M
MegaPyne
Guest
Nimejaribu kuweka dakika tano za kwanza za haya mahojiano.
Nitajitahidi kuweka kadri muda unavyokwenda..
Nitajitahidi kuweka kadri muda unavyokwenda..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejaribu kuweka dakika tano za kwanza za haya mahojiano.
Nitajitahidi kuweka kadri muda unavyokwenda..
jamani naombeni mnisaidie mie jinsi ya kupata hiyo channel ten manake nikifungua nasikia miziki tuu na inaonyesha ni ya kulipia, asanteni
Still waiting for MP3 files,
Namheshimu Lissu sana, lakini sina imani kwamba uchumi umezama kichwani kwake kwa hiyo nitakuwa mnafiki kama sitasema ninamwamini kwenye uchambuzi wa sheria kama contract/agreement, zaidi ya uchambuzi wa kwamba nchi imepata nini? in terms of ROI?, kwa kuwa hii haihitaji simple algebra kama wengi wetu wanavyoamini... ni complex kiasi fulani...and sometimes it is easy kumpleka mtu mahali mchambuzi yeyote anapotaka!!!
Jambo la kuongeza urefu wa mkataba, halina issue yoyote asipende kutufanya kwamba watu wapumbavu kwani baada ya miaka 25 Karamagi atakuwepo?
mikataba yote inakuwa na kipengele kwamba sheria za nchi husika zisivunjwe ikiwa pamoja na sheria hiyo ya madini,,, kwa maana waziri hatakuwa na mamlaka ya kuongeza miaka zaidi ya 25... destination ya Lissu at the end of the day will be politics, tusubiri!!!
naona pointi kubwa ni ile ya manufaa ya mgoni, kama migodi sita kwa miaka 10 imetuingia milioni 78, je mgodi mmoja (ambao ni marginal kwa maneno ya mzee wa Siagi) kwa miaka kumi na mbili utaweza vipi kutuingia milioni 100 na zaidi?
Kweli hii ni hoja muhimu ya kuverify claims,,, nisingependa kuamini kirahisi mpaka nipate upande wa pili, especially from economics and not from a laywer, i could listen if it was from a mathematician at least!