The Citizen ndilo Gazeti linalostahili kuungwa mkono na pongezi toka kwa wananchi

The Citizen ndilo Gazeti linalostahili kuungwa mkono na pongezi toka kwa wananchi

Ashasembeko

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
225
Reaction score
910
Katika mchakato huu wa uchaguzi, vyombo vya habari, hasa magazeti yamekua yakikemewa kwa kuonesha upendeleo kwa CCM, na ni ukweli. Pamoja na mazingira hatarishi ya kufanya kazi zao, baadhi ya vyombo hivi vimejitahidi kutoa habari zinazotoa uwanja sawa kwa vyama vyote na kuripoti matukio nyeti yanayozua mjadala mtandaoni.

Chombo cha kwanza kinachostahili pongezi ni Gazeti la The Citizen - na nitatoa mifano.

Katika nakala yake ya tarehe 13/08/2020, ndio gazeti pekee lililoripoti habari ya njama za Tume ya Uchaguzi kuwa na mpango wa kuengua wagombea wa upinzani, na hii habari ilikua katika kurasa zake za mbele. Isome hapa.

Pia hili gazeti na kidogo, Mwananchi ndio magazeti pekee yalithubutu kuweka habari za Lissu kwenye kurasa zake za mbele. Mfano ni nakala ya tarehe 11/08/2020, ambalo waliripoti habari ya Lissu kutolipa kisasi. Soma hapa. Pia, the Citizen ndio gazeti pekee lililoripoti ujio wa Lissu nchini, Lissu kuteuliwa na Chama chake na Lissu kwenda kuchukua fomu Dodoma na kuziweka habari zote front page.

Kama mtakumbuka, ni gazeti pekee lililorepoti Habari ya Msajili wa vyama vya siasa kutanga kukifungia ACT Wazalendo

Ukiondoa Habari za siasa, gazeti la The Citizen pia, ndio gazeti pekee lililoripoti habari ya TCRA kuweka kanuni mpya, na kwenye hiyo Makala ikaweka mawazo mengi tu ya wakosoaji wa serikali. Pia ni gazeti lililorepoti Habari ya TCRA kuvitaka vyombo vya kimataifa kuomba leseni ili kufanya kazi na vyombo vya ndani ya nchi. Pia iliripoti habari ya Tume ya Uchaguzi kuengua mashirika kuu yasiyo ya kiserikali (NGOs) katika mchakato wa kusimamia uchaguzi.

1597485063588.png
1597485090430.png
1597485114161.png
1597485141649.png

Na Habari zengine nyingi sana. Mwananchi pia imejitahidi, ila nahisi The Citizen, limekua more objective, nahisi labda ni kwa sababu la kiingereza ndio maana watawala hawahangaiki nalo. The Guardian, limekua gazeti la hovyo kusema ukweli. Hata Habari zao hazina depth, sijui ni aina ya waandishi wao. Yaani inasikitisha, The Guardian ya enzi zile za Mengi wakati wa JK, ndio lilikua moto kweli, sa hizi limekua too shallow.

Leo pia kama mmegundua magazeti binafsi takribani yote yameripoti Habari ya kanisa la TAG kutaka uchaguzi wa huru na haki. Hili ni la kupongezwa pia, nilitegemea kama kawaida yao wangemuweka JPM kama cover story. Ni ujumbe mzuri mnatuma kwa wananchi nawapongeza na kuwapa moyo muendelee kuwa hivyo. Tuwape support tununue magazeti yao, kama tunavyowakosoa wakionyesha upendeleo.
 
Naunga mkono hoja.

Kiukweli, media za Tanzania, na waandishi wa Tanzania kwa sasa tunapitia kipindi kigumu sana cha trying moments, hata hao Citizen na Mwananchi, wao wanaweza kuonyesha hii objectivity wanayoonyesha kwasababu MCL ni kampuni tanzu tuu ya The Nation Media Group, hivyo hawategemei survival kutoka serikali yetu, hivyo angalau ndio the only independent main stream media in Tanzania.

Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.

Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer!

Je, Tanzania tuna Media Freedom kubwa kuliko UK na US? Tushuhudie kitachompata Julian Assange wa WikiLeaks! Tujifunze kwake
P
 
Naunga mkono hoja.

Kiukweli, media za Tanzania, na waandishi wa Tanzania kwa sasa tunapitia kipindi kigumu sana cha trying moments, hata hao Citizen na Mwananchi, wao wanaweza kuonyesha hii objectivity wanayoonyesha kwasababu MCL ni kampuni tanzu tuu ya The Nation Media Group, hivyo hawategemei survival kutoka serikali yetu, hivyo angalau ndio the only independent main stream media in Tanzania.

Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.

Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer!

Je, Tanzania tuna Media Freedom kubwa kuliko UK na US? Tushuhudie kitachompata Julian Assange wa WikiLeaks! Tujifunze kwake
P
Leo umekuwa mkweli , kidogo unafki umeuweka pembeni .
 
