zitto na viongozi wengine wa CHADEMA, walipokuwa wakifungua matawi 11 ya chama hicho mjini Kigoma, katika mwendelezo wa falsafa ya CHADEMA ni Matawi.
Dk. Slaa alibainisha kuwa kununua wapinzani si njia muafaka ya kuimarisha chama kwani kwa kutumia njia hiyo utawapata watu wengi ambao shida yao ni fedha.
Alisema kuwa watakaojiunga hawatakuwa na mapenzi ya dhati kwa chama kwani watavutiwa na fedha ambazo zinatumika kuwanunua na jambo hilo halitakiimarisha chama hicho.
Katika kampeni hiyo ya jana, ambayo kimsingi inalenga kukiimarisha chama hicho tangu ngazi ya chini, ilishuhudia ufunguzi wa matawi hayo 11, likiwemo tawi maarufu mjini Kigoma lijulikanalo kama Urusi.
Hoja za Zitto (si hii ya Buzwagi tu), zimemfanya afahamike kitaifa. Kwenye mioyo ya Watanzania, Zitto ni kiongozi wa kitaifa. Anapendwa na kuaminika kwamba anatetea maslahi ya taifa. CCM imeshaanza kujenga hisia, kitaifa, kwamba haitetei tena maslahi ya wananchi.
Naomba Zitto, na CHADEMA kwa ujumla, wahoji vile vile Mkataba wa Kabanga Nickel Mine. Naona taarifa magazetini zinasema kwamba Barrick Gold wamekubaliana na kampuni ya Kichina iitwayo Xastra Nickel, kwamba Kabanga iwe 50% mali ya Barrick Gold, na 50% mali ya Xastra Nickel. Share yetu iko wapi?
Augustine Moshi
Mr. Zero
Please take your time ku-scan vichwa vya habari kabla ya kuposti mada.........hiyo habari tayari Chifu alishaiweka