Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upotoshaji wa kijinga, utalii umefunguka baada ya kupita jamga la corona na sio sababu ya royal tour. Unakwama wapi chawa?Kweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:-
View attachment 3238231
Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
Eeghh mbona kama vile umepaniki?Mjinga mwenyewe ila hujijui pumbavu
Machawa wengi mnakuwaga mmezaliwa kwenye umasikini kunuka ndio maana mnapenda kusifiasifia ungekuwa umezaliwa kwenye royal family usingefanya u'quomer kama huu..Wewe umezaliwa msenge toka tumbo la mama yako. Pingana na data za The Citizen siyo na mimi
Sidhani kama iko hivyo, usitake kuyafanya maisha yako yawe magumu Zaidi ya hapoUnamchinja ngamia kwa upande aliolalia, siyo lazima uende kibra.
Huyu Tindo amekuja kwa matusi, lugha pekee atakayoelewa ni matusi
Kwani baba yako wewe ulimuona anapopiga punyeto?Mzazi aliyekuzaa wewe chawa alikula hasara bora amepiga punyeto tu..
Yawezekana na wewe uko kwenye same bandwagon ya kuwa na negativity kwa kila kinachofanywa na Serikali. Hii data ni ya Citizen, nao wametoa BOT na mimi nimeileta hapa.Sidhani kama iko hivyo, usitake kuyafanya maisha yako yawe magumu Zaidi ya hapo
Inakuuma?? Ulitakaje?Mzazi aliyekuzaa wewe chawa alikula hasara bora amepiga punyeto tu..
Utalii upo kabla ya hiyo Royal Tour ya Samia.Sisi ambao tunahusika moja kwa moja na sekta ya Utalii tunajua hilo.Kweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:-
View attachment 3238231
Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
Umeshapanick dogo!Mjinga mwenyewe ila hujijui pumbavu