Naunga mkono hoja.

Kiukweli, media za Tanzania, na waandishi wa Tanzania kwa sasa tunapitia kipindi kigumu sana cha trying moments, hata hao Citizen na Mwananchi, wao wanaweza kuonyesha hii objectivity wanayoonyesha kwasababu MCL ni kampuni tanzu tuu ya The Nation Media Group, hivyo hawategemei survival kutoka serikali yetu, hivyo angalau ndio the only independent main stream media in Tanzania.

Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.

Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer!

Je, Tanzania tuna Media Freedom kubwa kuliko UK na US? Tushuhudie kitachompata Julian Assange wa WikiLeaks! Tujifunze kwake
P
Nilifikiri wewe uko huru maana umejipambanua upande wako (wenye dola).
 
Naunga mkono hoja.

Kiukweli, media za Tanzania, na waandishi wa Tanzania kwa sasa tunapitia kipindi kigumu sana

Hata wewe mkuu umeliona hilo, sasa mfanye maamuzi magumu kupitia sanduku la kura maana usipotumia haki yako kupiga kura sahihi kumbuka siasa ni maisha, ina mguso ktk kila nyanja ya maisha yetu.
 
Katika mchakato huu wa uchaguzi, vyombo vya habari, hasa magazeti yamekua yakikemewa kwa kuonesha upendeleo kwa CCM, na ni ukweli. Pamoja na mazingira hatarishi ya kufanya kazi zao, baadhi ya vyombo hivi vimejitahidi kutoa habari zinazotoa uwanja sawa kwa vyama vyote na kuripoti matukio nyeti yanayozua mjadala mtandaoni.

Chombo cha kwanza kinachostahili pongezi ni Gazeti la The Citizen - na nitatoa mifano.

Katika nakala yake ya tarehe 13/08/2020, ndio gazeti pekee lililoripoti habari ya njama za Tume ya Uchaguzi kuwa na mpango wa kuengua wagombea wa upinzani, na hii habari ilikua katika kurasa zake za mbele. Isome hapa.

Pia hili gazeti na kidogo, Mwananchi ndio magazeti pekee yalithubutu kuweka habari za Lissu kwenye kurasa zake za mbele. Mfano ni nakala ya tarehe 11/08/2020, ambalo waliripoti habari ya Lissu kutolipa kisasi. Soma hapa. Pia, the Citizen ndio gazeti pekee lililoripoti ujio wa Lissu nchini, Lissu kuteuliwa na Chama chake na Lissu kwenda kuchukua fomu Dodoma na kuziweka habari zote front page.

Kama mtakumbuka, ni gazeti pekee lililorepoti Habari ya Msajili wa vyama vya siasa kutanga kukifungia ACT Wazalendo

Ukiondoa Habari za siasa, gazeti la The Citizen pia, ndio gazeti pekee lililoripoti habari ya TCRA kuweka kanuni mpya, na kwenye hiyo Makala ikaweka mawazo mengi tu ya wakosoaji wa serikali. Pia ni gazeti lililorepoti Habari ya TCRA kuvitaka vyombo vya kimataifa kuomba leseni ili kufanya kazi na vyombo vya ndani ya nchi. Pia iliripoti habari ya Tume ya Uchaguzi kuengua mashirika kuu yasiyo ya kiserikali (NGOs) katika mchakato wa kusimamia uchaguzi.


Na Habari zengine nyingi sana. Mwananchi pia imejitahidi, ila nahisi The Citizen, limekua more objective, nahisi labda ni kwa sababu la kiingereza ndio maana watawala hawahangaiki nalo. The Guardian, limekua gazeti la hovyo kusema ukweli. Hata Habari zao hazina depth, sijui ni aina ya waandishi wao. Yaani inasikitisha, The Guardian ya enzi zile za Mengi wakati wa JK, ndio lilikua moto kweli, sa hizi limekua too shallow.

Leo pia kama mmegundua magazeti binafsi takribani yote yameripoti Habari ya kanisa la TAG kutaka uchaguzi wa huru na haki. Hili ni la kupongezwa pia, nilitegemea kama kawaida yao wangemuweka JPM kama cover story. Ni ujumbe mzuri mnatuma kwa wananchi nawapongeza na kuwapa moyo muendelee kuwa hivyo. Tuwape support tununue magazeti yao, kama tunavyowakosoa wakionyesha upendeleo.
ni kweli.... katikati ya mazingira intimidating ya kisiasa hapa nchini, tunaweza kusema wanajitahidi.

ila wapunguze uoga ili waje kuhesabika huko mbeleni Lissu atakapoingia Magogoni!
 
Naunga mkono hoja.

Kiukweli, media za Tanzania, na waandishi wa Tanzania kwa sasa tunapitia kipindi kigumu sana cha trying moments, hata hao Citizen na Mwananchi, wao wanaweza kuonyesha hii objectivity wanayoonyesha kwasababu MCL ni kampuni tanzu tuu ya The Nation Media Group, hivyo hawategemei survival kutoka serikali yetu, hivyo angalau ndio the only independent main stream media in Tanzania.

Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.

Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer!

Je, Tanzania tuna Media Freedom kubwa kuliko UK na US? Tushuhudie kitachompata Julian Assange wa WikiLeaks! Tujifunze kwake
P
Acha unafiki wewe jamaa. Ulidhani efudhuli wa CCM ni kwa wapinzani pekee tu?
 
Hata wewe mkuu umeliona hilo, sasa mfanye maamuzi magumu kupitia sanduku la kura maana usipotumia haki yako kupiga kura sahihi kumbuka siasa ni maisha, ina mguso ktk kila nyanja ya maisha yetu.
Kwa vile mimi ni kada, ukweli wa kinachotokea kwenye sanduku la kura ni huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

P
 
Katika mchakato huu wa uchaguzi, vyombo vya habari, hasa magazeti yamekua yakikemewa kwa kuonesha upendeleo kwa CCM, na ni ukweli. Pamoja na mazingira hatarishi ya kufanya kazi zao, baadhi ya vyombo hivi vimejitahidi kutoa habari zinazotoa uwanja sawa kwa vyama vyote na kuripoti matukio nyeti yanayozua mjadala mtandaoni.

Chombo cha kwanza kinachostahili pongezi ni Gazeti la The Citizen - na nitatoa mifano.

Katika nakala yake ya tarehe 13/08/2020, ndio gazeti pekee lililoripoti habari ya njama za Tume ya Uchaguzi kuwa na mpango wa kuengua wagombea wa upinzani, na hii habari ilikua katika kurasa zake za mbele. Isome hapa.

Pia hili gazeti na kidogo, Mwananchi ndio magazeti pekee yalithubutu kuweka habari za Lissu kwenye kurasa zake za mbele. Mfano ni nakala ya tarehe 11/08/2020, ambalo waliripoti habari ya Lissu kutolipa kisasi. Soma hapa. Pia, the Citizen ndio gazeti pekee lililoripoti ujio wa Lissu nchini, Lissu kuteuliwa na Chama chake na Lissu kwenda kuchukua fomu Dodoma na kuziweka habari zote front page.

Kama mtakumbuka, ni gazeti pekee lililorepoti Habari ya Msajili wa vyama vya siasa kutanga kukifungia ACT Wazalendo

Ukiondoa Habari za siasa, gazeti la The Citizen pia, ndio gazeti pekee lililoripoti habari ya TCRA kuweka kanuni mpya, na kwenye hiyo Makala ikaweka mawazo mengi tu ya wakosoaji wa serikali. Pia ni gazeti lililorepoti Habari ya TCRA kuvitaka vyombo vya kimataifa kuomba leseni ili kufanya kazi na vyombo vya ndani ya nchi. Pia iliripoti habari ya Tume ya Uchaguzi kuengua mashirika kuu yasiyo ya kiserikali (NGOs) katika mchakato wa kusimamia uchaguzi.


Na Habari zengine nyingi sana. Mwananchi pia imejitahidi, ila nahisi The Citizen, limekua more objective, nahisi labda ni kwa sababu la kiingereza ndio maana watawala hawahangaiki nalo. The Guardian, limekua gazeti la hovyo kusema ukweli. Hata Habari zao hazina depth, sijui ni aina ya waandishi wao. Yaani inasikitisha, The Guardian ya enzi zile za Mengi wakati wa JK, ndio lilikua moto kweli, sa hizi limekua too shallow.

Leo pia kama mmegundua magazeti binafsi takribani yote yameripoti Habari ya kanisa la TAG kutaka uchaguzi wa huru na haki. Hili ni la kupongezwa pia, nilitegemea kama kawaida yao wangemuweka JPM kama cover story. Ni ujumbe mzuri mnatuma kwa wananchi nawapongeza na kuwapa moyo muendelee kuwa hivyo. Tuwape support tununue magazeti yao, kama tunavyowakosoa wakionyesha upendeleo.
Citizen na Mwananchi ni magazeti yanayomilikiwa na Agakhan yenye makao yake Kenya.Kipindi hiki tumeshuhudia vyombo vya habari vya Kenya vikiwa mbele kuhusu mgombea wa uraisi Bwana Lissu vikimpamba na kumpa Airtime.
 
Mkuu tulikuwa tunazungumzia suala la wanahabari. Hongera kwa kuungana nao, ila sasa usiwe kinyonga hususan unapowasilisha mada zako. Simamia unachokiamini na ukiishi.
Kinyonga anaishi hivyo. Ndiyo maana kinyonga haaminiki.
 
Pamoja na yote wapo katika risk ya kufungiwa na walishawahi kufungiwa. Citizen ilifungiwa siku 7, Mwananchi online imefungiwa miezi 6.
 
Back
Top Bottom