Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 955
This is so sad, very sad... Imagine kwamba mkataba unatubana kwa miaka 25. Hatuwezi kubadilisha anything, hawa wezi wa CCM need to be captured and prosecuted under Tanzania law.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee nasubiri upande wa pili wa shilingi, maana hiyo comment yako naona kama inaonyesha sura ya mwalimu, ule upande wa pili sijauona!
Keil,
Hakuna other side of the coin hapa. Facts zimewekwa wazi. Mkataba sio siri tena. Labda cha kuongezea ni kuwa waliouvujisha mkataba WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA. Takukuru dili hiyo, siri za serikali lazima zilindwe kama katiba inavyolindwa.
Mtuambie mmeutoa wapi huo mkataba?!
Wakushughulikiwa ni hao waliosaini mkataba bomu.
Tanzania government miss critical thinkers. I guess huyu Karamangi hajui anything concern contracts law. Probably anadhani hii mikataba ni sawa na mikataba ya Nyumba, kwamba unaweza kumsainisha mtu, kisha ukamfukuza siku ukijisikia na hakuna atakaye kubabaisha. He is missing the point kwamba as soon alipo angusha sign yake, we was bound into it. He trap us in the long time tragedy, hatuwezi kubleach hizi contract sababu WTO will be all over the place.
Wanaojua sheria za Tanzania, kuna any way wananchi wanaweza kumshitaki kiongozi kama huyu karamangi kwa kututrap in this mess, thats the only way we can do as a pay back. Hatuna other option zaidi ya kumfunga, au kuvunja mkataba kisha tukaanza kubishana na WTO and all other big fishes.
Keil,
Hakuna other side of the coin hapa. Facts zimewekwa wazi. Mkataba sio siri tena. Labda cha kuongezea ni kuwa waliouvujisha mkataba WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA. Takukuru dili hiyo, siri za serikali lazima zilindwe kama katiba inavyolindwa.
Mtuambie mmeutoa wapi huo mkataba?!
Keil,
Hakuna other side of the coin hapa. Facts zimewekwa wazi. Mkataba sio siri tena. Labda cha kuongezea ni kuwa waliouvujisha mkataba WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA. Takukuru dili hiyo, siri za serikali lazima zilindwe kama katiba inavyolindwa.
Mtuambie mmeutoa wapi huo mkataba?!
Dua,
Hapo ndio mnakosea kwa kutoangalia upande wa pili wa shilingi.
Waliosaini hawana tatizo. Tatizo ni wale walioutoa kwa umma wa wadanganyika!, hawa watu wanahatarisha usalama wa nchi! wanavujisha mikataba ya siri, serikali inaweza kushtakiwa na Barrick, na vigogo wakakosa mkate wao wa kila siku!
Dua,
Hapo ndio mnakosea kwa kutoangalia upande wa pili wa shilingi.
Waliosaini hawana tatizo. Tatizo ni wale walioutoa kwa umma wa wadanganyika!, hawa watu wanahatarisha usalama wa nchi! wanavujisha mikataba ya siri, serikali inaweza kushtakiwa na Barrick, na vigogo wakakosa mkate wao wa kila siku!
Huu mkataba vipi waungwana,hamna aliunasa na kutuwekea hapa.Nina usongo nao kweli.
Nimeshanunua AK47 tayari kuingia msituni
Karamagi drags Slaa to court
KILASA MTAMBALIKE
!
Mkuu heshima zako mkuu,
Vipi mazuri ya serikali yameisha tayari? au!