The Citizen: Sekta ya utalii yaongoza mapato ya nchi 2023/24; kongole kwa Royal Tour

The Citizen: Sekta ya utalii yaongoza mapato ya nchi 2023/24; kongole kwa Royal Tour

Mapato yanaongezeka, Kodi Tozo kukamuliwa kunaongezeka, Huduma zinapunguzwa..., One has to ask haya yote ni kwa faida ya nani ?!!!

 
Cholo wewe.... Then what next!??.watu wanakosa huduma mhimu huo utalii unasaidia Bibi tozo sio Tz!!. M.fuvck
Mpumbavu unekaa tu kwa shemeji yako, huna shughuli unafanya halafu unataka upate huduma muhimu bure? Utazeeka unamtegemea dada yako
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Utalii upo kabla ya hiyo Royal Tour ya Samia.Sisi ambao tunahusika moja kwa moja na sekta ya Utalii tunajua hilo.

Mlioko Vingunguti,Tandika na Shimo la udongo mnaweza kudanganyika na Royal Tour ambayo haina impact yoyote na ukuaji wa sekta ya utalii.
Mimi niko Arusha. Utalii nauona wala sisimuliwi
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mpumbavu unekaa tu kwa shemeji yako, huna shughuli unafanya halafu unataka upate huduma muhimu bure? Utazeeka unamtegemea dada yako
Ww mwanachama wa UWT uliozoea kuolelewa unafikiria n wote....
 
Yawezekana na wewe uko kwenye same bandwagon ya kuwa na negativity kwa kila kinachofanywa na Serikali. Hii data ni ya Citizen, nao wametoa BOT na mimi nimeileta hapa.

Kama siyo Royal Tour imeongeza utalii basi anayebisha aje na hoja tuzijadili, lakini kuitana eti chawa au mpumbavu ni kutotumia JF vizuri

Kwa nini uwe na chuki na vitu concrete kama hivyo? Labda Tindo anaumwa ugonjwa wa Asperger syndrome
Eeghh umenigeuzia kesi tena? Royal tour haina impact Yoyote ile, hili halina ubishi wala halihitaji kuwa na reference Yoyote, Just a common sense. Ila tusibishane, uko Sahihi kabisa.
 
hahah ilikuwa hivyo miaka yote tangia uhuru, wakati wa B.Mkapa kwa mara ya kwanza dhahabu ikaongoza kwa mapato na kwa miaka mingi tu iliyofuatia, kulikuwa na high quality and good paying jobs huko kwenye migodi, halmashauri zilikuwa zinafanya vizuri tu, sasa tumerudia kule kule kwa kutegemea utalii, nchi yenye karibia kila aina ya rasilimali tunategemea utalii, hivyo tumerudi nyuma kwenye uzalishaji …
Utaambiwa huna takwimu....umesema ukweli mchungu Sana
 

Attachments

  • 20240430_093958.jpg
    20240430_093958.jpg
    81.3 KB · Views: 1
  • 20240430_093319.jpg
    20240430_093319.jpg
    41.1 KB · Views: 1
Kweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:-

View attachment 3238231
Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
Hizo ni pesa wanatengeneza wazungu wanao milika tour oparators companies, TANAPA kwa mwaka makusanyo yao getini hayafiki hata billion 500 sana yanachezea bilion 300 hadi 350

Utalii unawanufaisha Wageni wanao milika makampuni, Hahaaa
 
Wewe umezaliwa msenge toka tumbo la mama yako. Pingana na data za The Citizen siyo na mimi
Haya tuendelee kupata data za Citizen Magazine...
 

Attachments

  • 20240430_093958.jpg
    20240430_093958.jpg
    81.3 KB · Views: 1
  • 20240430_093319.jpg
    20240430_093319.jpg
    41.1 KB · Views: 2
hahah ilikuwa hivyo miaka yote tangia uhuru, wakati wa B.Mkapa kwa mara ya kwanza dhahabu ikaongoza kwa mapato na kwa miaka mingi tu iliyofuatia, kulikuwa na high quality and good paying jobs huko kwenye migodi, halmashauri zilikuwa zinafanya vizuri tu, sasa tumerudia kule kule kwa kutegemea utalii, nchi yenye karibia kila aina ya rasilimali tunategemea utalii, hivyo tumerudi nyuma kwenye uzalishaji …
Kwani hata hizo pesa za utalii ni za Tanzania? pesa wanazo kusanya TANAPA ni kwenye bilion 300 kwa mwaka yaani TANAOA kama TANAPA wanazidiwa na TBL kaangakie data mkuu sio maneno yangu. yaani kodi wanayo lipa TBL inazidi makusanyo ya TANAPA.

wanao fadikika na utalii ni makampun ya kigeni wale ndio wanufaikaji wakuu kabisa wa hizo pesa zinarudi kwao. angalau kidogo mapato ya Korosho au tumbaku naweza kubaliana kwamba wakulima wanaoata pesa hapo
 
..nilidhani bandari na dpw ndio wanaongoza kwa kuchangia uchumi.
Hizo za utalii sio za Serikali, kwemye takwimu TANAPA wanakusanya billion hadi 300 na kwa mwaka, hizo ni pesa za makampuni ya tour oparators ambai ni wageni
 
Kweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:-

View attachment 3238231
Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
Asante Mungu kutupatia rasilimali nyinyi nchini kwetu

Vipi kuhusu yale mabilioni yaliyotumika kutangaza kitu natural yalishalipwa mkuu
 
Hizo za utalii sio za Serikali, kwemye takwimu TANAPA wanakusanya billion hadi 300 na kwa mwaka, hizo ni pesa za makampuni ya tour oparators ambai ni wageni
Kwani GNP au GDP inapimwaje? Hebu jitahidini kusoma elimu ya bure iko hata kwenye simu yako. Pato la Taifa (GDP) huhusisha sekta zote, Serikali na Binafsi.

Kwa mataifa yaliyo na mifumo mizuri, GDP huhusisha hata pato la duka la mangi mtaani au mama Ntilie wa sokoni.

Kwa hiyo hata hilo pato la tour operators ni sehemu ya pato la nchi, msidhani inachukuliwa ya TANAPA tu
 
tunategemea utalii, hivyo tumerudi nyuma kwenye uzalishaji …
Ni kama unahoja! Wakigoma kuja watalii bajeti inayumba...!!!Hata hivyo, nampongeza Mh. Rais kwa kazi nyingine anazoendelea kuzifanyia kwa ajili ya Taifa hili.
 
Back
Top Bottom