The Catholic Church is the Biggest Financial Power on Earth

The Catholic Church is the Biggest Financial Power on Earth

IMG_8706.jpg
 
Binti mbona kama una stress za kukosa mume?

Unavamia wanaume na kuanza kuwashikisha adabu uogopi?

Au hujafundishwa adabu na kuheshimu wanaume tena ambao wanaweza kukuoa?
nimekupiga spana unaamua kuandika shombo
 
Wanasapot waraka ,mara kanisa lina nguvu linafungamana na ufreemason.

Mwingine,waraka umeandikwa kwa kiswahili fasaha.

Mshamba mleta uzi 👉 kanisa lina nguvu kubwa ya kiuchumi dunia.

Jadilini hoja mambo ya kutishwa kwa watu ambao wanajitoa muhanga kawaida sna,kama mnataka vita tangazeni sio mikwara ya kishamba ,hakuna mtu anaogoa wanaume ambao hawawezi kuoa hata kujiamini hawajiamini.

Hoja za hovyo then mnatumia mlengo kutetea ,wakati watu wanakosoa waleta waraka ni watu kama wewe ,weny elimu za mchongo na pia wamedhulumu na kuibia nchi kweny madili ya uwizi ...Hao bado wanabaka na kunajisi ,juzi tu hapa walikuwa wanatumia computers za kanisa kuangalia pornos.
 
Kwa hiyo wewe Mimi nikisema Leo ni sudu 7, 8888 utasema ni Tarehe?

Nenda kamuuliza mtoto wako Leo ni tarehe ngapi alafu atakachokijibu baki nacho.

Wenzako wameweka mifumo ya kutawala Dunia wewe unaleta mifumo ya kutawala ukoo au nchi.
Nimecheka
 
Umepaniki, haya ni majibu baada ya ninyi kusema kanisa hakuna lolote Maaskofu wanaweza kufanya. Sasa we are trying to show you how powerful we are?
Sasa angalia Hapa kanisa ilivyoenda UAE na jinsi mlivompokea

View: https://youtu.be/Ot1Vslt6bC4
Wanasapot waraka ,mara kanisa lina nguvu linafungamana na ufreemason.

Mwingine,waraka umeandikwa kwa kiswahili fasaha.

Mshamba mleta uzi 👉 kanisa lina nguvu kubwa ya kiuchumi dunia.

Jadilini hoja mambo ya kutishwa kwa watu ambao wanajitoa muhanga kawaida sna,kama mnataka vita tangazeni sio mikwara ya kishamba ,hakuna mtu anaogoa wanaume ambao hawawezi kuoa hata kujiamini hawajiamini.

Hoja za hovyo then mnatumia mlengo kutetea ,wakati watu wanakosoa waleta waraka ni watu kama wewe ,weny elimu za mchongo na pia wamedhulumu na kuibia nchi kweny madili ya uwizi ...Hao bado wanabaka na kunajisi ,juzi tu hapa walikuwa wanatumia computers za kanisa kuangalia pornos.
 
Kichwa cha habari ni kweli wanayo pesa kwasababu wapo vizuri kwenye kupora vijisadaka hadi vya wajane wauza mchicha kule kijijini....ni taasisi ya kibiashara kama zilivyo taasisi nyingine za kibiashara

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kichwa cha habari ni kweli wanayo pesa kwasababu wapo vizuri kwenye kupora vijisadaka hadi vya wajane wauza mchicha kule kijijini....ni taasisi ya kibiashara kama zilivyo taasisi nyingine za kibiashara

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Una hakika juu ya mambo haya au akili yako na Tecno yako vinafanana
 
Ni ujinga kudhani kanisa au msikiti linaweza kusimama dhidi ya serikali na likashinda.

Haya mambo mnayachochea kidogokidogo yakipamba moto msikimbie.
Kanisa misikiti uongozwa watu kiroho na kimwili, Serikali inaongoza mwili.
Hao hao Serikalini Wana dini iweje sasa dini isiwe na nguvu
 
Kwa hiyo wewe Mimi nikisema Leo ni sudu 7, 8888 utasema ni Tarehe?

Nenda kamuuliza mtoto wako Leo ni tarehe ngapi alafu atakachokijibu baki nacho.

Wenzako wameweka mifumo ya kutawala Dunia wewe unaleta mifumo ya kutawala ukoo au nchi.
huyo jamaa unamuelimisha lakini anashupaza shingo kwa kwa ubishi. Haijui katoliki ilivyo na nguvu duniani. Akasome zaidi mambo ya kiroho na kimwili pengine atapata ufahamu
 
Back
Top Bottom